Moshi ipo kama nilivyoiacha

Moshi ipo kama nilivyoiacha

Nipingane na wewe kidogo!!
Nimeishi maeneo mengi sana ya Tanzania!
Hakuna sehemu yoyote yenye vijiji vilivyoendelea kama Kilimanjaro.

Unapingana na mimi kwa lipi? Sikusomi? Moshi ipi unayoisema wewe
 
Yani ulitaka ukija moshi usikute migomba badala yake yawe maghorofa hadi huko machame? Badala ya kuoengeza kwamba watu wa moshi wameendelea kuutunza mji wao na mandhari safi wewe unaona hilo ni tatizo, dah kweli maghorofa ya nai yamekuvutia sana.
Pita Nkwamasi,shuka pale Nkwarungo chini kidogo ya hosteli za wanachuo wa chuo cha nkwarungo hosp angalia namna kunavyopendeza,tembea juu kidogo ya lambo, fika hadi Nronga kote huko mandhari safiiiiiii halafu ufananishe na purukshani za huko kwa Kenyata.
Hata hivyo karibu sana moshi

mkuu umenikumbusha mbali, kule msituni mkweseko ni kama milima ya alps ulaya ndiyo maana wazungu kila siku wanatembelea
 
Yani mleta mada ni kilazaa sijawahiii onaa... Nyie ndio wale washamba ambao mkitoka kijijini kwenu mkaenda jijini mkirudi mnazarau ata ndugu zenu wa kijijini.. Mnajiona mpo juu.. Kumbe ushamba tuu... Eti ata moshi hamna mall!? Mahitaji ya muhimu yapii ulikuwa unahitaji.!? Mbona supermarket zimejaa mjini moshi..!
 
Tatizo jamaa hawauzi ardhi kabsaa na wanapenda kujenga vijijin tuu
 
We kichaa unaishi narumu ama kimashuku siyo Machame hii tunayoijua sisi.


Pita lambo,nshara,uduru,urara,kalali,posta,machame hospital, Kkkt nkwarungo, fika nkwamwasi,pandisha mpaka kyalia, nenda foo, nkweseko n.k.


Kisha rudi hapa na analysis inayoeleweka. Hongera kwa kutumbelea mkoa wetu. Huko utokako wazima??
 
Barabara mbovu sana Apa makoa kupitia nkuu Altezza yangu imebidi nipaki mjini tu mawe mashimo yakufikia


wewe acha kujidai....we nairobi kila mali kunapitika? watu wengine bhana
kama unataka barabara za lami hamishia wazazi wako shantytown, rau, soweto, kiborilono na kwingine
hata huko nairobi kuna sehemu mbovu mara kumi ya moshi
 
We kichaa unaishi narumu ama kimashuku siyo Machame hii tunayoijua sisi.


Pita lambo,nshara,uduru,urara,kalali,posta,machame hospital, Kkkt nkwarungo, fika nkwamwasi,pandisha mpaka kyalia, nenda foo, nkweseko n.k.


Kisha rudi hapa na analysis inayoeleweka. Hongera kwa kutumbelea mkoa wetu. Huko utokako wazima??


Asisahau na kupita kuanzia pale Makoa, apandishe Kisereny, Nkuu Sinde, Nkuu Kati mpaka Nkweshoo..
 
Ili swala naliona umu wengi wenu Hamjawekeza Moshi ngoja nisubiri nije nionane na jirani yangu Dr.Mengi tujadili Moshi tunaibadilishaje kuna wakenya wengi wanatamani kuwekeza Moshi ndo sababu kuu ya kuanzisha hii mada..
 
Tatizo jamaa hawauzi ardhi kabsaa na wanapenda kujenga vijijin tuu

Tuuze tukaishi wapi; kule ni land locked no intruders labla aje kwa kuolewa tu au awe posted kama mwalimu, daktari au mtaalamu
 
Ili swala naliona umu wengi wenu Hamjawekeza Moshi ngoja nisubiri nije nionane na jirani yangu Dr.Mengi tujadili Moshi tunaibadilishaje kuna wakenya wengi wanatamani kuwekeza Moshi ndo sababu kuu ya kuanzisha hii mada..

Nenda shule ukasome kwanza. Haupo sawa Upstairs.


Haya ndiyo matatizo ya kuanzisha mada huku umevuta bangi au umekunywa gongo!!
 
Mkuu kama ni mkazi wa moshi nieleweshe nini tatizo tuangalia tunatatuaje izi changamoto ili mji huu uweze kukua..

Tatizo wengi walevi tena sana na wa Gongo nilikuwa hapo kuna baadhi ya maeneo pombe hiyo inarusiwa na nguvu kazi wengi wako chakali kila mda,Ulaji wa Kiti Moto pia unachangia kwa kuwadhofisha raia wa hapo Tabia mbaya kuwakeketa wanawake pia inachangia na kikubwa Urithi si kwa watoto wa kike wanaorithi ni wanaume na wengi walevi ...Japo wengine ni wachapa kazi haswa nje ya huo mji,,
Haya ni kweli kweli tupu Mungu wasaidie wabadirike,,
 
Ili swala naliona umu wengi wenu Hamjawekeza Moshi ngoja nisubiri nije nionane na jirani yangu Dr.Mengi tujadili Moshi tunaibadilishaje kuna wakenya wengi wanatamani kuwekeza Moshi ndo sababu kuu ya kuanzisha hii mada..

Ishia hapo hapo na Altezza yako. Hata pesa ya juice huna unataka kujadiliana na bilionea kama sio ukora ni nini hiyo. Moshi huwezi igeuza kama sufuria la ubwabwa useme unaibadilisha !!!! ilishabadilika lakini mind set wise
 
Ili swala naliona umu wengi wenu Hamjawekeza Moshi ngoja nisubiri nije nionane na jirani yangu Dr.Mengi tujadili Moshi tunaibadilishaje kuna wakenya wengi wanatamani kuwekeza Moshi ndo sababu kuu ya kuanzisha hii mada..

Mengi ana mda wa kuonana na mtu kama wewe....!!
 
Asisahau na kupita kuanzia pale Makoa, apandishe Kisereny, Nkuu Sinde, Nkuu Kati mpaka Nkweshoo..

Nimetoa ela zangu nyingi sana kuijenga secondary ya Nkuu a.k.a Kimbushi..Mulize Mama Swai Atakuambia kijana mimi ni mtu mzito sana nauchungu na Mji huu sio blaa blaa nataka niache kumbukumbu..Narumu wananijua sana Muulize Lelo Kweka..Mallya nimetuma shingapi kujenga shule zao za kata..
 
Tatizo wengi walevi tena sana na wa Gongo nilikuwa hapo kuna baadhi ya maeneo pombe hiyo inarusiwa na nguvu kazi wengi wako chakali kila mda,Ulaji wa Kiti Moto pia unachangia kwa kuwadhofisha raia wa hapo Tabia mbaya kuwakeketa wanawake pia inachangia na kikubwa Urithi si kwa watoto wa kike wanaorithi ni wanaume na wengi walevi ...Japo wengine ni wachapa kazi haswa nje ya huo mji,,
Haya ni kweli kweli tupu Mungu wasaidie wabadirike,,

Kiti moto a.k.a white meat imechangiaje kuharibu nguvu kazi?
 
Tatizo wengi walevi tena sana na wa Gongo nilikuwa hapo kuna baadhi ya maeneo pombe hiyo inarusiwa na nguvu kazi wengi wako chakali kila mda,Ulaji wa Kiti Moto pia unachangia kwa kuwadhofisha raia wa hapo Tabia mbaya kuwakeketa wanawake pia inachangia na kikubwa Urithi si kwa watoto wa kike wanaorithi ni wanaume na wengi walevi ...Japo wengine ni wachapa kazi haswa nje ya huo mji,,
Haya ni kweli kweli tupu Mungu wasaidie wabadirike,,

Hadithi yako nzuri, inatufundisha nini??
 
Back
Top Bottom