Mnyika: Bavicha ngazi zote kuanzia taifa hadi Msingi undeni kamati za kudai Katiba mpya kabla hatujaingia rasmi mitaani!

Sawa nenda ukaandamane uvunjwe mguu huku viongozi wa chadema hawana muda na wewe.

Bogus lema alivotoka jela alikuja na nyimbo kuwaimbia watu kwenye viwanja vya samunge Arusha mjini sasa na ww ukivunjwa mguu wakati wazazi wako wanapambana hospitali viongozi wa chadema wanakutungia nyimbo
Mkuu KATIBA MPYA ikipatikana hata wewe utabadili mtizamo wako.

Wakati wa harakati wa ukombozi/kupigania uhuru Babu zetu wangekuwa na mawazo mgando kama yako tungesalia chini ya utawala wa kikoloni hadi leo.
 
Ety chadema chama pinzani 😂😂😂. Tz kwa vituko tuko vizuri. Ww kaandamane tuu
Upinzani wa Tanzania, unlike “Democrats vs Republicans” ni upumbavu. Kwa maoni ya watu kama wewe, sishangazwi ni kwanini sisi weusi tulichukuliwa utumwani.
 
Mugabe, Elbashir nk walitawala nchi zao kwa mabavu zaidi ya miaka 30, na kila uchaguzi walikuwa wanafanya uhuni, na yoyote aliyekuwa anaonyesha upinzani aliishia kupata kipigo kikali, hata mauji. Unakumbuka kipigo alichokipata Tsvangirai huko Zimbabwe enzi za Mugabe? Wapambe wao kama ww walikuwa wanasema watu hawaandamani dhidi ya huo uhuni wa hoa viongozi eti kwakuwa wananchi wamewapuuza. Watu walipoona enough is enough wala hawakusiburi hilo box la kura tena, yaliyotokea yako wazi.

Ile siku ya maandamano viongozi waliwekwa ndani, na vilitoka vitisho vya hatari, na sio vitisho tu, mauaji yangefanyika pia. Kwa sasa ni muda wako wa kutamba na kusifia uhuni ule, lakini mwisho wake hauko mbali. Aanza kuandaa post za kusema watu wanatumika na mabeberu.
Kukiwa na sababu ya maana ya kuandamana sisi tutaandamana tu bila kuogopa chochote ila hatuwezi kuandamana kwa sababu ya hoja zisizo na macho na uhuni uhuni Kama huu unao endelea.

Ukiona kiongozi kafungwa kisha watu wapo kimya ujue ndio wamempuuza yeye pamoja na sera zake za hovyo.
Sera wenyewe wamejaa matusi matupu alafu nikaandamane eti!!

Alafu mkuu huwa unadhani kuwa Mimi ni ccm, mimi sio ccm kabisaa ila kuunga mkono uhuni Kama huu unaopewa jina la upinzani kwangu mimi hapana kabisa
 
Kukiwa na sababu ya maana ya kuandamana sisi tutaandamana tu bila kuogopa chochote ila hatuwezi kuandamana kwa sababu ya hoja zisizo na macho na uhuni uhuni Kama huu unao endelea.

Ukiona kiongozi kafungwa kisha watu wapo kimya ujue ndio wamempuuza yeye pamoja na sera zake za hovyo.
Sera wenyewe wamejaa matusi matupu alafu nikaandamane eti!!

Alafu mkuu huwa unadhani kuwa Mimi ni ccm, mimi sio ccm kabisaa ila kuunga mkono uhuni Kama huu unaopewa jina la upinzani kwangu mimi hapana kabisa

Ww huwezi kuandamana kwenye maandamano ya kudai haki, maana ni mzee. Ww unaweza kuandamana kwenye maandamano ya kusifia viongozi tu. Usitake kujifanya unaweza kuandamana wakati uko against upande wa haki. Acha kusaka sifa zisizo zako.
 
Ww huwezi kuandamana kwenye maandamano ya kudai haki, maana ni mzee. Ww unaweza kuandamana kwenye maandamano ya kusifia viongozi tu. Usitake kujifanya unaweza kuandamana wakati uko against upande wa haki. Acha kusaka sifa zisizo zako.
Siko against na haki hata siku moja ila pia siwezi unga mkono njia za kihuni kwenye kudai hiyo haki mkuu😂 vitu vingine ni vichekesho na si kudai haki.

Hiyo mifano unayo itumia ya zimbawe sijui wapi hiyo ni huko huko Tanzania ni nchi tofauti na nature tofauti kabisa kuanzia watu wake hadi tamaduni zoa hivyo hicho unacho kiwaza hakiwezekani kirahisi namna hiyo labda kuwa na sababu kubwa na ya maana kufanya hivyo la sivyo utapuuzwa tu.
Haki kweli tunaitaka ila tumefeli namna ya kuidai kwa kulishana ushujaa usio na maana yoyote ile.

Yaani nyie akiibuka tu muhuni fulani tu huko mwenye kipaji cha kutukana basi mnamuona shujaa wenu alafu mnataka watu tuunge mkono tu kisa tunataka haki.
Yaani Mimi niende kuandamana kisa Mnyika, Mdude, kigogo sijui Mange kimambi kasema kweli serious!!?

Hivi kwa hali ya nchi yetu ilivyo kwasasa utulivu uliopo watu wako busy na shughuli zao za kila siku kwa uhuru mkubwa wanatafuta ugali wa watoto wao alafu uje kunambia heti tuhamasishe maandamano ya kudai katiba nani atakae wasikiliza Kama si kuishia kupuuzwa tu na kuonekana wapenda fujo na madai yasio na kichwa wala miguu.
 
Katibu mkuu wa Chadema J J Mnyika amevitaka vikao vyote vya kikatiba vya Bavicha kuanzia Taifa hadi Msingi kuandaa kamati za kudai Katiba mpya.

Mnyika amesema ni vema wakajipanga sawasawa kabla ya kuingia rasmi mitaani kushinikiza uundwaji wa katiba mpya.

Nawasalimu kwa jina la JMT!
Chadema mmechanganyikiwa kabisa hamna pa kushika.Mmechoka kupambana na marehemu??????????
 
Hawa watu wanajaribu kupimana ubavu na rais,kuwa fair kwa vyama vya kihuni huni Kama chadema ni kuliangamiza taifa,

Rais Hana budi kubadili mikakati ya kudili na vyama vya kihuni huni Kama hivi ili kuliepusha taifa kuingia kwenye machafuko.

Walikuwa wapi kudai katiba enzi za JPM,why now ,je wamemuona rais ni mtu dhaifu kwao hivyo ni muda muafaka wa kuanzisha chokochoko?

Chadema nawahakikishia kile mnachokitafuta hakika mutakipata muda si mrefu,wait and see.
Wenye akili wanafahamu nguvu kubwa alizonazo rais. Kusema “wanataka kupimana ubavu”, ni dalili kwamba una ujinga mkubwa sana ambao ndiyo zao la umasikini wetu.
 
Kwa taarifa yako hata rais mumjaze mtakavyo hata ikibidi kuifuta cdm, bado katiba mpya itapatikana. Hata angefufuka Magufuli leo hii bado katiba mpya ingepatikana. Na vile alikuwa ameshaangusha uchumi, tena yeye ingepatikana hata kwa machafuko. Hitaji la katiba mpya ni la wakati, halikwepeki kwa hila wala mabavu. Someni alama za nyakati.
Duuuh....!!! naona siku hizi mmejaa vitisho kwelikweli.
Mnanikumbusha maandama o ya Mangi Kimambi.
Sisi wengine yetu macho
 
Katibu mkuu wa Chadema J J Mnyika amevitaka vikao vyote vya kikatiba vya Bavicha kuanzia Taifa hadi Msingi kuandaa kamati za kudai Katiba mpya.

Mnyika amesema ni vema wakajipanga sawasawa kabla ya kuingia rasmi mitaani kushinikiza uundwaji wa katiba mpya.

Nawasalimu kwa jina la JMT!
Nchi inahitaji haki kwa watumishi na kuchapa kazi kwa makundi mengine na kupata stahiki sahihi,hayo mengine mpigieni simu muongee nae na sio kuandama.
 
Back
Top Bottom