Hivi RA alipokwenda kumtongoza ajiunge na CCM unafahamu walikuwa wana uhusianio wa namna gani? Mnyika amesema aende mahakamani, sasa nani analalamika?
Dua,
Mahakama ya mwanasiasa ni wananchi. Tutajua mwaka 2010 kama hiyo style ya Mnyika inafanya kazi au la. Pia tutajua mwaka 2010 kama wananchi wanaamini anachosema RA au wanamwona fisadi tu.
Hukumu ya mwanasiasa yoyote inapatika kwenye kura ya uchaguzi na wala sio mahakamani.