Bora hata hao kuliko wewe na misukule sampuli ya Msalani, Laki si pesa, Lizaboni, Simiyu yetu na buku 7 wote.
Mkuu hiyo safi! Lkn mwambie Ritz amsaidie huyo ndugu yake wa kisiasa Rutash.... arudi Kagera akajenge chama tawala maana majimbo yote hasa la BKB linachukuliwa kwa bei che na UKAWA!