William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,464
Well, nadhani huhitaji heshima yangu maana ninavyokumbuka wakati wote nimekuwa critic wako lakini kwa kuwa nakutambua na kukuheshimu wakati wote nimekuwa nakufanyia constructive criticism. Nionyeshe ni wapi niliwahi kukufanyia personal attacks hata nilipokuwa natumia Tanzanianjema ambalo kamwe halikuwa anonymous kwa mtu yeyote anijuaye.....Na wala sikujificha na kutumia majina kibao
Hata hivyo kama unataka personal attacks ulizokubuhu nazo....bring it on....
Najijua mwenyewe kwani nimetambua hatma yangu siku nyingi sana na ninaishi nayo tangia wakati huo.....sijakumbuka shuka kumekuchwa. And believe me I might be respecting you but kitu fear for anybody or anything hakipo kwenye vocabulary yangu
omarilyas
- Bwana Omaar, heshima yako tena kaka, ninashukuru sana ndugu yangu kwamba finally unaweza kunijibu kwa heshima na in a civilizied way, ya fear na ID nyingi sikuyasema ila ni wewe ndiye umeyasema,
- katika siasa kama sheria ni mwiko sana kusema maneno ambayo hukuulizwa kwani huwa ni njia rahisi sana ya kuweka wazi weakness zako mwenyewe, kwa wazoefu wa details kama mimi.
- I am looking forward from now on kuwa na mijadala constractive in its criticism na wewe, as opposed na personal speculations attacks kama ilivyokuwa zamani, wewe ni mtumzima umenisikia na mimi pia nimekusikia, huwa sio tabia yangu kukurupuka hovyo bila sababu.
Respect.
FMEs!