Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,106
NATAKA KUMRUDISHA Rejao
Mtei mambo vp?
Mechi ya baca na chelsii ilikuwaje?
Siku ile nilikua bize sana na papa Rejao tunakula kitumbua na soseji nipe matokeo basi!!!
Jf raha sana yani huku mmenitaja natakiwa kule in box yangu ikapokea msg mtei ananitafuta!!!
BIG UP JF LOL!
Hahhah hahah haha!Cantalisia pia anatumia karolaiti nying sana ndo maana Rejao ameng'ang'ania pale
Chezea wakili namba moja JF wewe!!klorokwini mwenyewe ni mshtakiwa.
Darling kwan Mtei anasemaje,hayo mambo mwachie Kloro nishamdepositia hela yake,
Come this way ni lunch time now!
Hata yeye hakuona bana tulikuwa bize ndani ya net ebo!!!Cantalisia mwambie Rejao akupe matokeo ya mech ya juzi. ushaanza kuchakachua sridi
Hahhah hahah haha!
Usilolijua ni km usiku wa giza lol!
Nimechanganyikiwa na pua yake nae kitumbua kimemchanganya basi nyie huku mtasema yote meli yetu ya mapnz hiyo inazidi kuyoyopa!!ina huuuuuuuuuuuuuuuuu!
Hata yeye hakuona bana tulikuwa bize ndani ya net ebo!!!
Nipe basi hayo matokeo jaman!!!!
Ukitaka usirias nenda kule sihasa utawakuta wenzio wako sirias km wanafanya mtihan wa hesabu wa fom fooooo!
Hahha hahah hahah,dah....mwaka huu lazima nikufe!!
Bado permanent kidumu Kongosho haijaibuka hapa!!
Hahha hahah hahah,
Najua hao wote wana wivu wenyewe watajikata km walivofanya mwanzon,
Chezeiya maufundi ya Canta Swty!!
Heen hee hee,Rejao mwenyewe alshawah kusema kuwa rang yako ndo inalnda uhusiano wenu. La sivyo angekuwa ameshakupga chn.
Ngosha Rejao kapagawa na weupe wa karolaiti wa Cantalisia
Heen hee hee,
Unaona donge eee!
Pole kwa upweke!
Kwenye ugali?ile natumia km mboga kwa kulia ugali,wali mpaka chips!Cantalisia naskia cku hz unachanganya karolait kwenye ugali. Je ni kwel?