monopoly inc
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 5,265
- 11,318
hiyo ni mtwara mkuuMasasi ni Arusha.
Umesoma geography ipi hujui masasi ni wilaya ya mkoa gani?
Huku kwa wasaka life tena ulieishi dar hapawez pakakushinda kabisaa
hiyo ni mtwara mkuuMasasi ni Arusha.
Awww...!tubarikiwe wote Happy!Moja ya watu ninao waheshimu na kuwasoma humu ndani ni pamoja na wewe Dada...Una moyo wa kipekee sana wa kutaka wengine wasogee pale walipo!
Unaandikaga facts. Usiache kutuelimisha wadogo zako....Barikiwa sana Mamy😍
Msaidie Basi ...Mi sipo masasi
ila nshawahi pita nikakuta ni sehem nzuri kwa mtu ambaye anaanza mishe mishe coz pamechangamka na pesa ipo nje nje
tumsaidiaje au tumpe hela?Msaidie Basi ...
You see! Na namna hiyo baraka hazitakuacha Jivunie Mama, na usikate tamaa kuwasaidia pale unapoweza! 😘😘🙏🙏Awww...!tubarikiwe wote Happy!
Ila had naandika hapa nimemsaidia dogo mmoja kias kwamba najiuliza hivi ni Mimi?..kifupi dogo nilimuokota tu majalalani😆😆( maana had mwenzangu akanianbia we hutaendelea unaamini mno watu)! Nikamchorea ramani(hapo hata jina lake silijui na hanijui(amepostpone mwaka udom)akanipitishia sabuni za magadi nikamuuliza anaipataje faida ananiambia hela ndogo balaa nikamwambia acha hiyo fanya ishu hii na hii...kumbe dogo kanielewa kuliko Mimi nilivyompa ramani..yaan mie nilimpa idea yangu juu juu nikijua mpitaji...maskini Yule mtoto kwa siku anaingiza faida ya 20000/-..Jana ananipgia ananiambia sisy nimekuza mtaji nna laki 9!(alianza kwenye corona crisis)..ninaona aibu.. nnaona Raha pia. Alinunua bike ndani ya mwezi mmoja tu🤧🤧!.
Huyu acha nijivunie aisee!
Again thanks💕
Najivunia Kwakweli..Asante barikiwaYou see! Na namna hiyo baraka hazitakuacha Jivunie Mama, na usikate tamaa kuwasaidia pale unapoweza! 😘😘🙏🙏
Mchoree ramani ..walau sio mbaya!...ikiwezekana msaidie faretumsaidiaje au tumpe hela?
Dada manengelo wewe ni wa kipekee sana,huwa natamani nikuone siku moja unafananaje.lakini wasukuma sisi tuna roho nzuri.ipo siku ntakutafuta.Najivunia Kwakweli..Asante barikiwa
Dada manengelo wewe ni wa kipekee sana,huwa natamani nikuone siku moja unafananaje.lakini wasukuma sisi tuna roho nzuri.ipo siku ntakutafuta.
Ni jina tu wakati najisajiri google zamani nilijikuta naandika alu kwenye first name,bati kwenye last name,wala sina uhusiano na hilo jina, jina langu halisi ni M * yu*ga nadhani utakuwa umeelewa yale majina yetu ka kisukuma.Albert msukuma??hahahha....hahhaa ..tutafutane Mungu akijalia uzima
Ni jina tu wakati najisajiri google zamani nilijikuta naandika alu kwenye first name,bati kwenye last name,wala sina uhusiano na hilo jina, jina langu halisi ni M * yu*ga nadhani utakuwa umeelewa yale majina yetu ka kisukuma.
Nipe tu Faza nita kuRepay back baadae maana hapa nina trip za safari kadhaa zinazohitaji nauri.tumsaidiaje au tumpe hela?
Yes naelewa.Yes walewalee...haha Safi kbs ..niliwahi ona sehemu kwenye Uzi wa walioungua mafuta Moro nikajua unaishi hapa. .i admire too ...maana Kuna vimemory fulani niliwahi ambiwa na mtu ingawa nilimdirect kwako...so nikiona id yako nakumbuka Jambo la uchungu fulani...! Nadhan umeelewa
Ubarikiwe sana, nimefurahishwa sana na wewe, usiishie kwa hapo tunaomba uzidi kutoa mwanga kwa wengineAwww...!tubarikiwe wote Happy!
Ila had naandika hapa nimemsaidia dogo mmoja kias kwamba najiuliza hivi ni Mimi?..kifupi dogo nilimuokota tu majalalani( maana had mwenzangu akanianbia we hutaendelea unaamini mno watu)! Nikamchorea ramani(hapo hata jina lake silijui na hanijui(amepostpone mwaka udom)akanipitishia sabuni za magadi nikamuuliza anaipataje faida ananiambia hela ndogo balaa nikamwambia acha hiyo fanya ishu hii na hii...kumbe dogo kanielewa kuliko Mimi nilivyompa ramani..yaan mie nilimpa idea yangu juu juu nikijua mpitaji...maskini Yule mtoto kwa siku anaingiza faida ya 20000/-..Jana ananipgia ananiambia sisy nimekuza mtaji nna laki 9!(alianza kwenye corona crisis)..ninaona aibu.. nnaona Raha pia. Alinunua bike ndani ya mwezi mmoja tu!.
Huyu acha nijivunie aisee!
Again thanks
Kumbe una roho nzuri hivyo...mungu akubariki pesa mingi unigawie na mimi.Sivan nikuambie tu kitu kimoja. Hutaona mafanikio Kama utakuwa mtu wa kugusa na kuacha...nadhan unajua( namaanisha )Nini...!
Humu jf katika watu niliowapambania we ni no 1! Lakini husomeki..unakatisha tamaa. Thou sikusimangi)...Ila Bora nikuambie ukweli ..utakusaidia mbeleni ukiamua kuufata
Moro ndugu yangu pagumu...hapana mzunguko wa pesa. ..papo papo tu..Ila ukipata kaupenyo hela ipo ..nadhan pagumu Kwasababu wknd weng wanaenda Dar. ..
Wee sijui unafeli wapi na huku huna majukumu...!wenzako familia zinatufanya turudi nyuma kila mara
Basi nenda huko Mafinga wanakopasua mbao..kajifunze biashara ya mbao..au toa vimbao vyako 100porini kauze hapo mjini kila ubao hukosi 500/- unakwama wapi dogo?...Kule kazi ni nzito..au ..Chukua zaga zaga Kama saa za Bei fulan za Kati perfume za kupima .headphone za Bei rahis .shades nzuri za wakaka na wadada. .boxer nzuri Raba tamu
Acha kung,'ang'ania kuishi mjini...nenda kajitupe huko usome mchezo na usichague kazi. Wenzako mjini tunarudi kupooza akili ! Be you !
Nenda Hadi viwanda vya chai nenda na vitu vzri zuri. Kuna dogo nilinunua kwake saa nikamwambia usiishie mjini nenda huko..mbona ananishukuru daily!( Najua utaniambia sisy nitaendaje huko Mimi Sina mwenyej) ndo shida yako hii had nakosaga la kukujibu ..toka mjini dogo!
Kama utaenda Mafinga nitakusaidia ulale bure for 7dys! I wish utoke kwenye kifungo hicho Cha kukomalia kukaa mjini....
Kubali kupigwa jua..kubali maisha ya dhiki....kubali Hali yoyote..!
Natamani kukufinya sikio uamke!..
Nice to meet you.Sivan nikuambie tu kitu kimoja. Hutaona mafanikio Kama utakuwa mtu wa kugusa na kuacha...nadhan unajua( namaanisha )Nini...!
Humu jf katika watu niliowapambania we ni no 1! Lakini husomeki..unakatisha tamaa. Thou sikusimangi)...Ila Bora nikuambie ukweli ..utakusaidia mbeleni ukiamua kuufata
Moro ndugu yangu pagumu...hapana mzunguko wa pesa. ..papo papo tu..Ila ukipata kaupenyo hela ipo ..nadhan pagumu Kwasababu wknd weng wanaenda Dar. ..
Wee sijui unafeli wapi na huku huna majukumu...!wenzako familia zinatufanya turudi nyuma kila mara
Basi nenda huko Mafinga wanakopasua mbao..kajifunze biashara ya mbao..au toa vimbao vyako 100porini kauze hapo mjini kila ubao hukosi 500/- unakwama wapi dogo?...Kule kazi ni nzito..au ..Chukua zaga zaga Kama saa za Bei fulan za Kati perfume za kupima .headphone za Bei rahis .shades nzuri za wakaka na wadada. .boxer nzuri Raba tamu
Acha kung,'ang'ania kuishi mjini...nenda kajitupe huko usome mchezo na usichague kazi. Wenzako mjini tunarudi kupooza akili ! Be you !
Nenda Hadi viwanda vya chai nenda na vitu vzri zuri. Kuna dogo nilinunua kwake saa nikamwambia usiishie mjini nenda huko..mbona ananishukuru daily!( Najua utaniambia sisy nitaendaje huko Mimi Sina mwenyej) ndo shida yako hii had nakosaga la kukujibu ..toka mjini dogo!
Kama utaenda Mafinga nitakusaidia ulale bure for 7dys! I wish utoke kwenye kifungo hicho Cha kukomalia kukaa mjini....
Kubali kupigwa jua..kubali maisha ya dhiki....kubali Hali yoyote..!
Natamani kukufinya sikio uamke!..
Unanipaga mzuka wa kutafuta mishiko , Safi sanaSivan nikuambie tu kitu kimoja. Hutaona mafanikio Kama utakuwa mtu wa kugusa na kuacha...nadhan unajua( namaanisha )Nini...!
Humu jf katika watu niliowapambania we ni no 1! Lakini husomeki..unakatisha tamaa. Thou sikusimangi)...Ila Bora nikuambie ukweli ..utakusaidia mbeleni ukiamua kuufata
Moro ndugu yangu pagumu...hapana mzunguko wa pesa. ..papo papo tu..Ila ukipata kaupenyo hela ipo ..nadhan pagumu Kwasababu wknd weng wanaenda Dar. ..
Wee sijui unafeli wapi na huku huna majukumu...!wenzako familia zinatufanya turudi nyuma kila mara
Basi nenda huko Mafinga wanakopasua mbao..kajifunze biashara ya mbao..au toa vimbao vyako 100porini kauze hapo mjini kila ubao hukosi 500/- unakwama wapi dogo?...Kule kazi ni nzito..au ..Chukua zaga zaga Kama saa za Bei fulan za Kati perfume za kupima .headphone za Bei rahis .shades nzuri za wakaka na wadada. .boxer nzuri Raba tamu
Acha kung,'ang'ania kuishi mjini...nenda kajitupe huko usome mchezo na usichague kazi. Wenzako mjini tunarudi kupooza akili ! Be you !
Nenda Hadi viwanda vya chai nenda na vitu vzri zuri. Kuna dogo nilinunua kwake saa nikamwambia usiishie mjini nenda huko..mbona ananishukuru daily!( Najua utaniambia sisy nitaendaje huko Mimi Sina mwenyej) ndo shida yako hii had nakosaga la kukujibu ..toka mjini dogo!
Kama utaenda Mafinga nitakusaidia ulale bure for 7dys! I wish utoke kwenye kifungo hicho Cha kukomalia kukaa mjini....
Kubali kupigwa jua..kubali maisha ya dhiki....kubali Hali yoyote..!
Natamani kukufinya sikio uamke!..