Cuf wawe makini na chadema vinginevyo watafutika.T.bara
Ngome yao imeingiliwa kiongozi
Cuf wawe makini na chadema vinginevyo watafutika.T.bara
Wana mtwara hawataki ukanda...
Mkuu tafuta ofisi ya ACT WAZALENDO uchukue kadi ili tuuirudishe nchi yetu kwenye misingi.KALIBU SANA MZALENDO.
Hivi Ayatollah Zitto ni mzalendo????!!!!
Wana mtwara hawataki ukanda...
Asante kiongozi nitakaribia
Siku hizi usaliti ndio uzalendo? poleni kina Yuda Iskarioti
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kitakuwa na kikao cha Kanda ya Kusini ambacho hotuba ya ufunguzi itatolewa na NKMB JJ Mnyika, leo kuanzia saa 10.00 asubuhi Ukumbi wa, karibu na Maisha Club. kesho pia atafanya mkutano mkubwa hapo Mtwara Mjini kuanzia saa 8 mchana.
Ziara hiyo ni mwendelezo wa maboresho ya Kanda za Chama ikiwa ni maandalizi kuelekea uchaguzi Mkuu..
Ziara ya kanda ya Kusini itakuwa inahitimisha ziara za maboresho ya kanda nane za Tanganyika zilizo anza tangu mwezi Februari ikiwa ni azimio la Kamati kuu la kuziboresha kanda nane za kichama za Tanganyika kabla kuelekea Zanzibar na kuboresha kanda mbili za upande wa visiwani.
Vikao vya kanda ya Kusini vitakuwa vitatu.
1. Kikao cha Kamati tendaji ya kanda
2. Kikao cha baraza la uongozi la kanda.
3. Kikao cha wadau wa kanda ya Kusini
Vikao Kama hivyo vimeshafanyika kwenye kanda nyingine saba za Tanganyika ambazo ni.
1. Pwani (DSM na Pwani)
2. Serengeti (Shinyanga, Mara na Simiyu)
3. Kati (Dodoma, Singida na Morogoro)
4. Kaskazini (kilimanjaro , Tanga, Arusha na Manyara)
5. Juu Kusini (Mbeya , Iringa, Njombe, Rukwa na Ruvuma)
6. Victoria (mwanza , Kagera na Geita)
7. Magharibi (Kigoma , Tabora na Katavi ).
Mfumo wetu wa kanda umekuwa mfumo bora wa kuishii sera yetu ya majimbo na falsafa ya ugatuzi wa madaraka (decentralization).
Kila kanda ya kichama imewezeshwa kwa kuwa na makao makuu ya kisasa pamoja na Gari na pikipiki mpya zaidi 50 ili kuwezesha kazi za kisiasa kwenye kanda husika.
Mkuu kama unahitaji mabadiliko hueezi kuyapata kwingine tofauti na ACT WAZALENDO.Viongozi wanao hubiri yale wanayotenda,Kalibu sana uungane na WAZALENDO.Kweli ukawa ni wanafiki na hawana urafiki wa kweli.Kanda ya kusini inajulikana ni ngome ya cuf sasa chadema inafuata nini? kwa staili hii mabadiliko tunayataka lakini sio kwa ukawa.
Mkuu rudia kusoma AZIMIO LA MTWARA,lilotolewa na MZALENDO ZZK 31 DESEMBER mwaka uliopita.Ili utambue ni mtu wa aina gani wa kulikomboa taifa hili.karibu kusini karibu mtama......ccm tumewachoka kamanda mnyika jimbo limeongozwa na wazir wa mambo ya nje ya nchi miaka kumi bila ata maendeleo....madaraja mabovu barabara mbovu zahanati shida shule hazina vifaa korosho wazee wanaibiwa na stakabadh ghalan ahadi za maji ya chiuwe za uongo maji hayatoki yaano daaah, njoo uangalie kituo cha polisi alichogoma kujenga tumemaliza wenyewe
Mkuu kama unahitaji mabadiliko hueezi kuyapata kwingine tofauti na ACT WAZALENDO.Viongozi wanao hubiri yale wanayotenda,Kalibu sana uungane na WAZALENDO.
Mkuu rudia kusoma AZIMIO LA MTWARA,lilotolewa na MZALENDO ZZK 31 DESEMBER mwaka uliopita.Ili utambue ni mtu wa aina gani wa kulikomboa taifa hili.
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kitakuwa na kikao cha Kanda ya Kusini ambacho hotuba ya ufunguzi itatolewa na NKMB JJ Mnyika, leo kuanzia saa 10.00 asubuhi Ukumbi wa, karibu na Maisha Club. kesho pia atafanya mkutano mkubwa hapo Mtwara Mjini kuanzia saa 8 mchana.
Ziara hiyo ni mwendelezo wa maboresho ya Kanda za Chama ikiwa ni maandalizi kuelekea uchaguzi Mkuu..
Yap ni Mzalendo ndio mana yupo chama cha WAZALENDO.