I feel proud zikiwemo ITV na EATV sasa bado Star Tv and other local channels. KUDOS TO AZAM TV.
Kweli mkuu?
Lini hiyo mkuu jamaa wako poa Sana, Jana nimejiunga nao rasmi
Kama wakiweka chanel za mengi plus star tv watafunika mbaya.
Kama ITV ipo basi nitanunua leo hii, Nijulishe duka liko wapi.
Kweli kabisa mkuu niko nawatch hapa nadhani pia soon tutakuwa na star TV pia km una azam tv just watch itaupdate na utapata hizo channels
Kuna jamaa waliwahi kuponda sana hapa kuhusu AZAM Tv,nikawaambia hawa jamaa wapo juu na wanaowabania kurusha channel zao wataachia tu wakimaliza Decorde zao za kuungaunga.
Nawakubali Sana,mie nilinunua mwanzo tu walipoanza Ku introduce.
So,tunasongesha.AZAM Tv Big Up
Mkuu channel za mengi ndo hizo tayari bado star TV
uwiii ngoja nitupilie mbali hii startimes. kwa moro napata wapi kingamuzi cha azam tv wakuu
Mkuu unaongezaje salio kwe azam kwa mpesa,akaunti namba ni ipi ya kadi au ya receiver?