Mnipe mishe za kuingiza kipato Morogoro

Mnipe mishe za kuingiza kipato Morogoro

Binafsi Aya mambo ya kuwapa michongo Hawa vijana wa daslam nlishaachaga.

Kuna kijana mmoja alkua kamaliza digrii hapo mlimani.
Jobless miaka 4, Kanililia wee nimpe mchongo.

Ikabd nimuunganishe kwa jamaa angu mmoja Yuko moro- ifakara

Jamaa akakubali kifungua branch ya biashara Yake eneo moja linaitwa Mbingu ili kijana asimamie ile biashara kwa miaka 5.

Biashara ikishakua, yy anafungua tawi jingine sehem nyingn ile inabak kua Mali yake.

Jamaa kajitolea kumkodia frem, fenicha zote na mzgo wa kuanzia akagharamia .

Huwez amini,
Kijana alidumu pale Miezi 4 TU.

Sababu anazotoa eti eneo lile wateja hamna.

Eti anamtaka boss ule mtaji akamfungulie dar.

afu eneo lile mtandao halishiki 4G anashindwa kuwasilian na ndugu na marafk zake walioko insta na wasap.

Jamaa angu kapata hasara,
ikabid arudishe frem, na zile fenicha auze kufidia hasara.

Chumba alichompangishia kimefungwa TU hadi leo.

Kijana karud daslam

Nkifikiria,
Inatia hasira Sana Kiukweli

Bora huyo..Kuna mmoja akifanya kazi 4dys..!😀😀😀🙌🙌🙌! Imagine umemchangia kila kitu😀😀..alafu anakuja kukuambia kiwepesii ah sisy hapa hakuna ishu😆😆..bye kwa huu Uzi ..
 
Nop
We mpe mchongo mkuu...!
Nitaongea nawe mpaka suala litapokamilika kuna ishu iko kwa nyuhapa
Mie tapeli..hebu Sivan endelea na Mishe tu Zako..tutabaki kusalimiana tu
Sawa Boss, ila kuna ishu moja ya mwisho itabidi tuongee after then tutaendelea kusomana JF tu Madam.

Kuna ishu nitaku-Pitch mpaka ikiwa tiyari 100% ndani ya week hii maana kuna faza humu anaichonga baada ya hapo itakuwa Bless sana Manengelo.
 
Nitaongea nawe mpaka suala litapokamilika kuna ishu iko kwa nyuhapa

Sawa Boss, ila kuna ishu moja ya mwisho itabidi tuongee after then tutaendelea kusomana JF tu Madam.

Kuna ishu nitaku-Pitch mpaka ikiwa tiyari 100% ndani ya week hii maana kuna faza humu anaichonga baada ya hapo itakuwa Bless sana Manengelo.


Kila la heri boss..mie nipo tu!
 
Unatakiwa kumalizia kwanza hiyo michongo alokuelekeza dada manengelo.

Inaonekana wee Ni wale wale wasokua na Moyo wa uvumilivu.

Unataka Mambo yaende simpo simpo Kama ulivoota ndotoni.

Kamwe,
Huwez kufanikiwa kupapasa papasa sana biznes tofauti tofauti.

Ukishika shikilia kweli kweli.
Uvumilivu ndo silaha.
Watu hawajui biashara zinatupasua kichwa balaa.
Lakini mtu unavumilia tu.
Biashara mwaka wa kwanza ni kuvumilia tu na kuilea na kusoma mchezo.

Sasa yeye hata mwaka hana hawa watu waache kuchezea hela za watu.
 
Unanipaga mzuka wa kutafuta mishiko , Safi sana
Mie sitasahau niliwahi kosa hela ya kununulia chumvi mwaka 2010!hapo umemaliza shule kukwepa kukaa home unaamua kuolewa(😆😆)
Misiba na sherehe zikitokea hi automatic huna la kuchangia. Unasingizua mshahara wa mume haujatoka..kumbe hakuna wa kukupa hiyo hela😆😆!
Sitaki maisha hayo Teena .. tufate tu kanuni iko siku😆🤸😜💵👆
 
Uko na mtaji ama wataka kazi ya kufanya?
Sivan nikuambie tu kitu kimoja. Hutaona mafanikio Kama utakuwa mtu wa kugusa na kuacha...nadhan unajua( namaanisha )Nini...!
Humu jf katika watu niliowapambania we ni no 1! Lakini husomeki..unakatisha tamaa. Thou sikusimangi)...Ila Bora nikuambie ukweli ..utakusaidia mbeleni ukiamua kuufata

Moro ndugu yangu pagumu...hapana mzunguko wa pesa. ..papo papo tu..Ila ukipata kaupenyo hela ipo ..nadhan pagumu Kwasababu wknd weng wanaenda Dar. ..
Wee sijui unafeli wapi na huku huna majukumu...!wenzako familia zinatufanya turudi nyuma kila mara

Basi nenda huko Mafinga wanakopasua mbao..kajifunze biashara ya mbao..au toa vimbao vyako 100porini kauze hapo mjini kila ubao hukosi 500/- unakwama wapi dogo?...Kule kazi ni nzito..au ..Chukua zaga zaga Kama saa za Bei fulan za Kati perfume za kupima .headphone za Bei rahis .shades nzuri za wakaka na wadada. .boxer nzuri Raba tamu
Acha kung,'ang'ania kuishi mjini...nenda kajitupe huko usome mchezo na usichague kazi. Wenzako mjini tunarudi kupooza akili ! Be you !
Nenda Hadi viwanda vya chai nenda na vitu vzri zuri. Kuna dogo nilinunua kwake saa nikamwambia usiishie mjini nenda huko..mbona ananishukuru daily!( Najua utaniambia sisy nitaendaje huko Mimi Sina mwenyej) ndo shida yako hii had nakosaga la kukujibu ..toka mjini dogo!
Kama utaenda Mafinga nitakusaidia ulale bure for 7dys! I wish utoke kwenye kifungo hicho Cha kukomalia kukaa mjini....
Kubali kupigwa jua..kubali maisha ya dhiki....kubali Hali yoyote..!
Natamani kukufinya sikio uamke!..
Ukiwawahi msimu wa mavuno ambapo wakulima wameshauza mazao ndio biashara za aina hii zinaleta tija zaidi.
 
Ukiwawahi msimu wa mavuno ambapo wakulima wameshauza mazao ndio biashara za aina hii zinaleta tija zaidi.
Kule viwandani aende tarehe za mshahara...yaan ahakikishe ameenda viwanda vyote. Hakosi kuuza! Ila ni kwenda kwanza na kusoma mazingira kwanza
 
Bora huyo..Kuna mmoja akifanya kazi 4dys..!! Imagine umemchangia kila kitu..alafu anakuja kukuambia kiwepesii ah sisy hapa hakuna ishu..bye kwa huu Uzi ..
HILI Ni tatizo kubwa Sana.

Unakuta kijana kamaliza chuo kikuu, kaingia mtaani na kuambiwa na walimu wake.
"ili uwe tajiri inabidi usome Sana vitabu"

Anaenda kununua vitabu kibao ya "HOW TO GET RICH", anasoma anameza Kama vilivyo

Afu anakuja mtaan,
anakuta ndivyo sivyo, changamoto kibao kila akigeuka.

Unakuta ndo haya haya,
ANAGUSA HIKI, HAJAMALIZA HIKI KESHAGUSA KILE.

Ili mradi TU aupate ule utajiri alousoma kwenye kitabu.
 
Uvumilivu ndo silaha.
Watu hawajui biashara zinatupasua kichwa balaa.
Lakini mtu unavumilia tu.
Biashara mwaka wa kwanza ni kuvumilia tu na kuilea na kusoma mchezo.

Sasa yeye hata mwaka hana hawa watu waache kuchezea hela za watu.
Vijana wanakatisha Sana tamaa.
Wanafikiri mafanikio yanakuja kirahisi rahisi.

Ndo maana baadhi ya matajiri wamebaki kua na raho mbaya TU,

Maana mwngn akikumbuka magumu aliyoyapitia,

afu mpuuz flan anakuja kuchezea mtaji wake.

Aisee lazima akulambe shaba.
 
Vijana wanakatisha Sana tamaa.
Wanafikiri mafanikio yanakuja kirahisi rahisi.

Ndo maana baadhi ya matajiri wamebaki kua na raho mbaya TU,

Maana mwngn akikumbuka magumu aliyoyapitia,

afu mpuuz flan anakuja kuchezea mtaji wake.

Aisee lazima akulambe shaba.
Mimi mwaka 2017 Kuna ishu nilipanga niijue abc zake ...Kuna mtu humu anazifanya na anaonekana succesful. .huez amini toka 2017 had huu mwaka hajawah nisaidia kwa kupata hints...unampm anakujibu salamu tu...ukishajieleza hakujibu...bas Kuna kipindi nilimind Sana..lakini huu mwaka amenipa nguvu Sana ya Mimi kutafuta taarifa sahihi...nilimchukia sana Sasa hivi Namuona ni shujaa Fulani...! Na Mungu alivyo mwema kwangu amenifungulia milango hatari....
Uvumilivu ni ngao...💕
 
Dada yupi unae mzungumzia..??
Na.....
Haina nguvu ya kunilaani, maana laana ni mavuno ya dhambi.
Ebu nenda ukabebe zege kijana, achana kuendekeza vilio kwenye mitandao aiseeee
Leo jumapili mpaka jumapili ijayo kama hutopata dhoruba lolote mimi nife.
Tunza hii comment ikifika jumapili ijayo njoo uijibu.
 
Back
Top Bottom