mnh mwanamke make up eeh?!

mnh mwanamke make up eeh?!

mie hao wengine hawajanishtua kama huyo wa kwanza kushoto,naona alipania sana...nimependa alivyo creative ila tu amezidisha kiasi lol,hivi kama huyo ndio mkeo unamuona hivyo kabla hamjatoka utakuwa na courage ya kumwambia hajapendeza au utauchuna tu,lol waume zetu wana kazi.....hapo ukimwambia hajapendeza inawezekana ikawa ugomvi mkubwa sana LOLS.
Nina imani kabisa jamaa yake angemwambia "Tangulia mimi nitakukuta huko kuna kazi namalizia hapa".....lol
 
naanza kuamini kioo kinaweza kumdanganya mtu aiseee,hapo dada wa watu kny kioo kajiona kapendeeeeeeeza.....lol
 
Isha saizi gani kwani? 42 EEE?
isha2.jpg

NN Hapo vipi....
 
Nadhani hizo ni swagga za rusha roho tu hususan ukizingatia Jahazi walikuwa wanasherehekea besdei yao ya miaka 5 na uzinduzi wa albamu yao mpya ya Mpenzi Chocolate.
 
Hizo sio makeup, makeup zinapitwa na wakati, "the in thing" sasa hivi ni "face painting" and thats exactly what she did, ni mambo ya kawaida sana duniani kwa sasa, to be different.

images
makeup.jpg
face-makeup-fantasy.jpg
how-to-do-circus-makeup.WidePlayer.jpg


Glitter-Face-Makeup02.jpg
 
mi najiuliza wadada wanaopenda marangi rangi hivi
ukienda nae,ukamvua nguo si utakuta
chupi kijani kibichi,sidiria rangi ya binzari????lol
 
hahahahahahahah Mwanne jamani ndo nini...unataka kumrithi Isha au!
 
Back
Top Bottom