UJIO MPYA: ONE STEP TO VERIFIED USER from Smiling Saint to Lucas

Lucas

JF-Expert Member
Dec 3, 2011
2,457
1,108
Ndugu zangu wana JF,

I salute you in the name of Peace, Love and tranquility,

Ni takriban miaka miwili nimekuwa hapa JF tukishirikishana mambo mbali mbali na namshukuru Mungu maana nimeweza pata hadi marafiki wazuri sana na tuki-share mambo mbali mbali ya kimaisha.


Leo nimeamua kuja na moja ya majina yangu halisi, na sio just a username, ninafurahia kufahamiana, lakini pia ninafurahia kuwa sehemu ya furaha ya watu wengine.

It is always my wish to be a part of someone's happiness, and that is why i like smiling, but in whatever I do i always wish to glorify my God and to seek holiness from Him. that is why I called myself Smiling saint, those are my wishes, ukijisikia kuniita hivyo karibu, ukijisikia kuniita Lucas pia karibu

NB: to My brothers Erickb52, manoah, Boflo, BAGAH, Nicas Mtei, To wajomba Mtambuzi, Bishanga, Asprin, Dark City, my friends woote King'asti, Cantalisia, Smile Kongosho, Mwali, Arushaone, Ronn M, Mr Rocky, Bujibuji et al.... kiukweli ni wengi sana , sijawasahu charminglady, Zion Daughter, Mpenda Yesu, Filipo, FP (mtani wangu huyu) snowhite, na mama Mamndenyi......


I wish niwa-name woote but ninaomba hao wawa kilishe salamu zangu za upendo, furaha na amani kwa wooote
 
Last edited by a moderator:
Ndugu zangu wana JF,

I salute you in the name of Peace, Love and tranquility,

Ni takriban miaka miwili nimekuwa hapa JF tukishirikishana mambo mbali mbali na namshukuru Mungu maana nimeweza pata hadi marafiki wazuri sana na tuki-share mambo mbali mbali ya kimaisha.


Leo nimeamua kuja na moja ya majina yangu halisi, na sio just a username, ninafurahia kufahamiana, lakini pia ninafurahia kuwa sehemu ya furaha ya watu wengine.

It is always my wish to be a part of someone's happiness, and that is why i like smiling, but in whatever I do i always wish to glorify my God and to seek holiness from Him. that is why I called myself Smiling saint, those are my wishes, ukijisikia kuniita hivyo karibu, ukijisikia kuniita Lucas pia karibu

NB: to My brothers Erickb52, manoah, Boflo, BAGAH, Nicas Mtei, To wajomba Mtambuzi, Bishanga, Asprin, Dark City, my friends woote King'asti, Cantalisia, Smile Kongosho, Mwali, Arushaone, Ronn M, Mr Rocky, Bujibuji et al.... kiukweli ni wengi sana , sijawasahu charminglady, Zion Daughter, Mpenda Yesu, Filipo, FP (mtani wangu huyu) snowhite, na mama Mamndenyi......


I wish niwa-name woote but ninaomba hao wawa kilishe salamu zangu za upendo, furaha na amani kwa wooote

mweee kale kapala sijui kasungura nako unahama nako!au unamwachia @smiling saint ?
 
Hatimaye umeondoa ngozi ya bandia na kubaki na ngozi yako halisi!!

That's your true color Lucas. . . Let us enjoy it!

Karibu upya mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Dah jana nilikumiss kijana wangu ila yale mambo yetu siunajua ni balaa nkakosa chance kukucall.
Hebu leo tuongeepo badae.
Karibu Lucas.

I remain
Saint Erick

Aha ha hahah hhah kwema kaka, za siku nyingi kuna siku nilitaka nikupigie simu pia ila nikawa niko tight sana, vipi huko kwetu? niliona picha ya *****stars.... ila ulionekana kama mshika jezi!!!
 
Hatimaye umeondoa ngozi ya bandia na kubaki na ngozi yako halisi!!

That's your true color Lucas. . . Let us enjoy it!

Karibu upya mkuu.

Shukrani mkuu, karibu na wewe pia waweza kuta ni ndugu yangu kumbe!!
 
Ndugu zangu wana JF,

I salute you in the name of Peace, Love and tranquility,

Ni takriban miaka miwili nimekuwa hapa JF tukishirikishana mambo mbali mbali na namshukuru Mungu maana nimeweza pata hadi marafiki wazuri sana na tuki-share mambo mbali mbali ya kimaisha.


Leo nimeamua kuja na moja ya majina yangu halisi, na sio just a username, ninafurahia kufahamiana, lakini pia ninafurahia kuwa sehemu ya furaha ya watu wengine.

It is always my wish to be a part of someone's happiness, and that is why i like smiling, but in whatever I do i always wish to glorify my God and to seek holiness from Him. that is why I called myself Smiling saint, those are my wishes, ukijisikia kuniita hivyo karibu, ukijisikia kuniita Lucas pia karibu

NB: to My brothers Erickb52, manoah, Boflo, BAGAH, Nicas Mtei, To wajomba Mtambuzi, Bishanga, Asprin, Dark City, my friends woote King'asti, Cantalisia, Smile Kongosho, Mwali, Arushaone, Ronn M, Mr Rocky, Bujibuji et al.... kiukweli ni wengi sana , sijawasahu charminglady, Zion Daughter, Mpenda Yesu, Filipo, FP (mtani wangu huyu) snowhite, na mama Mamndenyi......


I wish niwa-name woote but ninaomba hao wawa kilishe salamu zangu za upendo, furaha na amani kwa wooote

snowhite ukiona hivyo ujue hakuna tena smiling saint, Lucas Keshamzika huyo.

Mzima lakini?

R.I.P @smiling saint will miss yu tom!
Ahah haha haha aha ahah SS bado fikra zake zinaishi.. wala haja RIP ila amebatizwa.....
 
Kwanza hongera kujilipua!
Ni viashiria utafanikiwa mengi uliyo target for the days comin!
The size of your success is measured by the strength of your desire!
The size of your dream and how you handle disappointment alon the way!
Welldone Lucas.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom