Rostam ni Mbunge na anakiapo cha jamhuri hana sababu ya kwenda mahakamani.
Mnyika atashitakiwa na jamhuri sawa na mtu aliyemzaba kibao DC au RC. Nikweli viongozi wetu wamekuwa assulted kwa sms mno, tumeshampata Mnyika na ameshakiri kuwa alimtusi! tunaanza nae, sawa jamani?
BAKITA ndio offical body ya kutafsiri kiswahili, kamusi ya kiswahili inasema fisadi ni mtu mzinifu, Rostam hawezi kuwa basha waMnyika kamwe, ila sina uhakika kama Mnyika sio shoga! sheria ichukue mkondo wake tu.
mwikimbi! Habari kuwa wangwe kapigwa risasi mbili kichwani zilianzia jf sio RAI, habari ya chenge kunywa sumu zilianzia jf sio Rai, kama kuna upotoshwaji basi ulianzia jf. pia Kwa nini tumsakame rostam wakati kuna mhariri mtendaji wa Rai?
Kuhusu EPA, zitto ambaye ni bosi wa Mnyika ni mwenyekiti wa kamati ya bunge ya hesabu za serikali hivyo anajua zaidi nani mhusika. Kwa mfumo wa Bunge M'kiti wa PAC anatoka upinzani. Wakati Uhuru Kenyatta akiwa M'kiti wa PAC ali-account kila single senti ya serikali ya kenya, Ng'ombe atatokaje bandani wakati funguo tunazo mfukoni? tujiulize.
Ati Rwanda! radio muhabura ilikuwa sawa na jf haikujulikana inatangazia kuanzia wapi na mpaka leo mitambo yake haijulikani iliko.