Most wanted

Mtei One...Hivi hiyo siku kulikuwa na match ya aina gani? sisi tulikuwa busy na match yetu bana...
naona unachikonoa kweli ujue kila kitu!! Angalia tu usichanganyikiwe...
Hujambo lovely bro...
 
Last edited by a moderator:
asa hao watu wanaotafutwa mbona nawaona tena humuhumu wamekunja nne afu hawakamatwi....vipi tena au ndo tuseme wamekula rushwa!
Achana na mtei one ndugu yangu, hana tofauti na wabunge wa ccm wanatokwa povu mawaziri wajiuzulu afu kuweka sign hawataki lol.
 
next ni mimi kuondoka na rejao ?
nahongwa koni mimi? weeee vitz yenyewe sipokei
hahaah....hajui madau ya Rejao huyu...anafikiri kila mtu ni mwanafunzi wa kuhonga koni!!!!:bump2::bump2::bump2:
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom