Eee kweli wanawake mna ujunga sawasawa na akili zenu. Ndo mana uharibifu unawafuatilia maisha yenu yote! Hivi unadhani ni kwanini ndoa za leo hazidumu? Sikuzote nyumba hujengwa na mwanamke, na ndomana mwanamke mpumbavu huibomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe.
Mnaweka hizo takataka zenu usoni na kichwani makatani!!! Ili wanaume wawe majaji? Nawaelewa nyie sana tu tena kwa kuwasoma tabia. Kwa kawaida mwanamke yoyote yule akivaa vizuri na kukatiza mbele ya wanawake wenzie, humwangalia kwa kijicho na hata kumsonya eidha kwa sauti au kimoyomoyo. Lengo lenu na kusifiwa na wamnaume na ndomana, mwanamke yeyote yule asiposifiwa wala kuitwa njiani, na wakati kavaa vizuri basi jioni ya siku hiyo kioo kitaulizwa maswali mengi sana( hivi mimi nina ubaya gani?, inamana sipendezi?,nimekosa nini mimi?).
Tuju kwenye point. Hata huyo mwanaume atakayekupenda, atakuwa kufanya ivyo sababu ya katani zenu mnazowekaga kichwani pamoja na ivyo mnavyopaka usoni. Mwanaume anakuwa anaujua uzuri wako wa kwanza kukuona na kuuweka moyoni na ndio anajiskia kukutongoza. Tatizo linakuja kuwa sio siku zote utakuwa ivyo na siku usipoweka katani na masizi usoni ndipo anaanza kukuona sivyo alivyokusudia. Anaanza kuona alikosea. Nakwambia atakuacha tu. Utake usitake utaachwa tu. Endeleeni na hiyo tabia, na wewe utakuwa wa kwanza kuthibitisha kuwa kwanini ndo za leo hazidumu.
Jiulize basi
1. Kwanini ndoa za wasanii hazidumu?
2. Kwanini wanawake wadogo na maziwa yamelala?
3. Kwanini matatizo ya matumbo hayawaishi, ukiachilia mbali edhi?
4. Kwanini wanawake katika ndoa huchoka haraka kuiko wanaume?
Mkishindwa kujibu haya aswali mniulize mimi.
Mwanamke Nutural hair, natural skin, na ndio ambao ndoa zao zinadumu.