​Mhhh weee Dada Mwanne !!! kaa Jini vile, jamani umechushaa Lo!!!!! Mtoto wa kiislamu pepo utaiona kweli kwa hali kama hiyo??? Naona Jahazi limekuharibu!!!
Hao ni watu au mazimwi?
hawa binadamu?
wazanzibariii hao ..............
Hapo kifuani wanapaita DUKA. Mweeeh