Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,487
Stress ni kitu kingine jamani! Dah. ..so sad
Hakuna anayebeza ..shida iko hapa .watz hatupendwi kuambiwa ukwel...tunataman kusikia mambo mazuri tunayotaka sisi tu ..hatutak kusikia other side. Na anayekuambia live huyo ndo mzuri anakukomaza. Anakupa hasira kumprove wrong...! Huwezi fanya biashara ijumaa jumatano umequit...nasema haipo hiyo ...kama ingekua kubezwa Basi watu tulibezwa. Na hatujafika tunapotaka...!Maisha sio rahisi, na pia Hawa vijana msiwabeze, kwa kusema mnawasaidia afu wanakuwa sio wavumilivu, ukweli ni kwamba vipawa vinatofautiana, pia malezi na mazingira, kama unaweza kumuajiri mwajiri, kama uwezi usimbeze
Very true, na hela yako ya kutafuta ni tamu balaaMie sitasahau niliwahi kosa hela ya kununulia chumvi mwaka 2010!hapo umemaliza shule kukwepa kukaa home unaamua kuolewa()
Misiba na sherehe zikitokea hi automatic huna la kuchangia. Unasingizua mshahara wa mume haujatoka..kumbe hakuna wa kukupa hiyo hela!
Sitaki maisha hayo Teena .. tufate tu kanuni iko siku
Acha uchawi mkuuNajamkuu55 said:Leo jumapili mpaka jumapili ijayo kama hutopata dhoruba lolote mimi nife.
Tunza hii comment ikifika jumapili ijayo njoo uijibu.
mkuu vipi wanasemaje huko ABSA?Nipe tu Faza nita kuRepay back baadae maana hapa nina trip za safari kadhaa zinazohitaji nauri.
Story ilikiwa hivi mjini Dar nimetoka na pesa nusu nyengine nitumiwe na Bimkuu alikuwa na pesa yangu nimefika ananiambia mambo yamemtaiti, pesa nyingine niliuza PC ya jamaa uzi wangu wa mwisho (niliidalalia) jamaa nimemDirect mteja kauza kaniBlock (katapeli).
duh....hakuna kufanana kabisaYes mtwara jina lilinitoka bana nilichanganya na milelani.
nakusalimia tu mr manager!Hoja yako ni nini.
Usimdharau dharau serious wewe mpe idea . .msikikize mawazo yakenakusalimia tu mr manager!
Hakuna ubaya
Bado upo hapa?Huyo ni Gasho tu sihitaji Idea zake zaki F kama Fal wengine.
TayariMadam futa hizi Qoute nisije pigwa Ban maana nina ishu na mtu PM nimefuta kwasabu yakiepusha mazingira ya Ban.
Hahah ila una moyo sana mkuu........!Bado upo hapa?
Umefika hatimaye! Maana huyu ndo mtani wako og ..umeadimika ..!niombeeHahah ila una moyo sana mkuu........!
Hahah ntakuweka kwny maombi.Umefika hatimaye! Maana huyu ndo mtani wako og ..umeadimika ..!niombee
Utani mzuri tu ila tatizo unaangalia sehemu unapo pitch minakuandikia passage sensitive unaleta utopolo mbona tumetaniana sana uzi wa mtu kukudharau ila pale juu nimeandika serious scenario analeta ukolo.Umefika hatimaye! Maana huyu ndo mtani wako og ..umeadimika ..!niombee
We
Dah...ngoja nisiandike Sana ...Ila dogo habebeki..kinda tired!..mpe mchongo masasi aende mkuu. Mie niliwah mchorea mchori wooote. Akasema sasa Kule Nan atakua mwenyej wangu? Akasema ngoja nijifikirie .later akaja na proposal nyingine nikasupport nilipoweza .haizid mwezi anakuja Tena na proposal nyingine🤧..anakata tamaa Sana hakuna njia rahisu