Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 27,721
- 53,735
Mfano i am scorpion [emoji889], does scorpion fits hereKumbuka kuondoa yale mambo amabyo hayakusaidii katika maisha yako.
Mwezi huu ni mzuri kwa nyota zote huwa na rangi nyekundu kwa mbali.
Mfano i am scorpion [emoji889], does scorpion fits hereKumbuka kuondoa yale mambo amabyo hayakusaidii katika maisha yako.
Mwezi huu ni mzuri kwa nyota zote huwa na rangi nyekundu kwa mbali.
Nipo mby sae, mwez unazibwa na mawing mpka sio powaIkiwa ni mwezi wa kumi na leo ndiyo kupatwa kwa mwezi mwekundu unaoenda kutimia muda si mrefu.
Inasemekana kuwa ukiwa na ijara yako kwa maisha yako kwa kutumia mwezi hui na nyota yako ikaendana nao basi mafanikio au mikosi inaweza kutoweka.
Mahali mbalimbali leo kuna mikesha na mikusanyiko watu wakitafuta nguvu na wengine kuondoa mikosi au kuhitaji mafanikio.
Wadau na sisi karibuni tikeshe hapa ndani ya masaa haya 72 ya kuoatwa kwa mwezi na full [emoji281] moon hii.
Mkali hii ni kwa nyota zote dosen't who u are.Mfano i am scorpion [emoji889], does scorpion fits here
Kwanini mkuuYule aliyekuwa waziri wa moto mara moja na sasa wa wageni huenda yuko mubashara
Very much. We are in scopion season.Mfano i am scorpion [emoji889], does scorpion fits here
Kuna kiwingu kulia mwa mwezi kwa sie tulio Rubumbashi VP Tizee? Kwahiyo tuoge au?Pole ila tayari umepatwa na kuna upande upo nusu red ila unaangaza kwa nguvu dunia yote na unaonekana, labda kama kuna mawingu as nyie huko.
Nmetoka kuungalia naona unawaka kote sijaona redPole ila tayari umepatwa na kuna upande upo nusu red ila unaangaza kwa nguvu dunia yote na unaonekana, labda kama kuna mawingu as nyie huko.
Ewaaaaa hapo sawa Ili Kesho asubuhi niende ibadaniNgumi live 😂
It cost you nothing to stay quiet [emoji2958]This is madness.
Mwezi haikuondolei shida wala laana yeyote. Ni heavenly body tu inayozunguka Dunia na kujizungusha yenyewe.
Only the Designer can do that, His name is Jesus Christ.
Hahahaha naona nitamaliza pipa la maji aisee , thank you for sharing.. Sisi scorpion tuna sifa nyingi hatari sanaVery much. We are in scopion season.
Tena muda wa kuoga uoge sana[emoji23][emoji23] your element is water.