Mnyika kuzindua kanda ya Kusini rasmi

Mnyika kuzindua kanda ya Kusini rasmi

Naelewa nini taasisi ndio maana nimeuliza maswali yanayotaka kujua objective za taasisi kufikia malengo yake kupitia njia ya ukanda especially taasisi yenyewe ikiwa chama cha siasa..
Kwa kifupi sana ni kwamba nikufikisha msada na mambo mengine kwa wananchi na siyo kila Jambo ni Makao makuu ambayo kunamambo mengi sana
 
Kwa kifupi sana ni kwamba nikufikisha msada na mambo mengine kwa wananchi na siyo kila Jambo ni Makao makuu ambayo kunamambo mengi sana

Ukishasema taasisi ya chama cha siasa ina maana lazima iwe na identity na core decision are made at the top level jinsi ya kwenda mbele pamoja. How they structure their administration function is a different matter sasa unaposema makao makuu kuna majukumu mengi ukanda utasaidia kupunguza majukumu ina maana unatoa full autonomy hiyo tena inakuwa sio taasisi ya chama bali ni umbrella kama kila mtu anaweza jiamulia how best bila ya kuzingatia mwelekezo wa chama.

Ndio maana nikakuuliza kama taasisi au labda niweke kwa kiswahili ni yepi CDM inaona ayana umuhimu sana makao makuu kiasi kwamba local leadership inaweza jiamulia lakini lengo iwe kufikia objecitve ile ile ya chama na ni namna gani hayo majimbo yataweza harmonize pamoja kimtazamo wa taasisi hili ata chama kiweze tungia sera ya utaifa changamoto, kuweza monitor kama maamuzi yanayofanywa kwenye majimbo kama yapo sambasamba na kufikia objective ya chama.

Chama cha siasa sio umbrella, sasa ujue unaposema wataachiwa wajiamulie lazima mtu atake kujua kwa namna gani au central command inabaki wapi kama taasisi?

Uwezi ukawa na mfumo wa serikari ambao upo unitary halafu uendeshe chama kwa mfumo wa majimbo it doesnt work like that.
 
Ukishasema taasisi ya chama cha siasa ina maana lazima iwe na identity na core decision are made at the top level jinsi ya kwenda mbele pamoja. How they structure their administration function is a different matter sasa unaposema makao makuu kuna majukumu mengi ukanda utasaidia kupunguza majukumu ina maana unatoa full autonomy hiyo tena inakuwa sio taasisi ya chama bali ni umbrella kama kila mtu anaweza jiamulia how best bila ya kuzingatia mwelekezo wa chama.

Ndio maana nikakuuliza kama taasisi au labda niweke kwa kiswahili ni yepi CDM inaona ayana umuhimu sana makao makuu kiasi kwamba local leadership inaweza jiamulia lakini lengo iwe kufikia objecitve ile ile ya chama na ni namna gani hayo majimbo yataweza harmonize pamoja kimtazamo wa taasisi hili ata chama kiweze tungia sera ya utaifa changamoto, kuweza monitor kama maamuzi yanayofanywa kwenye majimbo kama yapo sambasamba na kufikia objective ya chama.

Chama cha siasa sio umbrella, sasa ujue unaposema wataachiwa wajiamulie lazima mtu atake kujua kwa namna gani au central command inabaki wapi kama taasisi?

Uwezi ukawa na mfumo wa serikari ambao upo unitary halafu uendeshe chama kwa mfumo wa majimbo it doesnt work like that.
Ungenisoma vizuri tungelewana Kanda nikupeleka mamlaka mpaka chini na ninavyosema makao makuu nafikiri unanielewa zaidi na anayeshugulikia na mambo ya Kanda ni Mtoi atakuja kufafanua zaidi
 
Ungenisoma vizuri tungelewana Kanda nikupeleka mamlaka mpaka chini na ninavyosema makao makuu nafikiri unanielewa zaidi na anayeshugulikia na mambo ya Kanda ni Mtoi atakuja kufafanua zaidi
Unaweza kuona matatizo yanapoanzia kama katika hatua hizi za launch mtu ambae amekuwa akitetea na kunadi sera kwenye thread ya uzinduzi wa ukanda ajui zaidi ya kwamba utaratibu wenyewe ni kugawa madaraka mpaka chini kwakuwa central wanamajukumu mengi.

Sasa kama mpaka dakika hii hakuna communication channels imara ambazo walau zingewasaidia makada kwenye kutetea objective ya chama (which by the way it must be known by everybody in the party) sio aijue Mtoi pekee, hapa nikikuuliza communication za chama baada ya ukanda zinakuwa managed vipi mpaka huko chini ukandani tu; let alone harmonization ya kanda zote kufikia mpaka juu in both directions kwa sababu za management ya sera na kuhakikisha watu awafanyi vingine kutokana na automony wanazopewa si ntakuwa nimekuonea tu.

Hivi vitu huwa hata mnapata ushauri wa management consultants kwanza au mkishasoma vitabu vya siasa mkiona kuna utawala wa majimbo na unitary na jinsi unavyofanya kazi basi kwenu inatosha. Bila ya kujua procedure zenyewe za smooth operation zikoje. Mtakuja kujenga makundi kwa kudandia siasa ambazo zipo very complicated kuzi manage halafu mtuletee matatizo ya mgawanyiko.
 
..Matiko Matare aliachia ngazi.

..siku hizi ni Mchungaji, kwa hiyo aliona majukumu ya chama yataathiri kazi yake ya uchungaji.

..lakini ukumbuke kwamba Matiko Matare ana mizizi huko kanda ya kusini. Matiko amekuwa akiishi huku kwa muda mrefu kidogo.

..nadhani CDM wata-benefit zaidi kama watapanua uwigo wa nafasi za uongozi kwa ku-recruit makada wenye uwezo toka mikoani, ili wakisaidie chama hukohuko mikoani.

..kama kuna mkoa au kanda ambayo imekosa uongozi imara, basi makao makuu wanaweza kutuma watu kwenda kuwaongezea nguvu. lakini haja ya kuwa na viongozi wenyeji wa maeneo husika; wanaoelewa mila, miiko, taratibu, na tamaduni za maeneo hayo, nadhani ni suala la kuzingatiwa.
JokaKuu,
Hilo la kujiuzuru nalifahamu manake hata hapa JF uzi wake uliletwa... kama sikosei ilikuwa ni november au december mwaka jana lakini kitu ambacho kilinifurahisha ndo kile kile, jina la Kamanda likavuliwa na kuanza kuitwa majina ya hovyo hovyo! Nilimtaja Matiko kuonesha uenyeji sio sababu na kama issue ni ku-favor watu wa kanda husika, basi Matiko sio mtu wa Kusini! Hilo moja, lakini kubwa zaidi kwangu ni hoja ya uwezo! Je, huyo Matiko Matare alionesha uwezo gani hadi kupewa uongozi wa kanda korofi? Au kwa kuwa tu aliendesha mgomo UDSM ikaonekana ndo tayari huyu anafaa bila kufahamu uongozi wa vyuoni ni tofauto na huku duniani... chuoni kwa asili, watu tulikuwa tunapenda na kushabikia migogo hususani kama inakuja kipindi cha paper mfululizo! Sasa huyu Matare alikuwa na track record yoyote ya siasa za majukwaani hadi umpe kuchochea uhai wa chama sehemu ambayo chama hakipo?

Kwamba CDM ita-benefit ikiwa itatumia makada wenyeji kwa hilo sina tatizo ni nimeshasema tayari... hoja yangu ni kwamba, isiwe ni kigezo... kwamba hata kama uwezo hawana, just tuwape tu huku wengine wakiwa wamekaa madarakani kwa zaidi ya miaka 10 wakiwa hawajafanya kitu chochote! Kama kuna mkoa au kanda imekosa uongozi imara, jibu tayari kanda hizo zipo; moja wapo ni kanda ya Kusini manake hamna kitu kule... hawa akina Crashwise wanajipa matumaini tu... eti wanatumia kigezo cha Dr. Slaa kupata umati mkubwa kwenye mkutano huko Mtwara! Suala la umati kwenye mikutano ingekua ndo kigezo basi leo CHADEMA wangekuwa na wanachama zaidi ya 10 million! Dr. Slaa hata kama ataenda Pemba leo hii, atajaza tu umati lakini haimaanishi kwamba ndo tayari ameshapata wafuasi! Hata Kanda inayohusisha Dar es salaam na Pwani nayo ina matatizo... status ya CHADEMA iliyopo sasa Dar es salaam haitokani na uwepo wa kanda hii na uongozi wake bali ni hali ambayo ilikuwapo tangu zamani!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Steph Curry,

Kwanza ahsante kwa kunielewa! Tukija kwenye hoja ya Pasco, kama nimemuelewa vizuri huku nami nikimuunga mkono kutokana na vile nilivyomuelewa mimi ni kwamba. Pasco hakuleta hoja hiyo kwa majigambo bali alichomanisha (nilivyomuelewa mimi), kwa staili ya mashabiki wengine wa CHADEMA(kama ambavyo mwenyewe umekiri kwamba ni majanga), basi sie tunaoonakena ni wasaka tonge ndio wenye msaada zaidi kwa CHADEMA kuliko hao wanaojifanya wao ndo CHADEMA sana lakini wanaishia kukashifu watu badala ya kujenga hoja zenye faida kwa chama! Hawa ni wale ambao watu tuki-criticize jambo upande wa CHADEMA wanaamini tunaichukia CHADEMA kumbe mtu mwenye positive minds anazichukulia critics kama changamoto na kuzifanyia kazi! Hivyo, basi ingawaje akina sie tunaonekana ni wasaka tonge kwavile tuna-criticize baadhi ya mambo ndio kimsingi tunaijenga CHADEMA kuliko wale wanaotaka wote tushangilie kila kitu as if viongozi wa CHADEMA ni malaika wasioweza kufanya makosa! Hivyo basi, hoja haipo haikuwa kuhusu specific item kwamba labda ushauri huu au ule, hoja yangu (ambayo nahisi ndicho alimaanisha Pasco) ni kwamba criticism) ukizichukulia kama changamoto zina nafasi kubwa sana katika kujenga chama kuliko kushangilia kila kitu! Wale wenye busara zao wanasema, mtu akikukosoa, fahamu anakupenda na anataka ujirekebishe na ndio maana hata katika maisha ya kawaida, tunakosoana ndugu kwa ndugu, rafiki kwa rafiki lakini huwezi kukuta mtu anamkosoa baki... sana sana ataishia tu kusema "shauri zake!" Lakini kwa bahati mbaya, kwa baadhi ya mashabiki wa CHADEMA, ukikosoa wanakuona adui!
 
Last edited by a moderator:
Hata wewe tunakupuuza kama tunavyoyapuuza magamba yote.Njaa yako imekimbilia ubongoni na sasa unaonekana kituko kwa kukosa msimamo.
Sisi ambao kazi yetu ni kutoa ushauri wa bure, tumeshauri na tumemaliza kazi, with nothing to loose, nothing to gain!. It is up to mshauriwa kuuchukua ushauri na kuufanyia kazi au kuupuuzia!. Kwa kuuchukua ushauri, he has everything to gain and nothing to loose!, kwa kuupuuzia he has everything to loose and nothing to gain!. Kwa vile mshauri bado yupo humu jf na kipindi hiki sasa sio kipindi tena cha ushauri bali ni kipindi cha stock taking, ninschofanya sasa ni just to highlight, nilishauri nini, na kuonyesha matokeo,hadi mwisho wa mchezo, mnapigwa chini huku mnaangalia na hesabu kamili ikiwekwa ubaoni goli kwa goli, kiasi kwanza this time hakuna pa kulilia, yaani Chadema inashindwa kwenda ikulu kwa kukosa tuu maarifa!, yaani itashindwa kwa upumbafu wake yenyewe!, but thank God kuna UKAWA ambayo inaweza kuokoa jahazi tena uokozi wenyewe ni only if...(subject to some conditions).

Tembelea hapa Kuelekea 2015: Chadema Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!... Only If...
uone tulisema nini, Chadema imefanya nini, mwisho wa siku, mnashindwa kuingia ikulu huku mnaangalia!.

Pasco
 
Kwakusema hayo mkuu NasDaz ningeomba uangalie wazo hili na labda tujikite kutokana na hapa tulipo, Uboreshaji wa kanda hizi na nguvu yake kuelekea uchaguzi mkuu. Na Vilevile tukumbuke hapa ilipo leo Chadema kwenye kanda hizi za kusini sipo ilipokuwa hapo awali, kiuhakika imesonga mbele ingawaje si kwa kiwango kile kilichotegemewa ama kulinganisha na Kanda zingine.

BACK TANGANYIKA
Mkuu wangu, kwanza ahsante kwa kunielewa! Sasa tukija hili suala la nguvu za chama huku kule, labda nikujuze jambo moja! Tofauti na watu kama akina Crashwise ambao inaonekana anaishi Arusha huku akiwa hana mafungamano yoyote na sehemu kama Kusini, mimi binafsi ni mtu wa Kusini; mkoa wa Lindi! Issue ya CHADEMA kule Lindi niliileta kwa mara ya kwanza mwaka 2009. Kuna ndugu yangu wa damu alikuja Dar es salaam... yeye alikuwa ni kiongozi wa CUF kule! Nakumbuka kabla sijakaa sawa, swali langu la kwanza kumuuliza ni nguvu ya CHADEMA kule alikotoka! Jibu ambalo alinipa ni kwamba Kusini CHADEMA haipo kabisa! Nikaona dogo ananipiga changa... nikamuuliza in other way round na kutaka kufahamu, pale kijijini kwetu (ambacho ni moja ya vijiji vikubwa sana kwa Mkoa wa Lindi) kuna wenyeviti wa vitongoji wangapi kutoka CHADEMA; akanijibu mwenyekiti wa kitongoji atoke wapi wakati hata ofisi ya kusingiziwa' iwe barazani kwa mtu au sebuleni, hawana!! Kiukweli, mie sikuridhishwa sana na majibu yake coz' nikaona bado ananindanganya! Kuona hivyo, nikaanza kuongea na watu wengine wa kule! Huo wakati nikawa kama chizi, napiga simu huku na kule na namba zingine nikiomba kutoka kwa watu mbali mbali.... nikaona sehemu pekee kwa wakati huo ambako angalau CHADEMA ilikuwepo ni Nachingwea! And remember, wengine niliokuwa naongea nao wala siwafahamu... ni kwavile tu niliomba namba zao!

Baada ya kujiridhisha na hiyo hali, nikaja na hiyo mada hapa jamvini!! Kama kuna siku ambayo nilitukanwa hapa jamvini, basi ni hiyo siku na wale wanaojiita wao ni makamanda!!! Wengine hoja ya ikawa ni kwanini basi kama ninajifanya nina uchungu na CHADEMA mimi niineze hiyi CHADEMA huko kusini as if nimeawaambia nami ni mwanasiasa!

Hivyo basi, kwa kukupa hiyo historia mimi huwa naongea kitu ambacho nina ushahidi nacho! Wapo watu ambao wanaongea kutokana na ushabiki... mimi sio mwana-CHADEMA haidhuru hata kama kuna wengine wananiita CCM na wengine kuniita ACT... kwahiyo kitu ambacho nitasema mimi ni tofauti na kile ambacho kitasemwa na mwana-CHADEMA! Crashwise alinitolea ushahidi wa picha kwenye mikutano, bado nasisitiza, Dr. Slaa kujaza kwenye mikutano wala sio kigezo cha kuwa na ufuasi... Dr. Slaa Mungu kampa kariba hiyo; popote atakapoenda, watu watataka kumsikiliza! Lakini kubwa zaidi, watu wanapokusanyika kwenye mikutano wanakuwa wametawaliwa na emotions... unaweza ku-recruit hata wananchama 5000 kwenye mkutano mmoja lakini royal members hapo wakabaki less than 100! Sie ambao tumesomea masuala ya customer services tunafahamu kwamba it's very simple to recruit 10 or more customers than retaining only one!! Mikutano ya CHADEMA kule ambako haijapata mizizi ya kutosha inatumika kama njia ya ku-recruit customers lakini hakuna strategies za ku-maintain wanachama ambao walisukumwa na mob psychology! Unaenda kijijii unapiga mkutano wa hadhara, unapata bonge la umati na wanachama, baada ya hapo unatoka bila kuacha strategies za namna gani wale waliopatikana watakuwa retained. Hivyo basi, ingawaje ni kweli hata huko kusini "nguvu" ya CHADEMA iliyonayo leo hii ni tofauti na ilivyokuwa maiaka 5 iliyopita, lakini bado sana! Wakati ule Nilisema wazi ni namna gani sehemu iliyosahaulika kama ile ingeweza kuwa mtaji mkubwa kisiasa coz' kila dongo utakalorusha kwa serikali, linatua mahala pake! Na hii ikaja kuthibitika kwenye uchaguzi wa mwaka 2010! CUF ingawaje walikuwa na wanachama Lindi, lakini hawakuwa na nguvu kivile lakini kambi ya siku 6 tu ambayo Lipumba aliifanya, CUF wakafanikiwa kupata wabunge wawili! Wakati Lipumba aliweka kambi ya siku 6 Lindi peke yake, Dr. Slaa alitumia saa chache kwa Lindi na Mtwara kwa pamoja... watu wa Kusini walipoipa CHADEMA za uso, kama kawaida ya baadhi ya mashabiki wa CHADEMA wa JF, tukatukanwa sana watu wa kusini kwamba hatujasoma ndo maana tunaichagua CCM na kwahiyo tutaendelea kuwa masikini miaka yote!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu achana na huyo gamba ambao wameongoza miaka 54 wakiwa hiv walivyo lkn ndio hivyo kazi yao ni wiz na ukandamizaji! Sis tusongen mbel na kanda zetu! Mbona umuhimu wake tumesha uona kwenye sm
Ungenisoma vizuri tungelewana Kanda nikupeleka mamlaka mpaka chini na ninavyosema makao makuu nafikiri unanielewa zaidi na anayeshugulikia na mambo ya Kanda ni Mtoi atakuja kufafanua zaidi
 
Naona kipimo chako cha ujinga kiko juu sana
Uwa nacheka sana kuwasoma hawa makamanda wa Chadema ndiyo watetezi wao matandaoni ambao wanategemewa kuisaidia Chadema kuchukuwa dola.

Teh teh teh
 
John Mnyika vipi Bonyokwa,Kimara, Ubungo, Manzese maji yanatoka?
 
Last edited by a moderator:
Chadema inaendelea kukua zaidi, tuhuma za udini siku hizi zimekufa, sasa hivi wimbo ni ukabila. Chadema jiimarisheni kupitia kanda

Kukua ni huko.kilimanjaro.

Usiwe majinuun.

Wamakonde hatuwez kuwapa kura wachaga hata siku moja.
 
Kusini tunajua fika kuipa ridhaa chadema ni sawa kulipa kanisa katoliko nchi.

Haitakija itokee.

Eti Tuongozwe na padre slaaa aah Never.
 
Kamanda vipi?.Mbona unaonekana una raha sana,mnaenda kuvunja ngome za CUF kwa mwamvuli wa UKAWA.Mimi nawatakia kila la kheli lakini nchi hii inahitaji WAZALENDO zaidi.Tukimaliza ziara ya mikoa kumi,Tunakuja kaskazini kuhubili uzalendo na kutoa majawabu ya matatizo yanayo ikumba nchi yetu.Watanzania wa sasa ni waelewa huwa wanapima mambo kabla yakufanya uamuzi,Nachowasihi mnadi sera zenu huko mtwara mtawafanyia nini wananchi na mtaunda serikali ya aina gani baada ya kuingia IKULU.Nawatakia kila la kheli MAKAMANDA lkn mkumbuke kutenda yale mnayohubili.

We wasiwasi wako nini??
 
Uwa nacheka sana kuwasoma hawa makamanda wa Chadema ndiyo watetezi wao matandaoni ambao wanategemewa kuisaidia Chadema kuchukuwa dola.

Teh teh teh

Bora hata hao kuliko wewe na misukule sampuli ya Msalani, Laki si pesa, Lizaboni, Simiyu yetu na buku 7 wote.
 
Mkuu Steph Curry,

Kwanza ahsante kwa kunielewa! Tukija kwenye hoja ya Pasco, kama nimemuelewa vizuri huku nami nikimuunga mkono kutokana na vile nilivyomuelewa mimi ni kwamba. Pasco hakuleta hoja hiyo kwa majigambo bali alichomanisha (nilivyomuelewa mimi), kwa staili ya mashabiki wengine wa CHADEMA(kama ambavyo mwenyewe umekiri kwamba ni majanga), basi sie tunaoonakena ni wasaka tonge ndio wenye msaada zaidi kwa CHADEMA kuliko hao wanaojifanya wao ndo CHADEMA sana lakini wanaishia kukashifu watu badala ya kujenga hoja zenye faida kwa chama! Hawa ni wale ambao watu tuki-criticize jambo upande wa CHADEMA wanaamini tunaichukia CHADEMA kumbe mtu mwenye positive minds anazichukulia critics kama changamoto na kuzifanyia kazi! Hivyo, basi ingawaje akina sie tunaonekana ni wasaka tonge kwavile tuna-criticize baadhi ya mambo ndio kimsingi tunaijenga CHADEMA kuliko wale wanaotaka wote tushangilie kila kitu as if viongozi wa CHADEMA ni malaika wasioweza kufanya makosa! Hivyo basi, hoja haipo haikuwa kuhusu specific item kwamba labda ushauri huu au ule, hoja yangu (ambayo nahisi ndicho alimaanisha Pasco) ni kwamba criticism) ukizichukulia kama changamoto zina nafasi kubwa sana katika kujenga chama kuliko kushangilia kila kitu! Wale wenye busara zao wanasema, mtu akikukosoa, fahamu anakupenda na anataka ujirekebishe na ndio maana hata katika maisha ya kawaida, tunakosoana ndugu kwa ndugu, rafiki kwa rafiki lakini huwezi kukuta mtu anamkosoa baki... sana sana ataishia tu kusema "shauri zake!" Lakini kwa bahati mbaya, kwa baadhi ya mashabiki wa CHADEMA, ukikosoa wanakuona adui!

Excellent points, nimevutiwa na hoja yako ya retention ya loyal members. Chama hakiwezi Ku_retain loyal members in impressive numbers ikiwa hakijawapika ama kuwavuna hawa members kupitia sera na itikadi na ndiyo maana baadhi yetu tulikuwa tunashauri CHADEMA wapunguze kufanya siasa za kiharakati na zile kuvizia wapi chama tawala wamekosea instead wajikite katika kueneza Sera pamoja na kuwaambia wananchi namna chama kilivyojipanga kutatua kero zao na kuwaletea maendeleo.Kwa kusambaza sera na mipango mikakati yenu ya kimaendeleo kwa wananchi ni kuwaambia juu ya tofauti iliyopo kati ya CHADEMA na CCM katika namna ya kutatua kero za wananchi na kuwaletea maendeleo na hivyo kuwafanya wafahamu kwanini waamue kuiunga mkono CHADEMA.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom