Mnazionaje huduma za Azam tv?

Mnazionaje huduma za Azam tv?

Hivi huyu mengi kwa nini channeli zake hazipeleki dstv haoni anajipotezea fursa ya wateja
 
wapi hao waarabu? Kitu dstv bhana! Ndo mpango mzima! Wengne wote bado sana!

Huyu naona aende kwa David Cameron tu! Coz unaonekana kuwa na shobo nao hao wazungu,wapuuzi wa haki za kijinga! Vikubali vya home kwanza mbuzi katoliki we!
 
Nasikia, Uki comment kitu kizuri hapa kuhusu azam tv, ukimaliza tu utakuta PM na unalipwa Azam.
 
........Star times Brighten TCRA Ten Percent..............!!!!!!. Kwa wenye mahitaji ya kukerwa wakati wa kutazama any TV Programme Jiungeni na Star Times.
 
Azam hawajafika kwenye HD, ukiunganisha na smart TV utachukia mpaka basi, acha tuendelee na DSTV, supersport HD channel full utam, plus star tv, channel ten, tbc
 
Azam hawajafika kwenye HD, ukiunganisha na smart TV utachukia mpaka basi, acha tuendelee na DSTV, supersport HD channel full utam, plus star tv, channel ten, tbc

Utachukiaje? Decoder yao ni HD, na mimi natumia na Samsung series 6 smart tv, mbona iko poa? Ungesema katika channels zao hakuna ya HD labda ungeeleweka...
 
Wengne tunachangsha vibubutupate za kununua tv
Hapa mnatuchanganya
 
Back
Top Bottom