nadhani wachangiaji wengi hapa jf, hamjui impact ya propaganda za rostam aziz kuhusu kifo cha wangwe na athari zake kwa taifa hili, muda mfupi tu tangu kuandikwa habari ya kuwa wangwe kauuwa, tayari kulkuwa na tension kali sana katika miji ya tarime na moshi, mjini moshi ambako nilikuwa wakurya walikuwa na wasiwasi sana, kama wachaga walioko tarime wangeshambuliwa, nasikia maduka ya wachaga tarime yalifungwa siku nzima. wakati huo rostam azizi alikuwa yuko bize akichochea vita, na hali anayo ticket ya ndege ya kukimbilia ughaibuni, na mamilioni ya dola ya kula mpaka afe, yale aliyioiba pale benki kuu
kuna lugha gani ya kuongean na hayawani, punguani, zandiki, nduli, mpuuzi, fala, mnafiki, kama huyu? nisiikosee bure jf kwani ningemkuta ningemzaba kibao na tusi kama.....