karume msaka
JF-Expert Member
- Sep 25, 2018
- 385
- 689
Habari ndugu zangu!
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu. Nipo hapa mbele yenu kuomba ushauri kutokana na Hali iliyopo ya kimaisha kwa sasa nimeona niitumie gari yangu aina ya NOAH Ili kujiingizia kipato.
Lakini sifahamu nianzie wapi na niishie wapi hivyo naomba ndugu zangu kutokana na umbali/utofauti wa mikoa tunapotoka naombeni mnipe madili ili nije nipambane familia isilale njaa
Gari ina Hali nzuri na inafika mkoa wowote hapa tanzania.!
Kwa mwenye kunipa dili anaweza liweka hapa hadharani ama hata kunifuata inbox kwa maelekezo zaidi
Natanguliza shukrani.
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu. Nipo hapa mbele yenu kuomba ushauri kutokana na Hali iliyopo ya kimaisha kwa sasa nimeona niitumie gari yangu aina ya NOAH Ili kujiingizia kipato.
Lakini sifahamu nianzie wapi na niishie wapi hivyo naomba ndugu zangu kutokana na umbali/utofauti wa mikoa tunapotoka naombeni mnipe madili ili nije nipambane familia isilale njaa
Gari ina Hali nzuri na inafika mkoa wowote hapa tanzania.!
Kwa mwenye kunipa dili anaweza liweka hapa hadharani ama hata kunifuata inbox kwa maelekezo zaidi
Natanguliza shukrani.