mungu amuweke mahali pema MM
JojiPoji Mungu atamwekaje mahali pema !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!.
Huwezi kuwa mwaribifu alafu utegemee Mungu akuweke mahali pema.Sijui huu ni utamaduni wa kitanzania kuwasifia marehemu ilihali inafahamika matendo wakati wa uhai wao yalikuwa mabaya.
Tumwachie Mungu afanyekazi yake kwani misahafu yote [Quran & Bible] inasema wazi bila kificho mahali wanapokwenda wazinifu,majambazi,malaya,waeneza ukwimi kwa maksudi na wahuni ni moto wa milele.
Najua watakuja washabiki watadai si vyema kuwasema marehemu vibaya lakini ukweli lazima usemwe hata kama utawaumiza ndugu wa marehemu.
Mshahara wa dhambi ni mauti.Meddy aliutumia umaarufu wake vibaya na alistahili kufa.