Moshi ipo kama nilivyoiacha

Moshi ipo kama nilivyoiacha

Acha uongo!! Lile jengo la moja ya mifuko ya hifadhi ya jamii uliliacha? Vipi Black diamond pia ulipaacha??
 
Mji wa Moshi hauwezi kuendelea.ashukuriwe kikwete kujenga hilo jengo hifadhi ya jamii angalau kamji kanaonekana sasa. Kazi yenu kunywa mbege tu. Mkuu machame sehemu gani unaishi?

Nipo Hap Mfoni Ukifika Ulizia Kwa Ment nipo Maeneo Ayo karibu sana Unipe story za Apa bwana.
 
Huu Mji haukui kabisa yani vilevile nilivyo Ondoka Miaka Mitano iliyopita inauma sana sijui nani kikwazo.Na huku Machame pia ndo vilevile jamani kunanukia ndizi tu.

Xmass iishe minirudi Nairobi.

Very busy man you are. Nilijua uko New Zealand kuja huku kwa msimu sbb ya umbali na majukumu ingawa sio issue sana factors hizo. Ngare Nairobi five yrs Hujafika Moshi mangi? Basi hao wakikuyu wamekupa limbwata mangi.
 
Nimeshangaa daladala mwisho saa moja dah imenishangaza marafiki zangu niliokuja nao kutoka kenya wanashangaa sana

Wewe hiyo ni moshi ipi??mbona marangu haipo hivyo???
 
Mji wa Moshi hauwezi kuendelea.ashukuriwe kikwete kujenga hilo jengo hifadhi ya jamii angalau kamji kanaonekana sasa. Kazi yenu kunywa mbege tu. Mkuu machame sehemu gani unaishi?

Hii ndio moshi bhana...karibu kyasaka!!
 

Attachments

  • 1450716507418.jpg
    1450716507418.jpg
    126.2 KB · Views: 208
Huu Mji haukui kabisa yani vilevile nilivyo Ondoka Miaka Mitano iliyopita inauma sana sijui nani kikwazo.Na huku Machame pia ndo vilevile jamani kunanukia ndizi tu.

Xmass iishe minirudi Nairobi.

Anayetakiwa alete maendeleo ni wewe sasa unakaa Nairobi unategemea nani akuletee maendeleo kwako Rudi nyumbani moshi kijinini ukafanye maendeleo
 
Tatizo unakaa kijijini na wewe ni muongo kabisa. Tuulize sisi watoto wa town hapo kipande ya pasua. Moshi miaka mitano iliyopita ilikuwa kata chache ndio zilikuwa na barabara za lami. Lakini sasa ukienda pasua lami, majengo lami, soweto lami, kcmc, ngangamfumuni, mwereni, kb lami na mpk 2020 Moshi mjini itakuwa hapo katikati ya mji hakutakuwa na barabara ya vumbi hata moja ambapo hata dar posta mpya zipo. Maana mradi wa WB ukiisha zitabaki km kama 2500 tu hazina lami lakini kwa mfuko wa barabara wa manispaa wanajenga km 2 za lami kila mwaka kwa hyo hizo zitajengwa na mfuko wa barabara ambazo ni kipande cha barabara za mission, factory, mitaa ya osterbay. Sasa wewe unayesema moshi haibadiliki sema machame haibadiliki
 
Halafu mnatoka huko mnaenda rombo, marangu machame lakini mkiulizwa mnasema tunaenda Moshi.
 
Unasema Moshi haibadiliki wewe sema ulikuwa unataka tu ujulikane umetoka nairobi. Moshi wamepeleka proposal ya kuwa jiji anasubiriwa rais asign tu maana vigezo vyote vimetimizwa. Leo hii moshi zinajengwa malls zenye level za malls za dar es salaam yako majengo mapya marefu na mazuri kama ya miji mikubwa kwa mfano juz kati ghorofa la nssf 10 floors limezinduliwa, kuna ghorofa ya ravji 10 floors, saba general 7floors, A & F commercial tower inahengwa opp nmb 12 floors, emslies twin towers adjacent KNCU 10 floors each, fresh coach commercial building more than 7 floors na nyingine nyingi unataka ibadilike vipi? Wewe unataka kuhusisha siasa hapa.
 
Anasema moshi hamna mall huyu anazungumzia Moshi ipi? Kuna Nakumatt ambayo ni ya kwanza kufunguliwa tanzania. kuna uchumi supermarket jengo jipya la nssf kuna mini supermarket kibao kama rafiki, kilimanjaro, corona n.k
 
Huu Mji haukui kabisa yani vilevile nilivyo Ondoka Miaka Mitano iliyopita inauma sana sijui nani kikwazo.Na huku Machame pia ndo vilevile jamani kunanukia ndizi tu.


Xmass iishe minirudi Nairobi.


sasa nani akujengee mji wakati unakula bata nairobi,vuna nairobi lete pesa moshi,nyooo
 
Tatizo la mleta mada alitaka aukute mji wake umekuwa kama Nairobi,eti "xmass iishe haraka nitudi Nairobi"

Huko Nairobi ndio kwenu? Hujui kuwa MKATAA KWAO MTUMWA?

Maendeleo yanaanzia kwako,wewe unataka Xmass iishe urudi Nairobi,halafu mji ujengwe na nani? Au unataka wakujengee wenzako wewe ukirudi ukute kila kitu tayari?
 
Halafu mnatoka huko mnaenda rombo, marangu machame lakini mkiulizwa mnasema tunaenda Moshi.

hahahah!! nimeipenda hii. watu wa kili bwana! kila mahali wanapaita moshi, hata same!
 
Back
Top Bottom