Mnyika kuzindua kanda ya Kusini rasmi

Mnyika kuzindua kanda ya Kusini rasmi

Wewe ndiyo unatakiwa uprove kwamba upo neutral na sio kazi yangu mimi tena, utetezi ni juu yako maana mimi ni mshtaki wako mkuu.

Mkuu rudi tu jukwaa la elimu kule ndio huwa unakuwa kichwa kwa kushusha nondo za maana lakini hili jukwaa la siasa hapana, usilaghai watu upo neutral kitu ambachovsi kweli hata kidogo.

Lastly, hiyo 50,000 mtumie Ludovick kwa Mpesa coz ndiyo price tag yake, kwangu sina shida naz😵VER
Ni-prove kwani natafuta nini? Ningekuwa nimewahi kujinasibisha na CHADEMA basi labda ningetakiwa ku-prove ili kuonesha kwamba bado nipo kundini! Halafu unajua nini ndugu yangu... tatizo lenu huwa mnapenda zile posts zinazowa-favor nyinyi peke yake; siku nyingine mkipewa za uso, ndipo zinapoanza kashfa! Umeleta suala la Jukwaa la Elimu coz' kwa inavyoelekea matokeo ya mwaka jana yalikuathiri ama wewe moja kwa moja au mtu wako wa karibu na kwavile niliponda kwa nguvu zote mfumo uliotumika katika matokeo yale, pale ndo ukaniona mwenzako! Lakini ninapokuja na posts kama hizi:
WANACHONIKERA CHADEMA, iwe kwa viongozi wao wakuu, wa kati na hata wafuasi wa kawaida, ni hivi vilio vya kuhujumiwa ama kugawanywa na CCM!! Kwanini mkubali kugawanywa au kuhujumiwa?

Leo akija mtu kwangu, kisha akanifitinisha na ndugu yangu; nami nikazichukua fitina hizo....je, mpumbavu hapo ni nani? Yule mfitini au mimi niliyekubali kufitinishwa?! Kwani CHADEMA ni chama cha watoto wadogo wenye uwezo mdogo wa utambuzi?! Hivi tatizo ni CCM au ni nyinyi wenyewe ambao miongoni mwenu kuna waganga njaa?!

Mathalani, kama kweli Ludovick alipewa TZS 50,000/- ili atengeneze ile video, sasa wa kulaumiwa hapo ni Nchemba au nyinyi wenyewe!! Ikiwa "wanaorubuniwa na CCM" ni watu wazima tena wenye nyadhifa basi tatizo kuu ni chama chenu wenyewe na sio CCM....yaani, you're so cheap hadi mnakera!!

Wanaume wazima kila siku mnalia lia kwamba CCM wanawagawanya, mara CCM wanawahujumu; STUPID! Kwani nyinyi hamjui hao CCM wanapatikana wapi? Nanyi si muwagawanye tu, ala! Mtabaki kulia lia hivi hivi kila cku....

I'll always insist, No Any Political Ground Has Clean Players, NONE....wherever you go!! We call it politics of survival. The more cheap players u've in your team, the more the chance to be defeated!
Tobaaaa! Hapo mtaita kila majina... kwa sababu mnataka kuyasikia yale tu mnayotaka kuyasikia! Sie wengine hatuna sababu ya kumfurahisha yeyote humu jamvini, na katika siasa za Tanzania, ni mara kibao nimeshasema kwamba kwangu mimi CCM na upinzani ni wale wale tu:
Kwangu mimi hakuna tofauti! Wabunge wa CCM na wa CHADEMA; wote ni wale wale tu; CCM au CHADEMA wote hawa ni one and the same, mmoja ni HEROIN na mwingine ni COCAINE....wote ni illegal drugs! Mmoja huku ataitwa chang'aa na kule ataitwa Gongo; lakini kumbe ni wale wale tu!! Tofauti kubwa ni kwamba huyu yupo jikoni anajipakulia apendavyo na mwingine yupo on transit kuingia jikoni ili akafanye kama mwenzake!

Hata hivyo, wapo wachache sana ambao wanaweza kuonekana kwamba ni bora lakini wengi zaidi katika hao wachache zaidi wataonekana ni bora kwavile tu ni wazuri katika ku-manipulate akili za Watanzania!! Hao ndio wale ambao hapa wamekuwa wakionekana ndo kama Wakombozi wa Kweli wa nchi hii; kumbe miongoni mwao kuna Nabii Mussa na upande wa pili kukiwa na Joshua; wote hawa wakiwa na lengo la kutufikisha kwenye Nchi ya Ahadi; nchi inayotiririka maziwa na asali! Thanks god, mimi si miongoni mwa wale wanaoweza kudanganywa kirahisi!-- Posted on October 31, 2013
 
Ni-prove kwani natafuta nini? Ningekuwa nimewahi kujinasibisha na CHADEMA basi labda ningetakiwa ku-prove ili kuonesha kwamba bado nipo kundini! Halafu unajua nini ndugu yangu... tatizo lenu huwa mnapenda zile posts zinazowa-favor nyinyi peke yake; siku nyingine mkipewa za uso, ndipo zinapoanza kashfa! Umeleta suala la Jukwaa la Elimu coz' najua matokeo ya mwaka jana yalikuathiri wewe moja kwa moja, ama wewe binafsi au mtu wako wa karibu na kwavile niliponda kwa nguvu zote mfumo uliotumika katika matokeo yale, pale ndo unaniona mwenzako! Lakini ninapokuja na posts kama hizi: Tobaaaa! Hapo mtaita kila majina... kwa sababu mnataka kuyasikia yale tu mnayotaka kuyasikia! Sie wengine hatuna sababu ya kumfurahisha yeyote humu jamvini, na katika siasa za Tanzania, ni mara kibao nimeshasema kwamba kwangu mimi CCM na upinzani ni wale wale tu:
Nivema ukijitafakari kabla ya kupost maana unakuwa kituko wewe mchumia tumbo nenda kwa Msakatonge mwenzako
 
Kwa hiyo Mnyika anaenda kupambana na Zitto Kusini , Chadema sasa hivi wameiacha CCM wanapambana na Zitto
 
Nivema ukijitafakari kabla ya kupost maana unakuwa kituko wewe mchumia tumbo nenda kwa Msakatonge mwenzako
wewe ni mmoja tu ya wapumbavu tu sawa na wapumbavu wenzako wenye akili za kipumbavu kwa kuwa umekulia kwenye upumbavu.
 
Naona wasakatonge wenzako wamejikusanya ACT sasa mchepuko wenu wakikata misaada ambao ni ccm mtaenda kupiga wapi deal?
Narudia... wewe jamaa ni mpumbavu!! Na utaendelea kuishi na upumbavu na kufa ukiwa mpumbavu kiasi cha kuwasumbua watu kubeba maiti ya mtu mpumbavu.
 
Kwa hiyo wewe ni rangi gani?
Kwangu mimi hakuna tofauti! Wabunge wa CCM na wa CHADEMA; wote ni wale wale tu; CCM au CHADEMA wote hawa ni one and the same, mmoja ni HEROIN na mwingine ni COCAINE....wote ni illegal drugs! Mmoja huku ataitwa chang'aa na kule ataitwa Gongo; lakini kumbe ni wale wale tu!! Tofauti kubwa ni kwamba huyu yupo jikoni anajipakulia apendavyo na mwingine yupo on transit kuingia jikoni ili akafanye kama mwenzake!


Hata hivyo, wapo wachache sana ambao wanaweza kuonekana kwamba ni bora lakini wengi zaidi katika hao wachache zaidi wataonekana ni bora kwavile tu ni wazuri katika ku-manipulate akili za Watanzania!! Hao ndio wale ambao hapa wamekuwa wakionekana ndo kama Wakombozi wa Kweli wa nchi hii; kumbe miongoni mwao kuna Nabii Mussa na upande wa pili kukiwa na Joshua; wote hawa wakiwa na lengo la kutufikisha kwenye Nchi ya Ahadi; nchi inayotiririka maziwa na asali! Thanks god, mimi si miongoni mwa wale wanaoweza kudanganywa kirahisi!


Hivi sasa nimekujibu? Au bado tu mkuu wangu?! Kama bado sijakujibu basi akili yangu mzito; SIELEWI MASWALI YA ki-GT!
Posted on Oct 31, 2013.
 
Narudia... wewe jamaa ni mpumbavu!! Na utaendelea kuishi na upumbavu na kufa ukiwa mpumbavu kiasi cha kuwasumbua watu kubeba maiti ya mtu mpumbavu.
Upumbavu wangu ndio nitaendelea kuwafichua mapacha wa zana za kilimo kama wewe ambae ujitambui kwanzia miguni mpaka kwenye nyweli lakini watu kama wewe hawatusumbui nisawa nakumpiga mbwa jiwe akiwa dambo akisakanya mifupa
 
Kamanda vipi?.Mbona unaonekana una raha sana,mnaenda kuvunja ngome za CUF kwa mwamvuli wa UKAWA.Mimi nawatakia kila la kheli lakini nchi hii inahitaji WAZALENDO zaidi.Tukimaliza ziara ya mikoa kumi,Tunakuja kaskazini kuhubili uzalendo na kutoa majawabu ya matatizo yanayo ikumba nchi yetu.Watanzania wa sasa ni waelewa huwa wanapima mambo kabla yakufanya uamuzi,Nachowasihi mnadi sera zenu huko mtwara mtawafanyia nini wananchi na mtaunda serikali ya aina gani baada ya kuingia IKULU.Nawatakia kila la kheli MAKAMANDA lkn mkumbuke kutenda yale mnayohubili.


CUF inapotezwa na ACT.
 
Safi Sana akasafishe uchafu na upumbavu wa Ayatullah
 
Upumbavu wangu ndio nitaendelea kuwafichua mapacha wa zana za kilimo kama wewe ambae ujitambui kwanzia miguni mpaka kwenye nyweli lakini watu kama wewe hawatusumbui nisawa nakumpiga mbwa jiwe akiwa dambo akisakanya mifupa
Narudia, wewe ni mpumbavu... wewe huwez kuibuka tu from nowhere unaanza kutukana watu simply because haamini unachoamini wewe! Tena CHADEMA sijui inatoa wapi machoko kama nyinyi ambao hamna mnachojua zaidi ya kukashifu watu... sasa usen'ge wako huko huko kwa wanaokutuma.
 
Narudia, wewe ni mpumbavu... wewe huwez kuibuka tu from nowhere unaanza kutukana watu simply because haamini unachoamini wewe! Tena CHADEMA sijui inatoa wapi machoko kama nyinyi ambao hamna mnachojua zaidi ya kukashifu watu... sasa usen'ge wako huko huko kwa wanaokutuma.

Chizi umechizika kweli Dawa imekuingia mpaka umenena kwa luga
 
Kiwango chako cha umamuma usije waridhisha wanao maana mtoto wako nimwerevu kukuzidi
Narudia, wewe ni mpumbavu! Hivi kwani huezi kueneza au kutangaza chama bila kukashifu watu? Kuna siku nimeshawahi kuku-quote popote na kukutolea lugha chafu? So, how come unaibuka from nowhere na kunitolea lughachafu wakati sijawahi kukukashifu popote?
 
Narudia, wewe ni mpumbavu... wewe huwez kuibuka tu from nowhere unaanza kutukana watu simply because haamini unachoamini wewe! Tena CHADEMA sijui inatoa wapi machoko kama nyinyi ambao hamna mnachojua zaidi ya kukashifu watu... sasa usen'ge wako huko huko kwa wanaokutuma.

Jamani Moderators wadhibiti matusi kwenye Jukwaa hili.Heshima inapotea sasa
 
Posted on Oct 31, 2013.

Acha kuishi kwa kudhania kuwa huyu nae atakapo fika jikoni atakula chakula huko huko jikoni hama yule....Mimi ni chadema lakini naamini kabisa naipigania chadema kwa yale wanayo yahubiri na kuyatenda sasa lakini ikitokea wakaingia madarakani na kuacha wanayoyahubiri sasa tutatafuta chama kingine maana chadema siyo ukoo au ndini? naamini kama watanzania tutajenga tabia ya kubadilisha watawala kila wanapo tuahidi A,B,C halafu wakashindwa kutekeleza basi msimu unaokuja tunaweka pembeni tunachukua mwingine nina uhakika tukifanya hivyo watajirekebisha...... ukumbuke hata malaika akipeewa nchi hii kuiongoza kama wananchi hamtajitambua kujua kudai haki zenu watawala watalala....CCM wanacheza na sisi kwasababu ya watu waliokata tamaa kama wewe uliyebaki kusubili Mungu ashuke aje akuchagulie kiongozi....Twendeni na UKAWA wakituzingua tunapiga chini...
 
Jamani Moderators wadhibiti matusi kwenye Jukwaa hili.Heshima inapotea sasa
Nani ameanza matusi kama sio wenyewe? Unatarajia mtanitukana halafu niwaache? Bonyeza basi hicho kitufe cha abuse badala ya kulia lia, we wa wapi ww!!!
 
Back
Top Bottom