Mnyika kuzindua kanda ya Kusini rasmi

Mnyika kuzindua kanda ya Kusini rasmi

Narudia, wewe ni mpumbavu... wewe huwez kuibuka tu from nowhere unaanza kutukana watu simply because haamini unachoamini wewe! Tena CHADEMA sijui inatoa wapi machoko kama nyinyi ambao hamna mnachojua zaidi ya kukashifu watu... sasa usen'ge wako huko huko kwa wanaokutuma.

Naona kiwango chako cha umamuma kimefikia point of view na povu la foma linavuja
 
Narudia, wewe ni mpumbavu... wewe huwez kuibuka tu from nowhere unaanza kutukana watu simply because haamini unachoamini wewe! Tena CHADEMA sijui inatoa wapi machoko kama nyinyi ambao hamna mnachojua zaidi ya kukashifu watu... sasa usen'ge wako huko huko kwa wanaokutuma.

Sijui kwanini unapanic hivi na umesema huna chama...sasa hapo Moderator watakuacha kweli..
 
Last edited by a moderator:
Narudia, wewe ni mpumbavu! Hivi kwani huezi kueneza au kutangaza chama bila kukashifu watu? Kuna siku nimeshawahi kuku-quote popote na kukutolea lugha chafu? So, how come unaibuka from nowhere na kunitolea lughachafu wakati sijawahi kukukashifu popote?

Unataka lugha safi wakati wewe nimchafu mwili mzima jitambue kwanza na ujifunze elim ya uraia uweze kujenga hoja ya msingi hapo utakuwa na nguvu ya hoja lakini sasaivi umethirisha ujitambui kabisa
 
Nani ameanza matusi kama sio wenyewe? Unatarajia mtanitukana halafu niwaache? Bonyeza basi hicho kitufe cha abuse badala ya kulia lia, we wa wapi ww!!!

acha kudandia treni kwa mbele mtoto wa kiume... badala ya kujadili mada unakurupukia watu, we wa wapi wewe?!!
Umepanic CCMACT, mimi naona nikulable tu hivyo maana mara nyingi wewe huikandia chadema na kuacha wanaokusanya kodi na kunenepesha makalio yao badala ya kuwajali watanzania....UKAWA tumaini la watanzania...
 
Acha kuishi kwa kudhania kuwa huyu nae atakapo fika jikoni atakula chakula huko huko jikoni hama yule....Mimi ni chadema lakini naamini kabisa naipigania chadema kwa yale wanayo yahubiri na kuyatenda sasa lakini ikitokea wakaingia madarakani na kuacha wanayoyahubiri sasa tutatafuta chama kingine maana chadema siyo ukoo au ndini? naamini kama watanzania tutajenga tabia ya kubadilisha watawala kila wanapo tuahidi A,B,C halafu wakashindwa kutekeleza basi msimu unaokuja tunaweka pembeni tunachukua mwingine nina uhakika tukifanya hivyo watajirekebisha...... ukumbuke hata malaika akipeewa nchi hii kuiongoza kama wananchi hamtajitambua kujua kudai haki zenu watawala watalala....CCM wanacheza na sisi kwasababu ya watu waliokata tamaa kama wewe uliyebaki kusubili Mungu ashuke aje akuchagulie kiongozi....Twendeni na UKAWA wakituzingua tunapiga chini...
Nakaumbuka zamani sana, kuna mtu humu alishawahi kuniuliza kama kujiunga na chama ni kipi ningeweza kuchagua... sikutafuna maneno, kwamba pamoja na kwamba CCM na CHADEMA wote siwaamini lakini ni bora niingie CHADEMA kuliko CCM coz' angalau, linapokuja suala la kupinga uovu, wanaonekana wapo imara!

Na kuhusu wananchi, hilo nimeshasema sana kwamba tatizo kuu ni jamii yenyewe to the point hata wakati wa mchakato wa katiba mpya, nikapendekeza dictatorship constitution kwa kile ninachoamini kwamba nchi imeoza kila idara na ni mabadiliko ya mfumo pekee ndiyo yanaweza kubadilisha hali hii.
 
Umepanic CCMACT, mimi naona nikulable tu hivyo maana mara nyingi wewe huikandia chadema na kuacha wanaokusanya kodi na kunenepesha makalio yao badala ya kuwajali watanzania....UKAWA tumaini la watanzania...
Hivi ni nani alie-panic... mimi ambae nimeandika post ya kawaida bila kum-quote yeyote wala kumtusi yeyote au yule anayeibuka from nowhere na kisha anani-quote na kunitukana? Yaani nyinyi mkitukana, sawa... lakini wengine, hapana... wame-panic! Kwa kawaida siwezi kumtukana mtu hata siku moja lakini akinitukana wala sina muda wa kujifanya muungwana! We mara ngani tumeshawahi kukutana humu jamvini... kuna cku nimeshawahi kukutukana? Sasa hebu mwangalie huyo mwenzenu kama sio full kashfa kwa kila mtu asiyekubaliana na nyinyi!!!

Kuhusu u-CCMACT, thanx for the complement lakini utake ama usitake mie napiga huku na huku... sina wa kumuonea aibu wala kumuogopa! Lakini kwavile nyie wengine hamtaki changamoto, ndo basi tena kila anayeongea kinyume na nyinyi, huyo ni CCM... siku hizi mnasema ACT!! Yaani mnataka ikiwekwa mada ya CHADEMA basi wooooooooooooote tupange foleni kushngilia na si ruhusa kabisa kukosoa!!! Sie wengine hata maandiko ya dini huwa tunayakosoa!!!
 
Unataka lugha safi wakati wewe nimchafu mwili mzima jitambue kwanza na ujifunze elim ya uraia uweze kujenga hoja ya msingi hapo utakuwa na nguvu ya hoja lakini sasaivi umethirisha ujitambui kabisa
Sijaona nguvu ya hoja ambayo umeijenga kwahiyo ulichoandika is just another piece of cr'ap like any other!
 
Hivi ni nani alie-panic... mimi ambae nimeandika post ya kawaida bila kum-quote yeyote wala kumtusi yeyote au yule anayeibuka from nowhere na kisha anani-quote na kunitukana? Yaani nyinyi mkitukana, sawa... lakini wengine, hapana... wame-panic! Kwa kawaida siwezi kumtukana mtu hata siku moja lakini akinitukana wala sina muda wa kujifanya muungwana! We mara ngani tumeshawahi kukutana humu jamvini... kuna cku nimeshawahi kukutukana? Sasa hebu mwangalie huyo mwenzenu kama sio full kashfa kwa kila mtu asiyekubaliana na nyinyi!!!

Kuhusu u-CCMACT, thanx for the complement lakini utake ama usitake mie napiga huku na huku... sina wa kumuonea aibu wala kumuogopa! Lakini kwavile nyie wengine hamtaki changamoto, ndo basi tena kila anayeongea kinyume na nyinyi, huyo ni CCM... siku hizi mnasema ACT!! Yaani mnataka ikiwekwa mada ya CHADEMA basi wooooooooooooote tupange foleni kushngilia na si ruhusa kabisa kukosoa!!! Sie wengine hata maandiko ya dini huwa tunayakosoa!!!

Yani ndio uwezo wako wa kufikiri umeishi hapo ongera kijana
 
Sijui kwanini unapanic hivi na umesema huna chama...sasa hapo Moderator watakuacha kweli..
Crashwise, naona unachofanya hapa ni kuangalia "huyu mwenzetu" na huyu "sio mwenzetu!" Ingekuwa ni mtu unayetaka kusimamia unachokisema, ungeanza kuangalia wapi tumetokea! Kwanza labda nikuambie jambo moja! Huyo anayejiita Chademakwanza mie nilikuwa namuheshimu sana... na haikuwahi kutokea hata siku kum-quote popote ama kumtolea lugha chafu! Ile kuingia tu, kani-quote post ambayo sikumkashifu yeyote akaanza kwa lugha chafu:
Naona kipimo chako cha ujinga kiko juu sana
Akaona hiyo haitoshi, akaja na nyingine:
Naona wasakatonge wenzako wamejikusanya ACT sasa mchepuko wenu wakikata misaada ambao ni ccm mtaenda kupiga wapi deal?
Akaona bado tu, akani-quote tena:
Nivema ukijitafakari kabla ya kupost maana unakuwa kituko wewe mchumia tumbo nenda kwa Msakatonge mwenzako
Come one, halafu unaona alichokifanya huyo jamaa ni sawa? Au kwavile ni CHADEMA mwenzako? Ndo maana nasema CHADEMA na CCM wote ni sawa tu... huku kulindana na kuteteana kwenye ujinga mnakofanya kwenye mitandao kwa mambo yaliyo dhahiri, ndiyo mtakayokuwa mnafanya hata hapo baadae! Ni bora ungekaa kimyaa kuliko kuona alichofanya mwenzako ni sawa na hakitakiwi kukemewa lakini alichofanya asiye mwenzako katika kujibu wa kile alichifanya mwenzako ndicho kinapaswa kuhojiwa! Sasa tofauti yenu hapo ipo iko wapi?
 
Nakaumbuka zamani sana, kuna mtu humu alishawahi kuniuliza kama kujiunga na chama ni kipi ningeweza kuchagua... sikutafuna maneno, kwamba pamoja na kwamba CCM na CHADEMA wote siwaamini lakini ni bora niingie CHADEMA kuliko CCM coz' angalau, linapokuja suala la kupinga uovu, wanaonekana wapo imara!

Na kuhusu wananchi, hilo nimeshasema sana kwamba tatizo kuu ni jamii yenyewe to the point hata wakati wa mchakato wa katiba mpya, nikapendekeza dictatorship constitution kwa kile ninachoamini kwamba nchi imeoza kila idara na ni mabadiliko ya mfumo pekee ndiyo yanaweza kubadilisha hali hii.

Basi nikija Mtwara naomba nikutafute nikukabidhi kadi....Hizo tofauti ndogo ndogo tutazimaliza tu....
 
Sijaona nguvu ya hoja ambayo umeijenga kwahiyo ulichoandika is just another piece of cr'ap like any other!

Ndio maana nimesema una elim ya uraia tena ujue elim ya uraia nitofauti na kusomea lugha.
 
Yani ndio uwezo wako wa kufikiri umeishi hapo ongera kijana
Wewe unaoswa kupuuzwa tu manake sidhani kama una uwezo wa ku-argue na mimi... nakumbia leta hoja na badala yake umeishia kuleta viroja! Utahangaika sana kupekeua posts zangu na kuzi-quote but you'll prove kwamba huna hoja!
 
Crashwise, naona unachofanya hapa ni kuangalia "huyu mwenzetu" na huyu "sio mwenzetu!" Ingekuwa ni mtu unayetaka kusimamia unachokisema, ungeanza kuangalia wapi tumetokea! Kwanza labda nikuambie jambo moja! Huyo anayejiita Chademakwanza mie nilikuwa namuheshimu sana... na haikuwahi kutokea hata siku kum-quote popote ama kumtolea lugha chafu! Ile kuingia tu, kani-quote post ambayo sikumkashifu yeyote akaanza kwa lugha chafu:Akaona hiyo haitoshi, akaja na nyingine:Akaona bado tu, akani-quote tena: Come one, halafu unaona alichokifanya huyo jamaa ni sawa? Au kwavile ni CHADEMA mwenzako? Ndo maana nasema CHADEMA na CCM wote ni sawa tu... huku kulindana na kuteteana kwenye ujinga mnakofanya kwenye mitandao kwa mambo yaliyo dhahiri, ndiyo mtakayokuwa mnafanya hata hapo baadae! Ni bora ungekaa kimyaa kuliko kuona alichofanya mwenzako ni sawa na hakitakiwi kukemewa lakini alichofanya asiye mwenzako katika kujibu wa kile alichifanya mwenzako ndicho kinapaswa kuhojiwa! Sasa tofauti yenu hapo ipo iko wapi?

Nimesha muomba chemba...Tusonge mbele
 
Nani ameanza matusi kama sio wenyewe? Unatarajia mtanitukana halafu niwaache? Bonyeza basi hicho kitufe cha abuse badala ya kulia lia, we wa wapi ww!!!

Mkuu mimi huwa sijali mtu akinitukana kwa sababu naamini siku zote Wafuasi wa CCM wanaporomosha matusi wanapozidiwa hoja na Makamanda wa CDM
 
ACT Kijitonyama kuna njaa kali sana unakuta wasaliti wamejaa mpaka usiku kusubiri Zitto alete mgao aliopewa na TISS pamoja na CCM wagawane ili maisha yasonge.
 
Back
Top Bottom