Hao ni watu au mazimwi?
Haswaa wametoka bomba ile mbaya..lolDuh!!
Sasa huko ndio kupendeza ama?
Fanya utafiti kwa waimbaji wote wa taarabu kwenye upande wa make up, yaani huwa wanapiga make up na kufanana kabisa na yule "Joker" wa kwenye movie ya Batmanhahaha umejuaje? nimeitoa kwa michuzi nadhani ni waimbaji wa jahazi modern taarab ya mzee yusuph lol
Haswaa wametoka bomba ile mbaya..lol
Ila twende mbele turudi nyuma aisee hizo make up huyo bibie ukikutana naye gizani usiku waweza kutoka ndukiiHahahha, haya bana.Mi mwanamke mwenza ntakua na wivu nikipinga kwahiyo nakubali kukubaliana na wewe.
Christmas decoration bwana, mwenye wivu ajinyongeeee lol