Ikwanja
JF-Expert Member
- Jul 12, 2011
- 2,082
- 581
Ukioma rejao, ritz, FF, Ms wanachangia kwenye thread ujue wamebanwa na bosi wao kuyeyusha, na ujue hoja hiyo ukweli upo dhahiri. Uzuri wanoangalia na kusikiliza ukweli na uhakika wa mambo ni wengi. nyie muendelee kuitikia Ndiyooooooooooooooooooooooo! na kuharibu meza za ukumbi wa bunge. Pipozzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz pawaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa itawamaliza. Kwa taarifa yenu Lema amepewa chopa!!!! viva CDM