Dangote Jr
JF-Expert Member
- Aug 15, 2019
- 5,945
- 8,509
Binafsi Aya mambo ya kuwapa michongo Hawa vijana wa daslam nlishaachaga.
Kuna kijana mmoja alkua kamaliza digrii hapo mlimani.
Jobless miaka 4, Kanililia wee nimpe mchongo.
Ikabd nimuunganishe kwa jamaa angu mmoja Yuko moro- ifakara
Jamaa akakubali kifungua branch ya biashara Yake eneo moja linaitwa Mbingu ili kijana asimamie ile biashara kwa miaka 5.
Biashara ikishakua, yy anafungua tawi jingine sehem nyingn ile inabak kua Mali yake.
Jamaa kajitolea kumkodia frem, fenicha zote na mzgo wa kuanzia akagharamia .
Huwez amini,
Kijana alidumu pale Miezi 4 TU.
Sababu anazotoa eti eneo lile wateja hamna.
Eti anamtaka boss ule mtaji akamfungulie dar.
afu eneo lile mtandao halishiki 4G anashindwa kuwasilian na ndugu na marafk zake walioko insta na wasap.
Jamaa angu kapata hasara,
ikabid arudishe frem, na zile fenicha auze kufidia hasara.
Chumba alichompangishia kimefungwa TU hadi leo.
Kijana karud daslam
Nkifikiria,
Inatia hasira Sana Kiukweli![]()
Sio wote tuko hvo bro!! kila cku mnatuponda watu wa Dar.......by the way, naomba npe mishe ya kuingiza hela mkuu!!!

