Mungi wanasema eti ni King'asti aise sijui kama kapewa talaka au bado yupo Vin Diesel dah naona jukwaa sio jema tena aise mkuu Buchanan anatembelea huku kama kwake charminglady dah hakufai tena chit chat aise nina mpango wa kuhamia jukwaa lile la chini kabisa nikajiachie
Mkuu unajua kwanini Buchanan anazurura huku? lazima atakuwa kapokea rushwa kwenye lile jukwaa letu afu akatoa wrong judgement sasa anatafutwa kwa kitu chenye ncha kali........ amekuja huku kujificha hahahahaaaaaa................... aisee msije mkanipeleka selo na huku dah!
Mungi sasa inabidi tuwe member wa lile jukwaaa la kujiachia maana huku kushaota nyasi
Nimeanzisha uzi jana duh ghafla ukafungwa aise naogopa sana kupata ban aise kwenye chit chat
Mungi sasa inabidi tuwe member wa lile jukwaaa la kujiachia maana huku kushaota nyasi
Nimeanzisha uzi jana duh ghafla ukafungwa aise naogopa sana kupata ban aise kwenye chit chat
Jukwaa gani mkuu ambalo akina Buchanan na Paw hawawezi kufika.................. niambie pole pole twende kule maana huku si unaona jamaa yupo nyuma ya sofa hahaaa :behindsofa:
Lile jukwaa la wakubwa Mungi unakaa kule unaangalia mapicha na kuongea lolote bila wasi wasi
Ila nako siku hizi nasikia akina Paw na Buchanan wapo wanapiga chabo