BAGAH
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 4,523
- 1,060
Hehehe, toka lini under 18 akapata mateneti livu?? Una utani na mwanafunzi wa JK au?
Nimegundua kumbe hata hunipendi BAGAH na nakutafuta uthibitishe ugunduzi wangu.
under 18,!!nyie ndo wenyewe mnatikisa hata ubongo wa mtu...kwan mnafaa...
shem nnavyokupenda...naweza hata kukuhonga DUNIA...walah!...