Rugas
JF-Expert Member
- Jan 8, 2009
- 1,048
- 196
Sure wakuu!jamaa ameonyesha maana halisi ya bunge kutunga sheri. Anaonyesha kuielewa kwa undani sheria inayotungwa! Kwa maana kwamba amesoma contents.hata hoja zilizokataliwa zilikuwa nzuri na za maana,ila naona serikali imeona isikubali yote! Big up mnyika.