Crucial Man
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 3,404
- 1,307
jamaa is so braliant namkubali mnyika.
Ntakutukana ..........Hawa wabunge vijana wa Chadema wameanza kampeni za urais mapema sana...hana lolote ye na Zito wanatafuta urais tu.
Makinda akimwona Mnyika anahisi kujikojolea hadi kaonyesha chuki za wazi kwa kumuita Jambazi,,nabado.
Nafatilia mjadala wa BRELA Bungeni sasa hivi, kwa nini wabunge wa CCM wako kimya zaidi ya kusema NDIYOOO! Maana wanaompeleka AG kwenye makosa ya muswada ni wapinzani.Jee wale wa CCM wanawakilisha watu gani? Au hawajui wako pale kwa shughuli gani?
mke wa Lissu.