Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,694
Mie tapeli..hebu Sivan endelea na Mishe tu Zako..tutabaki kusalimiana tuHee imekuwaje.
Mie tapeli..hebu Sivan endelea na Mishe tu Zako..tutabaki kusalimiana tuHee imekuwaje.
Dah hatari sana jamaniDada yupi unae mzungumzia..??
Na.....
Haina nguvu ya kunilaani, maana laana ni mavuno ya dhambi.
Ebu nenda ukabebe zege kijana, achana kuendekeza vilio kwenye mitandao aiseeee
Kuna mambo yanaudhi sana sister, yaani kuna watu wanapaona humu ndani kama wana haki kama kwa baba na mama zao.Tulia bro
Mie hata jana mwenzangu tu kaniambia we naye umezidi 🤧🤧🤧! Najifunza nafeli...anywysKuna mambo yanaudhi sana sister, yaani kuna watu wanaapona humu ndani kama wana haki kama kwa baba na mama zao.
Binafsi Aya mambo ya kuwapa michongo Hawa vijana wa daslam nlishaachaga.
Kuna kijana mmoja alkua kamaliza digrii hapo mlimani.
Jobless miaka 4, Kanililia wee nimpe mchongo.
Ikabd nimuunganishe kwa jamaa angu mmoja Yuko moro- ifakara
Jamaa akakubali kifungua branch ya biashara Yake eneo moja linaitwa Mbingu ili kijana asimamie ile biashara kwa miaka 5.
Biashara ikishakua, yy anafungua tawi jingine sehem nyingn ile inabak kua Mali yake.
Jamaa kajitolea kumkodia frem, fenicha zote na mzgo wa kuanzia akagharamia .
Huwez amini,
Kijana alidumu pale Miezi 4 TU.
Sababu anazotoa eti eneo lile wateja hamna.
Eti anamtaka boss ule mtaji akamfungulie dar.
afu eneo lile mtandao halishiki 4G anashindwa kuwasilian na ndugu na marafk zake walioko insta na wasap.
Jamaa angu kapata hasara,
ikabid arudishe frem, na zile fenicha auze kufidia hasara.
Chumba alichompangishia kimefungwa TU hadi leo.
Kijana karud daslam
Nkifikiria,
Inatia hasira Sana Kiukweli![]()
Nitaongea nawe mpaka suala litapokamilika kuna ishu iko kwa nyuhapaNop
We mpe mchongo mkuu...!
Sawa Boss, ila kuna ishu moja ya mwisho itabidi tuongee after then tutaendelea kusomana JF tu Madam.Mie tapeli..hebu Sivan endelea na Mishe tu Zako..tutabaki kusalimiana tu
Nitaongea nawe mpaka suala litapokamilika kuna ishu iko kwa nyuhapa
Sawa Boss, ila kuna ishu moja ya mwisho itabidi tuongee after then tutaendelea kusomana JF tu Madam.
Kuna ishu nitaku-Pitch mpaka ikiwa tiyari 100% ndani ya week hii maana kuna faza humu anaichonga baada ya hapo itakuwa Bless sana Manengelo.
Uvumilivu ndo silaha.Unatakiwa kumalizia kwanza hiyo michongo alokuelekeza dada manengelo.
Inaonekana wee Ni wale wale wasokua na Moyo wa uvumilivu.
Unataka Mambo yaende simpo simpo Kama ulivoota ndotoni.
Kamwe,
Huwez kufanikiwa kupapasa papasa sana biznes tofauti tofauti.
Ukishika shikilia kweli kweli.


hawa watu waache kuchezea hela za watu.Mie sitasahau niliwahi kosa hela ya kununulia chumvi mwaka 2010!hapo umemaliza shule kukwepa kukaa home unaamua kuolewa(😆😆)Unanipaga mzuka wa kutafuta mishiko , Safi sana![]()
Uko na mtaji ama wataka kazi ya kufanya?
Ukiwawahi msimu wa mavuno ambapo wakulima wameshauza mazao ndio biashara za aina hii zinaleta tija zaidi.Sivan nikuambie tu kitu kimoja. Hutaona mafanikio Kama utakuwa mtu wa kugusa na kuacha...nadhan unajua( namaanisha )Nini...!
Humu jf katika watu niliowapambania we ni no 1! Lakini husomeki..unakatisha tamaa. Thou sikusimangi)...Ila Bora nikuambie ukweli ..utakusaidia mbeleni ukiamua kuufata
Moro ndugu yangu pagumu...hapana mzunguko wa pesa. ..papo papo tu..Ila ukipata kaupenyo hela ipo ..nadhan pagumu Kwasababu wknd weng wanaenda Dar. ..
Wee sijui unafeli wapi na huku huna majukumu...!wenzako familia zinatufanya turudi nyuma kila mara
Basi nenda huko Mafinga wanakopasua mbao..kajifunze biashara ya mbao..au toa vimbao vyako 100porini kauze hapo mjini kila ubao hukosi 500/- unakwama wapi dogo?...Kule kazi ni nzito..au ..Chukua zaga zaga Kama saa za Bei fulan za Kati perfume za kupima .headphone za Bei rahis .shades nzuri za wakaka na wadada. .boxer nzuri Raba tamu
Acha kung,'ang'ania kuishi mjini...nenda kajitupe huko usome mchezo na usichague kazi. Wenzako mjini tunarudi kupooza akili ! Be you !
Nenda Hadi viwanda vya chai nenda na vitu vzri zuri. Kuna dogo nilinunua kwake saa nikamwambia usiishie mjini nenda huko..mbona ananishukuru daily!( Najua utaniambia sisy nitaendaje huko Mimi Sina mwenyej) ndo shida yako hii had nakosaga la kukujibu ..toka mjini dogo!
Kama utaenda Mafinga nitakusaidia ulale bure for 7dys! I wish utoke kwenye kifungo hicho Cha kukomalia kukaa mjini....
Kubali kupigwa jua..kubali maisha ya dhiki....kubali Hali yoyote..!
Natamani kukufinya sikio uamke!..
Kule viwandani aende tarehe za mshahara...yaan ahakikishe ameenda viwanda vyote. Hakosi kuuza! Ila ni kwenda kwanza na kusoma mazingira kwanzaUkiwawahi msimu wa mavuno ambapo wakulima wameshauza mazao ndio biashara za aina hii zinaleta tija zaidi.
SivanUko na mtaji ama wataka kazi ya kufanya?
HILI Ni tatizo kubwa Sana.Bora huyo..Kuna mmoja akifanya kazi 4dys..!! Imagine umemchangia kila kitu
..alafu anakuja kukuambia kiwepesii ah sisy hapa hakuna ishu
..bye kwa huu Uzi ..
Vijana wanakatisha Sana tamaa.Uvumilivu ndo silaha.
Watu hawajui biashara zinatupasua kichwa balaa.
Lakini mtu unavumilia tu.
Biashara mwaka wa kwanza ni kuvumilia tu na kuilea na kusoma mchezo.
Sasa yeye hata mwaka hanahawa watu waache kuchezea hela za watu.
Mimi mwaka 2017 Kuna ishu nilipanga niijue abc zake ...Kuna mtu humu anazifanya na anaonekana succesful. .huez amini toka 2017 had huu mwaka hajawah nisaidia kwa kupata hints...unampm anakujibu salamu tu...ukishajieleza hakujibu...bas Kuna kipindi nilimind Sana..lakini huu mwaka amenipa nguvu Sana ya Mimi kutafuta taarifa sahihi...nilimchukia sana Sasa hivi Namuona ni shujaa Fulani...! Na Mungu alivyo mwema kwangu amenifungulia milango hatari....Vijana wanakatisha Sana tamaa.
Wanafikiri mafanikio yanakuja kirahisi rahisi.
Ndo maana baadhi ya matajiri wamebaki kua na raho mbaya TU,
Maana mwngn akikumbuka magumu aliyoyapitia,
afu mpuuz flan anakuja kuchezea mtaji wake.
Aisee lazima akulambe shaba.
Leo jumapili mpaka jumapili ijayo kama hutopata dhoruba lolote mimi nife.Dada yupi unae mzungumzia..??
Na.....
Haina nguvu ya kunilaani, maana laana ni mavuno ya dhambi.
Ebu nenda ukabebe zege kijana, achana kuendekeza vilio kwenye mitandao aiseeee
Usipoteze muda hapoHee imekuwaje.