Mnyonge mnyongeni - Kwa mafanikio haya, Rais Samia umetutendea haki wakulima

Mnyonge mnyongeni - Kwa mafanikio haya, Rais Samia umetutendea haki wakulima

msuyaeric

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2014
Posts
862
Reaction score
1,249
Na, Kalamu ya Jenerali, Mbalali

Katika zama ambapo kilimo kilionekana kama kazi ya kizamani isiyo na tija, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekuja na mtazamo mpya, ambao umegeuza kilimo kuwa fursa muhimu ya kibiashara. Sauti za wakulima ambazo kwa muda mrefu zilisikika kama kilio kisicho na majibu, sasa zinasikika na hatua zenye matokeo zinachukuliwa.

Takwimu hazidanganyi. Ukuaji wa sekta ya kilimo umeongezeka kutoka asilimia 2.6 mwaka 2021 hadi asilimia 4.2 mwaka 2023. Na kwa mwendo huu, serikali inalenga kufikia asilimia 5 mwaka 2026 na hatimaye asilimia 10 ifikapo 2030.

Aidha, thamani ya mauzo ya mazao ya kilimo nje ya nchi imeongezeka kutoka Dola bilioni 1.2 mwaka 2019/2020 hadi Dola bilioni 3.54 mwaka 2023/2024. Hili ni ongezeko la zaidi ya mara mbili katika kipindi kifupi hatua inayoonyesha Tanzania inatambulika si kwa utalii pekee, bali pia kwa ubora wa mazao yake ya kilimo duniani.

Uzalishaji wa mazao ya chakula umeongezeka kwa kiwango kikubwa kutoka tani milioni 17.14 mwaka 2021/2022 hadi tani milioni 22.80 mwaka 2023/2024. Sasa Watanzania hawazungumzii tu kuhusu usalama wa chakula, bali pia nafasi ya kuisambaza Afrika Mashariki na hata nje ya bara. Ndoto ya Tanzania kuwa food basket wa ukanda huu si hadithi tena ni mwelekeo wenye uhalisia.

Kwa upande wa mahindi, Tanzania sasa ni mzalishaji wa pili kwa ukubwa barani Afrika. Kutoka Tani milioni 6.4 mwaka 2021 hadi tani milioni 12.26 mwaka 2023/2024. Wakulima hawahitaji tena kusubiri miujiza ya mvua au huruma ya madalali, sasa wana uhakika wa pembejeo, elimu ya ugani, na masoko ya uhakika.

Mafanikio haya yamewezekana kutokana na mikakati madhubuti iliyowekwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu, ikiwa ni pamoja na;
  • Kuimarisha huduma za ugani,
  • Kuwezesha upatikanaji wa pembejeo bora kwa wakati,
  • Kuanzisha skimu za kisasa za umwagiliaji,
  • Kuweka mifumo ya masoko na bei shindani,
  • Na kufufua taasisi kama bodi za mazao ili kuwa bega kwa bega na mkulima.

Kwa mara ya kwanza, wakulima tunajiona si wanyonge tena bali washirika halisi wa maendeleo ya taifa. Hili ni taifa la kazi, si maneno. Na kazi hiyo inaongozwa na Rais mchapakazi, msikivu, na mwenye maono.
 
Na, Kalamu ya Jenerali, Mbalali

Katika zama ambapo kilimo kilionekana kama kazi ya kizamani isiyo na tija, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekuja na mtazamo mpya, ambao umegeuza kilimo kuwa fursa muhimu ya kibiashara. Sauti za wakulima ambazo kwa muda mrefu zilisikika kama kilio kisicho na majibu, sasa zinasikika na hatua zenye matokeo zinachukuliwa.

Takwimu hazidanganyi. Ukuaji wa sekta ya kilimo umeongezeka kutoka asilimia 2.6 mwaka 2021 hadi asilimia 4.2 mwaka 2023. Na kwa mwendo huu, serikali inalenga kufikia asilimia 5 mwaka 2026 na hatimaye asilimia 10 ifikapo 2030.

Aidha, thamani ya mauzo ya mazao ya kilimo nje ya nchi imeongezeka kutoka Dola bilioni 1.2 mwaka 2019/2020 hadi Dola bilioni 3.54 mwaka 2023/2024. Hili ni ongezeko la zaidi ya mara mbili katika kipindi kifupi hatua inayoonyesha Tanzania inatambulika si kwa utalii pekee, bali pia kwa ubora wa mazao yake ya kilimo duniani.

Uzalishaji wa mazao ya chakula umeongezeka kwa kiwango kikubwa kutoka tani milioni 17.14 mwaka 2021/2022 hadi tani milioni 22.80 mwaka 2023/2024. Sasa Watanzania hawazungumzii tu kuhusu usalama wa chakula, bali pia nafasi ya kuisambaza Afrika Mashariki na hata nje ya bara. Ndoto ya Tanzania kuwa food basket wa ukanda huu si hadithi tena ni mwelekeo wenye uhalisia.

Kwa upande wa mahindi, Tanzania sasa ni mzalishaji wa pili kwa ukubwa barani Afrika. Kutoka Tani milioni 6.4 mwaka 2021 hadi tani milioni 12.26 mwaka 2023/2024. Wakulima hawahitaji tena kusubiri miujiza ya mvua au huruma ya madalali, sasa wana uhakika wa pembejeo, elimu ya ugani, na masoko ya uhakika.

Mafanikio haya yamewezekana kutokana na mikakati madhubuti iliyowekwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu, ikiwa ni pamoja na;
  • Kuimarisha huduma za ugani,
  • Kuwezesha upatikanaji wa pembejeo bora kwa wakati,
  • Kuanzisha skimu za kisasa za umwagiliaji,
  • Kuweka mifumo ya masoko na bei shindani,
  • Na kufufua taasisi kama bodi za mazaoili kuwa bega kwa bega na mkulima.

Kwa mara ya kwanza, wakulima tunajiona si wanyonge tena bali washirika halisi wa maendeleo ya taifa. Hili ni taifa la kazi, si maneno. Na kazi hiyo inaongozwa na Rais mchapakazi, msikivu, na mwenye maono.
Well said, lakini kwa masikitiko wale wanaomtazama Samia kwa jicho la chuki hawawezi kuona haya mafanikio. Tena bila shaka wanaumia kweli wakiona mafanikio chini ya Raisi Samia.
 
Tulia kidogo mkuu, bado tunamambo mazito nchini
 
Yaani kodi Zetu ndo mnasema maendeleo ya mtu
 
Na, Kalamu ya Jenerali, Mbalali

Katika zama ambapo kilimo kilionekana kama kazi ya kizamani isiyo na tija, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekuja na mtazamo mpya, ambao umegeuza kilimo kuwa fursa muhimu ya kibiashara. Sauti za wakulima ambazo kwa muda mrefu zilisikika kama kilio kisicho na majibu, sasa zinasikika na hatua zenye matokeo zinachukuliwa.

Takwimu hazidanganyi. Ukuaji wa sekta ya kilimo umeongezeka kutoka asilimia 2.6 mwaka 2021 hadi asilimia 4.2 mwaka 2023. Na kwa mwendo huu, serikali inalenga kufikia asilimia 5 mwaka 2026 na hatimaye asilimia 10 ifikapo 2030.

Aidha, thamani ya mauzo ya mazao ya kilimo nje ya nchi imeongezeka kutoka Dola bilioni 1.2 mwaka 2019/2020 hadi Dola bilioni 3.54 mwaka 2023/2024. Hili ni ongezeko la zaidi ya mara mbili katika kipindi kifupi hatua inayoonyesha Tanzania inatambulika si kwa utalii pekee, bali pia kwa ubora wa mazao yake ya kilimo duniani.

Uzalishaji wa mazao ya chakula umeongezeka kwa kiwango kikubwa kutoka tani milioni 17.14 mwaka 2021/2022 hadi tani milioni 22.80 mwaka 2023/2024. Sasa Watanzania hawazungumzii tu kuhusu usalama wa chakula, bali pia nafasi ya kuisambaza Afrika Mashariki na hata nje ya bara. Ndoto ya Tanzania kuwa food basket wa ukanda huu si hadithi tena ni mwelekeo wenye uhalisia.

Kwa upande wa mahindi, Tanzania sasa ni mzalishaji wa pili kwa ukubwa barani Afrika. Kutoka Tani milioni 6.4 mwaka 2021 hadi tani milioni 12.26 mwaka 2023/2024. Wakulima hawahitaji tena kusubiri miujiza ya mvua au huruma ya madalali, sasa wana uhakika wa pembejeo, elimu ya ugani, na masoko ya uhakika.

Mafanikio haya yamewezekana kutokana na mikakati madhubuti iliyowekwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu, ikiwa ni pamoja na;
  • Kuimarisha huduma za ugani,
  • Kuwezesha upatikanaji wa pembejeo bora kwa wakati,
  • Kuanzisha skimu za kisasa za umwagiliaji,
  • Kuweka mifumo ya masoko na bei shindani,
  • Na kufufua taasisi kama bodi za mazao ili kuwa bega kwa bega na mkulima.

Kwa mara ya kwanza, wakulima tunajiona si wanyonge tena bali washirika halisi wa maendeleo ya taifa. Hili ni taifa la kazi, si maneno. Na kazi hiyo inaongozwa na Rais mchapakazi, msikivu, na mwenye maono.
Huu ni muujiza wa Reforms. Takwimu hazidanganyi. Hongera sana mama na waziri wako wa kilimo.

Mfupa uliowashinda awamu zote, mama anaufikicha kama nyama aliyopikiwa kibogoyo, kwa ulaini kabisa.

Mama Ma shaa Allah anasthili tuzo na pongezi.
 
Huu ni muujiza wa Reforms. Takwimu hazidanganyi. Hongera sana mama na waziri wako wa kilimo.

Mfupa uliowashinda awamu zote, mama anaufikicha kama nyama aliyopikiwa kibogoyo, kwa ulaini kabisa.

Mama Ma shaa Allah anasthili tuzo na pongezi.
Allah Akbar umefufuka
 
Huu ni muujiza wa Reforms. Takwimu hazidanganyi. Hongera sana mama na waziri wako wa kilimo.

Mfupa uliowashinda awamu zote, mama anaufikicha kama nyama aliyopikiwa kibogoyo, kwa ulaini kabisa.

Mama Ma shaa Allah anasthili tuzo na pongezi.
Na amlinde na maadui kwa kweli.
 
Na, Kalamu ya Jenerali, Mbalali

Katika zama ambapo kilimo kilionekana kama kazi ya kizamani isiyo na tija, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekuja na mtazamo mpya, ambao umegeuza kilimo kuwa fursa muhimu ya kibiashara. Sauti za wakulima ambazo kwa muda mrefu zilisikika kama kilio kisicho na majibu, sasa zinasikika na hatua zenye matokeo zinachukuliwa.

Takwimu hazidanganyi. Ukuaji wa sekta ya kilimo umeongezeka kutoka asilimia 2.6 mwaka 2021 hadi asilimia 4.2 mwaka 2023. Na kwa mwendo huu, serikali inalenga kufikia asilimia 5 mwaka 2026 na hatimaye asilimia 10 ifikapo 2030.

Aidha, thamani ya mauzo ya mazao ya kilimo nje ya nchi imeongezeka kutoka Dola bilioni 1.2 mwaka 2019/2020 hadi Dola bilioni 3.54 mwaka 2023/2024. Hili ni ongezeko la zaidi ya mara mbili katika kipindi kifupi hatua inayoonyesha Tanzania inatambulika si kwa utalii pekee, bali pia kwa ubora wa mazao yake ya kilimo duniani.

Uzalishaji wa mazao ya chakula umeongezeka kwa kiwango kikubwa kutoka tani milioni 17.14 mwaka 2021/2022 hadi tani milioni 22.80 mwaka 2023/2024. Sasa Watanzania hawazungumzii tu kuhusu usalama wa chakula, bali pia nafasi ya kuisambaza Afrika Mashariki na hata nje ya bara. Ndoto ya Tanzania kuwa food basket wa ukanda huu si hadithi tena ni mwelekeo wenye uhalisia.

Kwa upande wa mahindi, Tanzania sasa ni mzalishaji wa pili kwa ukubwa barani Afrika. Kutoka Tani milioni 6.4 mwaka 2021 hadi tani milioni 12.26 mwaka 2023/2024. Wakulima hawahitaji tena kusubiri miujiza ya mvua au huruma ya madalali, sasa wana uhakika wa pembejeo, elimu ya ugani, na masoko ya uhakika.

Mafanikio haya yamewezekana kutokana na mikakati madhubuti iliyowekwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu, ikiwa ni pamoja na;
  • Kuimarisha huduma za ugani,
  • Kuwezesha upatikanaji wa pembejeo bora kwa wakati,
  • Kuanzisha skimu za kisasa za umwagiliaji,
  • Kuweka mifumo ya masoko na bei shindani,
  • Na kufufua taasisi kama bodi za mazao ili kuwa bega kwa bega na mkulima.

Kwa mara ya kwanza, wakulima tunajiona si wanyonge tena bali washirika halisi wa maendeleo ya taifa. Hili ni taifa la kazi, si maneno. Na kazi hiyo inaongozwa na Rais mchapakazi, msikivu, na mwenye maono.
Nyumbu na kenge wengine watakwambia amefungia kanis la Gwajiboy 😂😂

Samia sio myonge,hanyongwi na maua yake anapewa akiwa hai anaona.
 
Na, Kalamu ya Jenerali, Mbalali

Katika zama ambapo kilimo kilionekana kama kazi ya kizamani isiyo na tija, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekuja na mtazamo mpya, ambao umegeuza kilimo kuwa fursa muhimu ya kibiashara. Sauti za wakulima ambazo kwa muda mrefu zilisikika kama kilio kisicho na majibu, sasa zinasikika na hatua zenye matokeo zinachukuliwa.

Takwimu hazidanganyi. Ukuaji wa sekta ya kilimo umeongezeka kutoka asilimia 2.6 mwaka 2021 hadi asilimia 4.2 mwaka 2023. Na kwa mwendo huu, serikali inalenga kufikia asilimia 5 mwaka 2026 na hatimaye asilimia 10 ifikapo 2030.

Aidha, thamani ya mauzo ya mazao ya kilimo nje ya nchi imeongezeka kutoka Dola bilioni 1.2 mwaka 2019/2020 hadi Dola bilioni 3.54 mwaka 2023/2024. Hili ni ongezeko la zaidi ya mara mbili katika kipindi kifupi hatua inayoonyesha Tanzania inatambulika si kwa utalii pekee, bali pia kwa ubora wa mazao yake ya kilimo duniani.

Uzalishaji wa mazao ya chakula umeongezeka kwa kiwango kikubwa kutoka tani milioni 17.14 mwaka 2021/2022 hadi tani milioni 22.80 mwaka 2023/2024. Sasa Watanzania hawazungumzii tu kuhusu usalama wa chakula, bali pia nafasi ya kuisambaza Afrika Mashariki na hata nje ya bara. Ndoto ya Tanzania kuwa food basket wa ukanda huu si hadithi tena ni mwelekeo wenye uhalisia.

Kwa upande wa mahindi, Tanzania sasa ni mzalishaji wa pili kwa ukubwa barani Afrika. Kutoka Tani milioni 6.4 mwaka 2021 hadi tani milioni 12.26 mwaka 2023/2024. Wakulima hawahitaji tena kusubiri miujiza ya mvua au huruma ya madalali, sasa wana uhakika wa pembejeo, elimu ya ugani, na masoko ya uhakika.

Mafanikio haya yamewezekana kutokana na mikakati madhubuti iliyowekwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu, ikiwa ni pamoja na;
  • Kuimarisha huduma za ugani,
  • Kuwezesha upatikanaji wa pembejeo bora kwa wakati,
  • Kuanzisha skimu za kisasa za umwagiliaji,
  • Kuweka mifumo ya masoko na bei shindani,
  • Na kufufua taasisi kama bodi za mazao ili kuwa bega kwa bega na mkulima.

Kwa mara ya kwanza, wakulima tunajiona si wanyonge tena bali washirika halisi wa maendeleo ya taifa. Hili ni taifa la kazi, si maneno. Na kazi hiyo inaongozwa na Rais mchapakazi, msikivu, na mwenye maono.
Naungana na wewe,Upo sahihi asilimia mia,Wenye roho mbaya watakutukana.
 
Huu ni muujiza wa Reforms. Takwimu hazidanganyi. Hongera sana mama na waziri wako wa kilimo.
Mfupa uliowashinda awamu zote, mama anaufikicha kama nyama aliyopikiwa kibogoyo, kwa ulaini kabisa.

Mama Ma shaa Allah anasthili tuzo na pongezi.
 
Chawa kazini ukienda kijijini ukayasema hayo watakupopoa na mawe nyie ndio mnampotosha huyu mama wa watu
 
Na, Kalamu ya Jenerali, Mbalali

Katika zama ambapo kilimo kilionekana kama kazi ya kizamani isiyo na tija, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekuja na mtazamo mpya, ambao umegeuza kilimo kuwa fursa muhimu ya kibiashara. Sauti za wakulima ambazo kwa muda mrefu zilisikika kama kilio kisicho na majibu, sasa zinasikika na hatua zenye matokeo zinachukuliwa.

Takwimu hazidanganyi. Ukuaji wa sekta ya kilimo umeongezeka kutoka asilimia 2.6 mwaka 2021 hadi asilimia 4.2 mwaka 2023. Na kwa mwendo huu, serikali inalenga kufikia asilimia 5 mwaka 2026 na hatimaye asilimia 10 ifikapo 2030.

Aidha, thamani ya mauzo ya mazao ya kilimo nje ya nchi imeongezeka kutoka Dola bilioni 1.2 mwaka 2019/2020 hadi Dola bilioni 3.54 mwaka 2023/2024. Hili ni ongezeko la zaidi ya mara mbili katika kipindi kifupi hatua inayoonyesha Tanzania inatambulika si kwa utalii pekee, bali pia kwa ubora wa mazao yake ya kilimo duniani.

Uzalishaji wa mazao ya chakula umeongezeka kwa kiwango kikubwa kutoka tani milioni 17.14 mwaka 2021/2022 hadi tani milioni 22.80 mwaka 2023/2024. Sasa Watanzania hawazungumzii tu kuhusu usalama wa chakula, bali pia nafasi ya kuisambaza Afrika Mashariki na hata nje ya bara. Ndoto ya Tanzania kuwa food basket wa ukanda huu si hadithi tena ni mwelekeo wenye uhalisia.

Kwa upande wa mahindi, Tanzania sasa ni mzalishaji wa pili kwa ukubwa barani Afrika. Kutoka Tani milioni 6.4 mwaka 2021 hadi tani milioni 12.26 mwaka 2023/2024. Wakulima hawahitaji tena kusubiri miujiza ya mvua au huruma ya madalali, sasa wana uhakika wa pembejeo, elimu ya ugani, na masoko ya uhakika.

Mafanikio haya yamewezekana kutokana na mikakati madhubuti iliyowekwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu, ikiwa ni pamoja na;
  • Kuimarisha huduma za ugani,
  • Kuwezesha upatikanaji wa pembejeo bora kwa wakati,
  • Kuanzisha skimu za kisasa za umwagiliaji,
  • Kuweka mifumo ya masoko na bei shindani,
  • Na kufufua taasisi kama bodi za mazao ili kuwa bega kwa bega na mkulima.

Kwa mara ya kwanza, wakulima tunajiona si wanyonge tena bali washirika halisi wa maendeleo ya taifa. Hili ni taifa la kazi, si maneno. Na kazi hiyo inaongozwa na Rais mchapakazi, msikivu, na mwenye maono.
Empty head 🚮
 
1738852660847.jpg
 
Back
Top Bottom