Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 19,030
- 41,411
Ety chadema chama pinzani 😂😂😂. Tz kwa vituko tuko vizuri. Ww kaandamane tuuHuu ndo udoko wenyewe. Akili gani hii? Kweli ndiyo maana tulipelekwa utumwani.
Ety chadema chama pinzani 😂😂😂. Tz kwa vituko tuko vizuri. Ww kaandamane tuuHuu ndo udoko wenyewe. Akili gani hii? Kweli ndiyo maana tulipelekwa utumwani.
Mkuu KATIBA MPYA ikipatikana hata wewe utabadili mtizamo wako.Sawa nenda ukaandamane uvunjwe mguu huku viongozi wa chadema hawana muda na wewe.
Bogus lema alivotoka jela alikuja na nyimbo kuwaimbia watu kwenye viwanja vya samunge Arusha mjini sasa na ww ukivunjwa mguu wakati wazazi wako wanapambana hospitali viongozi wa chadema wanakutungia nyimbo
Upinzani wa Tanzania, unlike “Democrats vs Republicans” ni upumbavu. Kwa maoni ya watu kama wewe, sishangazwi ni kwanini sisi weusi tulichukuliwa utumwani.Ety chadema chama pinzani 😂😂😂. Tz kwa vituko tuko vizuri. Ww kaandamane tuu
Kukiwa na sababu ya maana ya kuandamana sisi tutaandamana tu bila kuogopa chochote ila hatuwezi kuandamana kwa sababu ya hoja zisizo na macho na uhuni uhuni Kama huu unao endelea.Mugabe, Elbashir nk walitawala nchi zao kwa mabavu zaidi ya miaka 30, na kila uchaguzi walikuwa wanafanya uhuni, na yoyote aliyekuwa anaonyesha upinzani aliishia kupata kipigo kikali, hata mauji. Unakumbuka kipigo alichokipata Tsvangirai huko Zimbabwe enzi za Mugabe? Wapambe wao kama ww walikuwa wanasema watu hawaandamani dhidi ya huo uhuni wa hoa viongozi eti kwakuwa wananchi wamewapuuza. Watu walipoona enough is enough wala hawakusiburi hilo box la kura tena, yaliyotokea yako wazi.
Ile siku ya maandamano viongozi waliwekwa ndani, na vilitoka vitisho vya hatari, na sio vitisho tu, mauaji yangefanyika pia. Kwa sasa ni muda wako wa kutamba na kusifia uhuni ule, lakini mwisho wake hauko mbali. Aanza kuandaa post za kusema watu wanatumika na mabeberu.
Kukiwa na sababu ya maana ya kuandamana sisi tutaandamana tu bila kuogopa chochote ila hatuwezi kuandamana kwa sababu ya hoja zisizo na macho na uhuni uhuni Kama huu unao endelea.
Ukiona kiongozi kafungwa kisha watu wapo kimya ujue ndio wamempuuza yeye pamoja na sera zake za hovyo.
Sera wenyewe wamejaa matusi matupu alafu nikaandamane eti!!
Alafu mkuu huwa unadhani kuwa Mimi ni ccm, mimi sio ccm kabisaa ila kuunga mkono uhuni Kama huu unaopewa jina la upinzani kwangu mimi hapana kabisa
Siko against na haki hata siku moja ila pia siwezi unga mkono njia za kihuni kwenye kudai hiyo haki mkuu😂 vitu vingine ni vichekesho na si kudai haki.Ww huwezi kuandamana kwenye maandamano ya kudai haki, maana ni mzee. Ww unaweza kuandamana kwenye maandamano ya kusifia viongozi tu. Usitake kujifanya unaweza kuandamana wakati uko against upande wa haki. Acha kusaka sifa zisizo zako.
Chadema mmechanganyikiwa kabisa hamna pa kushika.Mmechoka kupambana na marehemu??????????Katibu mkuu wa Chadema J J Mnyika amevitaka vikao vyote vya kikatiba vya Bavicha kuanzia Taifa hadi Msingi kuandaa kamati za kudai Katiba mpya.
Mnyika amesema ni vema wakajipanga sawasawa kabla ya kuingia rasmi mitaani kushinikiza uundwaji wa katiba mpya.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Wenye akili wanafahamu nguvu kubwa alizonazo rais. Kusema “wanataka kupimana ubavu”, ni dalili kwamba una ujinga mkubwa sana ambao ndiyo zao la umasikini wetu.Hawa watu wanajaribu kupimana ubavu na rais,kuwa fair kwa vyama vya kihuni huni Kama chadema ni kuliangamiza taifa,
Rais Hana budi kubadili mikakati ya kudili na vyama vya kihuni huni Kama hivi ili kuliepusha taifa kuingia kwenye machafuko.
Walikuwa wapi kudai katiba enzi za JPM,why now ,je wamemuona rais ni mtu dhaifu kwao hivyo ni muda muafaka wa kuanzisha chokochoko?
Chadema nawahakikishia kile mnachokitafuta hakika mutakipata muda si mrefu,wait and see.
Duuuh....!!! naona siku hizi mmejaa vitisho kwelikweli.Kwa taarifa yako hata rais mumjaze mtakavyo hata ikibidi kuifuta cdm, bado katiba mpya itapatikana. Hata angefufuka Magufuli leo hii bado katiba mpya ingepatikana. Na vile alikuwa ameshaangusha uchumi, tena yeye ingepatikana hata kwa machafuko. Hitaji la katiba mpya ni la wakati, halikwepeki kwa hila wala mabavu. Someni alama za nyakati.
Nchi inahitaji haki kwa watumishi na kuchapa kazi kwa makundi mengine na kupata stahiki sahihi,hayo mengine mpigieni simu muongee nae na sio kuandama.Katibu mkuu wa Chadema J J Mnyika amevitaka vikao vyote vya kikatiba vya Bavicha kuanzia Taifa hadi Msingi kuandaa kamati za kudai Katiba mpya.
Mnyika amesema ni vema wakajipanga sawasawa kabla ya kuingia rasmi mitaani kushinikiza uundwaji wa katiba mpya.
Nawasalimu kwa jina la JMT!