Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,283
- 4,553
Wakuu mnatisha kwa kupekua nyeti za vigogo.
Nauliza tuu jamani yule mama etu wa UN hajambo kweli?
Mkuu sijakusoma....mama yupi? maana kuna Watz kibao UN mama zetu!
Wakuu mnatisha kwa kupekua nyeti za vigogo.
Nauliza tuu jamani yule mama etu wa UN hajambo kweli?
Mkuu sijakusoma....mama yupi? maana kuna Watz kibao UN mama zetu!
Dr.nilijua wewe lazima utakuwa na takwimu zooote. Ni yule Deputy.
Yupi, yule wa Ban ki-Moon? Anaingiaje hapo?Mkuu sijakusoma....mama yupi? maana kuna Watz kibao UN mama zetu!
Wakuu mnatisha kwa kupekua nyeti za vigogo.
Nauliza tuu jamani yule mama etu wa UN hajambo kweli?
Mtu akishakufa hata yakiongelewa sasa hivi hamsaidii,
Mngemwambia akiwa hai kwani mlikuwa hamuoni kwamba ni kicheche,
kila mtu atakufa ye amekufa wala hajaugua muda mrefu, hamjui haya maneno yanawaumiza ndugu wa marehemu wakija kuyasoma
kila nafsi itaonja mauti
nia na madhumuni ya kuongelea ni kuwasaidia wale waliokuwa hai...
hata tungemwambia kabla hajafa isingemsaidia kwa ajili alikuwa ameathirika tiyari, ni vizuri kuliongelea sasa hivi kuwasaidia watu ambao hawajaathirika
nia na madhumuni ya kuongelea ni kuwasaidia wale waliokuwa hai...
hata tungemwambia kabla hajafa isingemsaidia kwa ajili alikuwa ameathirika tiyari, ni vizuri kuliongelea sasa hivi kuwasaidia watu ambao hawajaathirika
Yupi, yule wa Ban ki-Moon? Anaingiaje hapo?
RIP Meddy Mpakanjia.
mwenyezi Mungu mwenye wingi wa rehma alikupenda zaidi.
Pole kwa ndugu jamaa na marafiki.
Vipi yule dogo wa Chadema nasikia alikuwa anamega mke wa Meddy hebu aje atuambia kama ni uzushi.
Dada Pretty najua tupo pamoja.
tupo pamoja, ila nyie wanaume ndio muanze kuwa wagumu. Ukiona paja au chuchu wewe uchune tu kana kwamba hujaona.
tupo pamoja, ila nyie wanaume ndio muanze kuwa wagumu. Ukiona paja au chuchu wewe uchune tu kana kwamba hujaona.
nia na madhumuni ya kuongelea ni kuwasaidia wale waliokuwa hai...
hata tungemwambia kabla hajafa isingemsaidia kwa ajili alikuwa ameathirika tiyari, ni vizuri kuliongelea sasa hivi kuwasaidia watu ambao hawajaathirika
I am a new member to Jamii Forum, naamini nimefanya maamuzi sahihi kujiunga na sitajuta. ninfurahi kubadilishana mawazo na wanajamii wenzangu.
Karibu sana Mukani ingawa umeingilia toka juu ya paa. Kuna mlango wa kuingilia kama mgeni. Lakini si mbaya karibu sana hapa tuna msiba. Usishangae uko msibani watu hapa wanaongelea mambo ambayo usingekaa uyasikie kwenye misiba mingine yeyote. Nakuhakikishia hutajuta kujiunga hapa kijiweni bali utajuta kwanini ulichelewa kujiunga.
Nakupa jibu lepesi
Kuna aina mbili za HIV, HIV-1 and HIV-2, huenezwa zaidi na sexual contacts, both cause clinically indistinguishable AIDS. HIV-2 is less easily transmitted, and the period between initial infection and illness is longer in the case of HIV-2. HIV-1 huenezwa kwa wepesi na progression to AIDS iko faster. Wazungu wana zaidi HIV-2.
Sasa hata kwenye HIV-1 ina magroup 4 (M, N, O, P)
M ina subtype kama 10 (A-H) A D C ziko Africa na ni hatari sana ! Lakini B iko less virulent na iko ulaya na marekani.
![]()
Hizi ndizo sababu.
NB Dawa zote (ART) zilitengenezwa kwa subtype B waliko wazungu na baadaye zikaletwa kutumika kwa waafrica wenye subtype A D and C, ndiyo maana huwa naawaambia watu ART is not a solution. Tuache ngono zetu, tumia condom
Masa
mungu amuweke mahali pema MM
May the almight God Rest him in eternal Piece
etc etcMola ampumzihe kwa amani