Profesa
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 905
- 624
Mukulu wa zamani wa CCM alikuwa na mchezo rough sana, angekuwepo angesha mbana kijana aingie CCM, mnakumbuka lamwai na wengine kadhaa?? Ah Engeneers wa siasa ndani ya CCM wanatoweka tumebaki na wahubiri tu ambao hawanaskills wala technics za kisiasa kabisaa wanabwata tu kuanzia makatibu hadi waenezi ...