mnh mwanamke make up eeh?!

mnh mwanamke make up eeh?!

Nina imani kabisa jamaa yake angemwambia "Tangulia mimi nitakukuta huko kuna kazi namalizia hapa".....lol

hahahah wale wanaolalamika waume zao ni watu wasiopenda kuongozana nao,inabidi wajichunguze upya inawezekana hii ni mojawapo ya sababu lol
 
mi najiuliza wadada wanaopenda marangi rangi hivi
ukienda nae,ukamvua nguo si utakuta
chupi kijani kibichi,sidiria rangi ya binzari????lol

sasa hiyo si ndo fesheni yenyewe....kala bloking.....
 
Halafu nasikia sana sana watu wa Zenji ndio huwa wanapenda make up za dizaini hiyo maana waimba taarab asilimia kubwa wanatokea Zenji

I guess ndo swagga zao hizo manake siku hizi kila genre ila swagga zake kama wabongo fleva wa kiume na kuvaa jeggings na kukata viuno....
 
Hebu waacheni kwa raha zao, hao jamani wako kwenye "show business" let them be different. Kila kazi na madoido yake.

Lakini mnhhh! wacha tu, mambo mengine kuyatetea inataka moyo.
 
Huyu wa kwanza ana matatizo ya kisaikolojia anaitaji msaada haoni watu wengine wanachokiona.
 
Hizo sio makeup, makeup zinapitwa na wakati, "the in thing" sasa hivi ni "face painting" and thats exactly what she did, ni mambo ya kawaida sana duniani kwa sasa, to be different.

Glitter-Face-Makeup02.jpg
But this is artistic makeup mwalimu, sio za kuendea tafrija!
 
Huyu wa kwanza ana matatizo ya kisaikolojia anaitaji msaada haoni watu wengine wanachokiona.

Mwenzio kioo chake kinamwambia anaonekana ' Young n sexy'..kisha wewe unasema ana matatizo ya kisaikolojia..lol:lol:...#Akikusikia hata kuelewa
 
Na kweli wamejipamba kama miti ya Chrstimas inavyopambwa!!!
 
Halafu mmeona kifua hicho lakini? Matikiti maji ya haja hayo.

NYANI ! BABA NYANI unamgusa mtukufu Judge kunako destination yake! Mkubwa hiyo mi big tindis ina mambo yake! Ni adimu ! Mali kipusa ! Mwisho wa lami ! Hapo mleta image namtafutia zawadi.
 
NYANI ! BABA NYANI unamgusa mtukufu Judge kunako destination yake! Mkubwa hiyo mi big tindis ina mambo yake! Ni adimu ! Mali kipusa ! Mwisho wa lami ! Hapo mleta image namtafutia zawadi.
Mmmh..Judgement!..unataka ui-download kwa shughuli zingine nini?# Nimeuliza tu
 
hadi wanatia huruma,wana macho lkn hawaoni,huyo wa kwanza sijui katumia masaa mangapi maskin kujifanya hivyo.
 
But this is artistic makeup mwalimu, sio za kuendea tafrija!

Dahh, jamani hamtaki basi hata mmoja awatetee? Maana humu wataingia tu. Kuna mtu atawaambia mnaongelewa JF na FF ndio anawatetea peke yake. "Devils advocate".
 
...Duh!! hakukuwa na vioo vya kujiangalia wakati wanasilibwa ili wajione walivyokuwa vituko!!!!? .....Si ajabu kwa wengine huu ni urembo tena wa hali ya juu!!!! kweli binadamu tunatofautiana!!!
 
Kazidisha hizo make up hadi kawa kituko.
 
Dahh, jamani hamtaki basi hata mmoja awatetee? Maana humu wataingia tu. Kuna mtu atawaambia mnaongelewa JF na FF ndio anawatetea peke yake. "Devils advocate".
Hata mimi avatar yangu ina makeup inayo weza kushangaza watu ambao hawajatembea sana, na ndio maana nina watetea toka mwanzo. lol
Mwanamke makeup!!!:A S 465:
 
shida yote hiyo ili kumfurahisha mwnaume! kweli wanaume tuko juu!
 
Back
Top Bottom