Moshi ipo kama nilivyoiacha

Moshi ipo kama nilivyoiacha

NAMPONGEZA AFISA MIPANGO MIJI WA MOSHI KWA KUANZISHA MIJI MIDOGO MIDOGO KAMA BOMA NA HIMO imepunguza watu kukimbilia MOSHI MJINI nenda kwenye hii miji midogo watu wamejitahidi huduma za benk maji umeme zipo TOFAUTI NA MIKOA MINGNE MJI NI MMOJA TU MABADILIKO YANAKUWA KILA SIKU KWA KUWA WANAKIMBILIA MJINI WENGI NA HAKUNA MIJI MIDOGO

Sasa wewe ndiyo wale ambao kila sehemu ya Kilimanjaro kwao ni Moshi. Afisa mipango wa mji wa Moshi anahusika vipi na mji wa Boma ulioko wilaya ya Hai? Badilikeni siyo kila sehemu ni Moshi, kama sehemu inaitwa Masama iiteni Masama tu. Wote wanaotoka mkoa wa Kilimanjaro wanatoka Moshi!!!???
 
Nipingane na wewe kidogo!!
Nimeishi maeneo mengi sana ya Tanzania!
Hakuna sehemu yoyote yenye vijiji vilivyoendelea kama Kilimanjaro.

Baeleze huyo kiwatengu!
Wengi Moshi wanapasikia.., kwa wageni wachache ambao wamewahi kufika Moshi daima huwa kama si kustaajabu basi huwa wanapasifia sana kwa yale wanayoyaona (maendeleo kulinganisha na maeneo mengine ya Tz)
 
Last edited by a moderator:
Huu Mji haukui kabisa yani vilevile nilivyo Ondoka Miaka Mitano iliyopita inauma sana sijui nani kikwazo.Na huku Machame pia ndo vilevile jamani kunanukia ndizi tu.

Xmass iishe minirudi Nairobi.

We rudi ulikotoka coz huna lolote.. Et machame inanukia ndz! Ulitaka inukie sukuma wk Kama ulikotoka!
 
Nimeshangaa daladala mwisho saa moja dah imenishangaza marafiki zangu niliokuja nao kutoka kenya wanashangaa sana



hata kama umeamua kudanganya watu unaishi nairobi, usiongeze uongo tena daladala mwisho saa moja. siku za jumapili magari tu yanakuwa machache wengi wanapumzika
 
Sasa wewe ndiyo wale ambao kila sehemu ya Kilimanjaro kwao ni Moshi. Afisa mipango wa mji wa Moshi anahusika vipi na mji wa Boma ulioko wilaya ya Hai? Badilikeni siyo kila sehemu ni Moshi, kama sehemu inaitwa Masama iiteni Masama tu. Wote wanaotoka mkoa wa Kilimanjaro wanatoka Moshi!!!???

hawana tofauti na watu wa kibaha, kisarawe, mkuranga, wanaosema "nipo dar"!!
 
Unataka nani aukuze, wakati wewe unakula sukumawiki Nairobi? Rudi kwenye ufanyike hicho unachota.
 
Unataka uonekane nawe wa moshi ehh?ila pataendeleaje wakati wazawa mnaonekana kwa msimu hasa sikukuu kama hizi tena mnaenda kwajili ya matambiko,hamuwekezi nyumbani,fursa kibao zipo kilimanjaro,unabaki kulialia hapa jf, sijuwi ili uwonekane nawe wa moshi umerudi nyumbani huu ni ujinga.maendeleo ya sehemu yanaanzia kwako binafsi.
Aiseee ni hatari sana
 

Attachments

  • 1450729989061.jpg
    1450729989061.jpg
    56.6 KB · Views: 184
Yule mzee ndo hamna kitu kabisa kawadanganya wenzie kahodhi ardhi ya kutosha analalamika serikali haimsaidii kufanya uwekezaji yani hii mijitu ya Moshi imekaa kiwiziwizi tu mpaka viongozi wao.ngoja tumuone huyu mbunge wa sasa hivi maana siyo mchagga.
Mzee wa chama..hahahaa
 
Hueleweki, Kwanza Machame sio Moshi, Huko ni Hai! Labda unazungumzia mji wa Boma/kwasadala hapajakua, maana ndio town ya wamachame hiyo, kam ilivyo Himo/Njia panda kwa Wamarangu! Moshi mjini ya wa WAKIBOSHO, WAURU, OLDMOSHI... Hao ndio wamepakana na moshi mjini.

Huko kwenu Hai, tatizo ni Mbowe.....Anatorosha mabilioni nje badala ya kujenga huko.. Nasikia kuna viwanja alikuwa navyo moshi mjini hajaviendeleza, wanavichukua wenyewe......
 
Back
Top Bottom