Zakumi
JF-Expert Member
- Sep 24, 2008
- 5,063
- 2,492
Nakupa jibu lepesi
Kuna aina mbili za HIV, HIV-1 and HIV-2, huenezwa zaidi na sexual contacts, both cause clinically indistinguishable AIDS. HIV-2 is less easily transmitted, and the period between initial infection and illness is longer in the case of HIV-2. HIV-1 huenezwa kwa wepesi na progression to AIDS iko faster. Wazungu wana zaidi HIV-2.
Sasa hata kwenye HIV-1 ina magroup 4 (M, N, O, P)
M ina subtype kama 10 (A-H) A D C ziko Africa na ni hatari sana ! Lakini B iko less virulent na iko ulaya na marekani.
![]()
Hizi ndizo sababu.
NB Dawa zote (ART) zilitengenezwa kwa subtype B waliko wazungu na baadaye zikaletwa kutumika kwa waafrica wenye subtype A D and C, ndiyo maana huwa naawaambia watu ART is not a solution. Tuache ngono zetu, tumia condom
Masa
Masanilo:
Nimefurahishwa sana na maelezo yako. Lakini ningependa niweke masahihisho kidogo tu. HIV-2 haipo sana kwa wazungu. HIV-2 imeenea sana kwenye nchi za Africa Magharibi zinazozungumza kifaransa na kireno.
Vilevile ni muhimu kuelewa kuhusu utengenezaji wa madawa. Mashirika ya madawa, sera za serikali na mashirika ya misaada zinaangalia sana Takwimu katika utengenezaji wa madawa.
Hivyo takwimu zinapoonyesha kuwa idadi kubwa ya watu wanasumbuliwa sana na ugonjwa fulani basi juhudi zinakuwa kwenye ugonjwa huo.
HIV-1 imeenea sana. Hivyo madawa yaliyopo sasa ni ya HIV-1. HIV-2 haijaenea sana na kwa sababu imeenea nchi za Africa magharibi, juhudi zilizofanywa ni ndogo na hakuna madawa.
Pamoja na kusema kuwa HIV-2 imeenea West Africa, interaction kati ya watu wa huko na Tanzania ni kubwa.