Mnyika kuzindua kanda ya Kusini rasmi

Mnyika kuzindua kanda ya Kusini rasmi

Nimesha muomba chemba...Tusonge mbele
Haya turudi kwenye mada sasa... kama ndo utachukulia kila siku huwa naiponda CHADEMA, shauri yako!! If you're serious, tafuteni watu wenye ushawishi na uwezo wakaongoze kanda ambazo CHADEMA haina nguvu na katu, domicile ya mtu isiwe ndiyo kigezo cha kumfanya awe kiongozi wa kanda husika!! IKiwa pale Ufipa kuna watu walio na nguvu ya ushawishi, wapelekeni huko wakajenge uelewa vinginevyo kila siku mtaishia kulalamika kwamba mmeibiwa kura wakati hakuna jitihada ambazo zilifanyika katika kupata hizo kura! Kilal siku mtaendelea kulalamika kwamba watu wa kusini hawajasoma kumbe ni wenyewe ndio mmeshindwa kuwashawishi!! Zamani sana, kama sikosei mwaka 2009, niliwahi kusema hapa hapa jamvini kwamba CHADEMA wana nafasi kubwa sana ya ku-excel maeno kama ya Kusini, Singida, na Rukwa coz' yale maeneo yamesahaulika mno, na kila dongo utakalopiga dhidi ya CCM, lazima litatua mahala pake!! Lakini kama ilivyo kawaida, mkaanza kashifa... mlitaka eti niseme CHADEMA ina nguvu kila mahali!!

Hivyo basi, wale akina Mnyika hakuna wanachofanya pale Ufipa katika kipindi lala salama kama hiki ingawaje ni kweli pia timing imeshakuwa ngumu tofauti na pale tuliposhauri kwa mara ya kwanza! Yule Mnyika na watu wengine kama yeye, hakuna cha maana wanachofanya pale Ufipa zaidi ya kusubiria viongozi wa serikali waharibu kisha waitishe press conference na kutishia kuandamana! Yapo mambo ya msingi zaidi ya kufanya kuliko hayo ya kila siku kuitisha press conference! Yule Profesa Safari yule... are you guys serious? Mtu mwenyewe hata kuongea ni taabu tupu halafu mnampa kanda yenye changamoto kama ya Mashariki!! Tangu lini Profesa Safari amebobea kwenye siasa za majukwaani hata apewe jukumu zito kama hilo?! Au ilikuwa ni lazima apate nafasi??
 
Mh mnyika endelea kufanya kaz ya Mungu kuwapa elim ya uraia mkuu Mungu akitangulie pamoja tunashulika na wachumia tombo wachache waobeza kaz unayo fanya
 
Piga kazi Mnyika!...we are all proud of you!

Wasaliti wanahaha kweli...Leo wapo iringa na matangazo tofauti tofauti!..wanajidanganya sana
 
Haya turudi kwenye mada sasa... kama ndo utachukulia kila siku huwa naiponda CHADEMA, shauri yako!! If you're serious, tafuteni watu wenye ushawishi na uwezo wakaongoze kanda ambazo CHADEMA haina nguvu na katu, domicile ya mtu isiwe ndiyo kigezo cha kumfanya awe kiongozi wa kanda husika!! IKiwa pale Ufipa kuna watu walio na nguvu ya ushawishi, wapelekeni huko wakajenge uelewa vinginevyo kila siku mtaishia kulalamika kwamba mmeibiwa kura wakati hakuna jitihada ambazo zilifanyika katika kupata hizo kura! Kilal siku mtaendelea kulalamika kwamba watu wa kusini hawajasoma kumbe ni wenyewe ndio mmeshindwa kuwashawishi!! Zamani sana, kama sikosei mwaka 2009, niliwahi kusema hapa hapa jamvini kwamba CHADEMA wana nafasi kubwa sana ya ku-excel maeno kama ya Kusini, Singida, na Rukwa coz' yale maeneo yamesahaulika mno, na kila dongo utakalopiga dhidi ya CCM, lazima litatua mahala pake!! Lakini kama ilivyo kawaida, mkaanza kashifa... mlitaka eti niseme CHADEMA ina nguvu kila mahali!!

Hivyo basi, wale akina Mnyika hakuna wanachofanya pale Ufipa katika kipindi lala salama kama hiki ingawaje ni kweli pia timing imeshakuwa ngumu tofauti na pale tuliposhauri kwa mara ya kwanza! Yule Mnyika na watu wengine kama yeye, hakuna cha maana wanachofanya pale Ufipa zaidi ya kusubiria viongozi wa serikali waharibu kisha waitishe press conference na kutishia kuandamana! Yapo mambo ya msingi zaidi ya kufanya kuliko hayo ya kila siku kuitisha press conference! Yule Profesa Safari yule... are you guys serious? Mtu mwenyewe hata kuongea ni taabu tupu halafu mnampa kanda yenye changamoto kama ya Mashariki!! Tangu lini Profesa Safari amebobea kwenye siasa za majukwaani hata apewe jukumu zito kama hilo?! Au ilikuwa ni lazima apate nafasi??

Kama hujui kitu bora uulize usijitie ujuaji usiokuwa nao.

Professor Safari ni kiongozi wa Kanda ya Mashariki?

Kashfa kwa Mnyika kisa tu alichukua nafasi ya Ayatollah?
 
Mkuu mimi huwa sijali mtu akinitukana kwa sababu naamini siku zote Wafuasi wa CCM wanaporomosha matusi wanapozidiwa hoja na Makamanda wa CDM
Hebu kuwa mkweli huku ukimuogopa Mungu wako ikiwa unaamini katika Mungu! Mimi niliandika post kuhusu critics ambayo niliitoa kwa CHADEMA kama taasisi... critic ambayo hata mwenzenu amekuja kuthibitisha hapa... na wala haikuwa negative criticism lakini badala yake, wewe unaibuka from nowhere na kusema:
Acha porojo wewe mfuasi wa CCM.Subiri dawa ikuingie vizuri.

Mtadata sana mwaka huu CCM na vibaraka wenu!
Sasa hiyo hoja unayosema ulinishinda ama mlinishinda ni ipi?
 
Piga kazi Mnyika!...we are all proud of you!

Wasaliti wanahaha kweli...Leo wapo iringa na matangazo tofauti tofauti!..wanajidanganya sana

Mnyika ni Simba wa Vita.Wafuasi wa CCM hawataki kabisa kumsikia.
 
Mtaka yote kwa pupa hukosa yote.Chadema isipoangalia itachukua jimbo la mtei tu.Maana wanaleta siasa za kupanic.

October sioni jimbo lolote huku Kanda ya ziwa litakaloangukia ccm. CDM imepokelewa vizuri sana na wasukuma.Eccm yachile chichichi okunhu!
 
Hebu kuwa mkweli huku ukimuogopa Mungu wako ikiwa unaamini katika Mungu! Mimi niliandika post kuhusu critics ambayo niliitoa kwa CHADEMA kama taasisi... critic ambayo hata mwenzenu amekuja kuthibitisha hapa... na wala haikuwa negative criticism lakini badala yake, wewe unaibuka from nowhere na kusema:Sasa hiyo hoja unayosema ulinishinda ama mlinishinda ni ipi?

Hivi kuna wakati ulishawahi kutoa hoja hapa we we poyoyo? kila nikiona hoja zako naonaga uharo tu
 
Leo umechukua ngapi kutoka kwa El?
Huo ndio mradi wangu wa kuendeshea maisha, usiulize leo nimechukua ngapi as if mimi ni daiwaka hivyo nalipwa kwa siku!, mimi ni retainer!, angalia tusije kukupa siri hao mabosi wako wanavuta ngapi kutokea huku!, siku zote nawasisitizia nyie manazi wa Chadema, mpaka sasa UKAWA bado haina mgombea urais, baadhi ya maneno yenu yawekeni akiba mtakuja kulazimika kulamba matapishi yenu mbele ya kadamnasi ya watu!.

Pasco
 
Kama hujui kitu bora uulize usijitie ujuaji usiokuwa nao.

Professor Safari ni kiongozi wa Kanda ya Mashariki?

Kashfa kwa Mnyika kisa tu alichukua nafasi ya Ayatollah?
Ona sasa... kwahiyo kwa mtazamo wako wewe nimemkashifu Mnyika!!! Maajabu haya... by the way, hilo la Ayatollah sijui nini mimi linanihusu nini? Kuhusu Profesa Safari, hivi huoni kwamba unajishughulisha na mambo madogo madogo??!! Nimemataja kama Kiongozi wa Kanda ya Mashariki kumbe ni ya Pwani... does it make any difference? Kwanini usijadili hoja ya msingi ikiwa ni mweledi katika siasa za majukwani hadi anapewa nafasi mzito kama hiyo au hapana lakini badala yake unajadili hoja ambayo it's like "ay" in "okay"
 
Haya turudi kwenye mada sasa... kama ndo utachukulia kila siku huwa naiponda CHADEMA, shauri yako!! If you're serious, tafuteni watu wenye ushawishi na uwezo wakaongoze kanda ambazo CHADEMA haina nguvu na katu, domicile ya mtu isiwe ndiyo kigezo cha kumfanya awe kiongozi wa kanda husika!! IKiwa pale Ufipa kuna watu walio na nguvu ya ushawishi, wapelekeni huko wakajenge uelewa vinginevyo kila siku mtaishia kulalamika kwamba mmeibiwa kura wakati hakuna jitihada ambazo zilifanyika katika kupata hizo kura! Kilal siku mtaendelea kulalamika kwamba watu wa kusini hawajasoma kumbe ni wenyewe ndio mmeshindwa kuwashawishi!! Zamani sana, kama sikosei mwaka 2009, niliwahi kusema hapa hapa jamvini kwamba CHADEMA wana nafasi kubwa sana ya ku-excel maeno kama ya Kusini, Singida, na Rukwa coz' yale maeneo yamesahaulika mno, na kila dongo utakalopiga dhidi ya CCM, lazima litatua mahala pake!! Lakini kama ilivyo kawaida, mkaanza kashifa... mlitaka eti niseme CHADEMA ina nguvu kila mahali!!

Hivyo basi, wale akina Mnyika hakuna wanachofanya pale Ufipa katika kipindi lala salama kama hiki ingawaje ni kweli pia timing imeshakuwa ngumu tofauti na pale tuliposhauri kwa mara ya kwanza! Yule Mnyika na watu wengine kama yeye, hakuna cha maana wanachofanya pale Ufipa zaidi ya kusubiria viongozi wa serikali waharibu kisha waitishe press conference na kutishia kuandamana! Yapo mambo ya msingi zaidi ya kufanya kuliko hayo ya kila siku kuitisha press conference! Yule Profesa Safari yule... are you guys serious? Mtu mwenyewe hata kuongea ni taabu tupu halafu mnampa kanda yenye changamoto kama ya Mashariki!! Tangu lini Profesa Safari amebobea kwenye siasa za majukwaani hata apewe jukumu zito kama hilo?! Au ilikuwa ni lazima apate nafasi??
Kweli nimeamini una wivu wa kike na uwezi kujizuia kabisa mnyika alikunyima nini au ndio umetumwa na mzee zirro mwache kijana afanye kaz chuki binafsi atutaki
 
Huo ndio mradi wangu wa kuendeshea maisha, usiulize leo nimechukua ngapi as if mimi ni daiwaka hivyo nalipwa kwa siku!, mimi ni retainer!, angalia tusije kukupa siri hao mabosi wako wanavuta ngapi kutokea huku!, siku zote nawasisitizia nyie manazi wa Chadema, mpaka sasa UKAWA bado haina mgombea urais, baadhi ya maneno yenu yawekeni akiba mtakuja kulazimika kulamba matapishi yenu mbele ya kadamnasi ya watu!.

Pasco

Mkuu endeleza usakatonge lakini mwisho wake nimbaya sana
 
Huo ndio mradi wangu wa kuendeshea maisha, usiulize leo nimechukua ngapi as if mimi ni daiwaka hivyo nalipwa kwa siku!, mimi ni retainer!, angalia tusije kukupa siri hao mabosi wako wanavuta ngapi kutokea huku!, siku zote nawasisitizia nyie manazi wa Chadema, mpaka sasa UKAWA bado haina mgombea urais, baadhi ya maneno yenu yawekeni akiba mtakuja kulazimika kulamba matapishi yenu mbele ya kadamnasi ya watu!.

Pasco

Kweli atakae vumilia mpaka mwisho ndie atakae okoka Psco sikuizi na wewe umewekwa kinyumba pole kakwauza utu wako Mnyika endelea kubicha Dawa iwaingie vizuri naona wanaongezeka
 
Last edited by a moderator:
Ona sasa... kwahiyo kwa mtazamo wako wewe nimemkashifu Mnyika!!! Maajabu haya... by the way, hilo la Ayatollah sijui nini mimi linanihusu nini? Kuhusu Profesa Safari, hivi huoni kwamba unajishughulisha na mambo madogo madogo??!! Nimemataja kama Kiongozi wa Kanda ya Mashariki kumbe ni ya Pwani... does it make any difference? Kwanini usijadili hoja ya msingi ikiwa ni mweledi katika siasa za majukwani hadi anapewa nafasi mzito kama hiyo au hapana lakini badala yake unajadili hoja ambayo it's like "ay" in "okay"

Naomba nikusaidie maana unazidi kupotoka...

Profesor Safari ni Makamu wa Mwenyekiti Taifa.Na Mwenyekiti wa Pwani ni Mabere Marando.
 
Back
Top Bottom