Moshi ipo kama nilivyoiacha

Moshi ipo kama nilivyoiacha

Mleta mada una ishu gani huko Nairobi kiasi cha kutokurudi kwenu kwa muda wa miaka mitano?!

Tueleze tatizo lililokufanya usirudi kwenu for 5 years ni nini?
 
Tumeshajua unaishi nairobi haya sikuku njema

Kuna mwenzake naye mchaga pia toka huko moshi anaishi Uganda, anafanya kazi huko na kaolewa huko. Alikuwa anahojiwa TBC1 jana kuhusu uganda na tanzania, aliiponda Tz na kuitukuza Uganda kuwa Watanzania wavivu, utadhani wapo holiday kila siku, hawapigi hatua ktk maendeleo. Akaulizwa kama yeye ni mganda au Mtanzania, asema ni Mganda-Mtanzania. Lakini anajisikia fakhari zaidi kuitwa Mganda.
Kwa hiyo nawashauri mkishaenda nje mnakoona kuzuri zaidi, endeleeni kukaa hukohuko kwa nini mnarudirudi na kuja kutukebehi?????
 
Unataka uonekane nawe wa moshi ehh?ila pataendeleaje wakati wazawa mnaonekana kwa msimu hasa sikukuu kama hizi tena mnaenda kwajili ya matambiko,hamuwekezi nyumbani,fursa kibao zipo kilimanjaro,unabaki kulialia hapa jf, sijuwi ili uwonekane nawe wa moshi umerudi nyumbani huu ni ujinga.maendeleo ya sehemu yanaanzia kwako binafsi.

Umemjibu vizuri Toxic9 big up. Hivi anategemea nani amjengee moshi wkt mwaka mzima wachaga hawapo kwao wanarudi christmas pekee. Wanataka watu kutoka Mbeya au Morogoro waje kuwajengea??? Mmxxyuuuuuuuuuuuuuuuu
 
NAMPONGEZA AFISA MIPANGO MIJI WA MOSHI KWA KUANZISHA MIJI MIDOGO MIDOGO KAMA BOMA NA HIMO imepunguza watu kukimbilia MOSHI MJINI nenda kwenye hii miji midogo watu wamejitahidi huduma za benk maji umeme zipo TOFAUTI NA MIKOA MINGNE MJI NI MMOJA TU MABADILIKO YANAKUWA KILA SIKU KWA KUWA WANAKIMBILIA MJINI WENGI NA HAKUNA MIJI MIDOGO
 
Wewe una compare Moshi na mji gani? au ni Moshi Vs Nairo, au Moshi VS dar au Moshi VS Nairobi?
Huna tofauti na mkimbizi bora urudi tu ulikotoka. Wakati umekimbia Moshi ukaenda kuendeleza Nairobi ulim task nani kazi ya kuendeleza Moshi. I hate you!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!. fungua masikio na macho nikueleweshe; Moshi ya mwaka juzi siyo ya mwaka huu. Ukimaliza barabara ya kuingia KIA kama unatokea Arusha just angalia mbele kwenye horizon ya macho yako uniambie kama Moshi inakua au haikuwi. Nenda mjini angalia ongezeko la Hotel na vitega uchumi niambie kama Moshi inakua haikui

Huyu Mtumwa na Mkimbizi eti ameshaangalia anasema haikui. Ulimuuliza swali zuri sana kwamba, wakati anaikimbia moshi alimwachia nani kazi ya kuiendeleza ndo amuulize. Vinginevyo asitufanye tukamtukana bure sisi maana anakera
 
Tatizo unakaa kijijini na wewe ni muongo kabisa. Tuulize sisi watoto wa town hapo kipande ya pasua. Moshi miaka mitano iliyopita ilikuwa kata chache ndio zilikuwa na barabara za lami. Lakini sasa ukienda pasua lami, majengo lami, soweto lami, kcmc, ngangamfumuni, mwereni, kb lami na mpk 2020 Moshi mjini itakuwa hapo katikati ya mji hakutakuwa na barabara ya vumbi hata moja ambapo hata dar posta mpya zipo. Maana mradi wa WB ukiisha zitabaki km kama 2500 tu hazina lami lakini kwa mfuko wa barabara wa manispaa wanajenga km 2 za lami kila mwaka kwa hyo hizo zitajengwa na mfuko wa barabara ambazo ni kipande cha barabara za mission, factory, mitaa ya osterbay. Sasa wewe unayesema moshi haibadiliki sema machame haibadiliki

Nimefanya kazi bonite nimetumia njia ya Pasua sana uko reli ilipo pita hadi uko boma mbuzi pako choka mbaya sana ulipo wewe uko
 
Nimefanya kazi bonite nimetumia njia ya Pasua sana uko reli ilipo pita hadi uko boma mbuzi pako choka mbaya sana ulipo wewe uko

nimepakumbuka matindigani pale stend ya vihiace kuanzia bingo, shule ya mandela, chalinze, mshana bar soko la pasua n.k
 
mleta mada una ishu gani huko nairobi kiasi cha kutokurudi kwenu kwa muda wa miaka mitano?!

Tueleze tatizo lililokufanya usirudi kwenu for 5 years ni nini?

majukumu mkuu nipo nafanya biashara ..
 
Unasema Moshi haibadiliki wewe sema ulikuwa unataka tu ujulikane umetoka nairobi. Moshi wamepeleka proposal ya kuwa jiji anasubiriwa rais asign tu maana vigezo vyote vimetimizwa. Leo hii moshi zinajengwa malls zenye level za malls za dar es salaam yako majengo mapya marefu na mazuri kama ya miji mikubwa kwa mfano juz kati ghorofa la nssf 10 floors limezinduliwa, kuna ghorofa ya ravji 10 floors, saba general 7floors, A & F commercial tower inahengwa opp nmb 12 floors, emslies twin towers adjacent KNCU 10 floors each, fresh coach commercial building more than 7 floors na nyingine nyingi unataka ibadilike vipi? Wewe unataka kuhusisha siasa hapa.

kama moshi ikiwa jiji na mtwara nayo iwe jiji moshi pameanzia changamka YWMCA had soko la kat mwsho wa magorofa huko mbuyuni tope tupu msimu wa mvua pananuka MOSHI HUNIPOTEZ WALA KUNIDANGANYA KILA KONA ya ule mji
 
Umemjibu vizuri Toxic9 big up. Hivi anategemea nani amjengee moshi wkt mwaka mzima wachaga hawapo kwao wanarudi christmas pekee. Wanataka watu kutoka Mbeya au Morogoro waje kuwajengea???

Apo stand niliwekeza sana ghorofa ya juu nilikua na duka la nguo kubwa tu nimeenda wakashindwa endesha biashara ni wape nini tena ndugu zangu..
 
Umemjibu vizuri Toxic9 big up. Hivi anategemea nani amjengee moshi wkt mwaka mzima wachaga hawapo kwao wanarudi christmas pekee. Wanataka watu kutoka Mbeya au Morogoro waje kuwajengea???

Apo stand niliwekeza sana ghorofa ya juu nilikua na duka la nguo kubwa tu nimeenda wakashindwa endesha biashara ni wape nini tena ndugu zangu..

kituo kina ghorofa moja ukisema ya juu utawapaisha sana ILA KWA USAF NAWAPONGEZA japo moshi hawana stend ila wana daraja 7b magar yote yanaptiliza kwenda mikoa mingine labda maguta ndio yanabak hapo
 
nimepakumbuka matindigani pale stend ya vihiace kuanzia bingo, shule ya mandela, chalinze, mshana bar soko la pasua n.k

Ndio Mkuu Utobokea Chekereni hadi TPS uko yani changamoto ninyingi bado sana ndugu tufanyeni mabadiliiko
 
Naunga mkono hoja kiwatengu, achana na kucompare city centre za miji. Twende kwa comparison ya vijiji hakuna vijiji vilivyojengwa Na kujengeka kama vijiji Vya hawa watu wa moshi Tanzania nzima. Haya huko Nairobee ulipotoka vijiji vyake choka mbaya hata manzese kunaafadhali.
 
Nimeshangaa daladala mwisho saa moja dah imenishangaza marafiki zangu niliokuja nao kutoka kenya wanashangaa sana

Hahaaa 1819s unachekesha sana!
Ulitaka Moshi pawe kama nairobi?!
Sasa ungeona tofauti yeyote kweli?!
Jifunze kupakubali kwenu hata kama hapako kama huko ughaibini unapoishi kwa sasa!
Pia ukishaweza kujitegemea rudi nyumbani kujenga nchi maana nnakisoma kama bado ni denti vile!!
 
Last edited by a moderator:
Moshi ya wachagga haina upumbavu kama wq kwako.
 
Back
Top Bottom