Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,610
next ni mimi kuondoka na rejao ?weeee!...akati ameshakula cone zangu hapa..guess what is next?...
nahongwa koni mimi? weeee vitz yenyewe sipokei
next ni mimi kuondoka na rejao ?weeee!...akati ameshakula cone zangu hapa..guess what is next?...
Huyu ni mume wangu sio buzi!upo hapo kijana!!!Cantalisia endelea kumchuna Rejao. Ndo muda huu
Mambo shem langu...mleta mada mwenyewe tumeshamchakachua...kwisha habari yake...
Ata cjui Nafanya nini,Eti nafanya nini kwani?
Wifi kipenzi, are you good ??Shauri yako utakufa watu wawakane wanao!!!
Missing You a lot Mtei one..
Niko huku bungeni nahesabu sign za wabunge. Muulize Rejao mbona yake sijaiona.
Unaandka.
Achana na mtei one ndugu yangu, hana tofauti na wabunge wa ccm wanatokwa povu mawaziri wajiuzulu afu kuweka sign hawataki lol.asa hao watu wanaotafutwa mbona nawaona tena humuhumu wamekunja nne afu hawakamatwi....vipi tena au ndo tuseme wamekula rushwa!
Mambo shem langu...
My darlie wif niko poa kbs,Wifi kipenzi, are you good ??
Achana na mtei one ndugu yangu, hana tofauti na wabunge wa ccm wanatokwa povu mawaziri wajiuzulu afu kuweka sign hawataki lol.
next ni mimi kuondoka na rejao ?
nahongwa koni mimi? weeee vitz yenyewe sipokei