johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,902
- 141,845
Katibu mkuu wa CHADEMA John Mnyika amesema huu ni mwaka wa uchaguzi wa Viongozi wa chama hivyo wanachama wote wajiandae.
Mnyika amesema Uchaguzi utafanyika kuanzia ngazi ya Msingi hadi Taifa, so wanachama wote wahakikishe kadi zao ziko hai.
Source: Chanzo TV
Mnyika amesema Uchaguzi utafanyika kuanzia ngazi ya Msingi hadi Taifa, so wanachama wote wahakikishe kadi zao ziko hai.
Source: Chanzo TV