Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,694
Hahah ntakuweka kwny maombi.
Nilivyoona amekuja na hii 'nanhii' mpya nikajua atakua amebadilika ki-mtizamo/harakati ila naona bado mtizamo ni ule ule kama alipokua anatumia ile 'nanhii' ya zamani.
Akaze tu,hakuna kitu rahisi.
Amekusoma....!..atabadilika naamini...nahisi anapotezwa na miluzi mingi (maybe!)

