Mnazionaje huduma za Azam tv?

Mnazionaje huduma za Azam tv?

Huyu naona aende kwa David Cameron tu! Coz unaonekana kuwa na shobo nao hao wazungu,wapuuzi wa haki za kijinga! Vikubali vya home kwanza mbuzi katoliki we!

Unaharibu thread ya mwenzio kwa uzuzu wako uliouokota Msikitini! Unakuwa kama MBWA mwenye udhu?!
 
Mbona kuna mtu ameniambia wameongeza channel saba pamoja na za Ipp kwa maana hiyo kutoka 52 hadi 59,
Kuna ukweli kwenye ili?
 
Unaharibu thread ya mwenzio kwa uzuzu wako uliouokota Msikitini! Unakuwa kama MBWA mwenye udhu?!

Kwa hiyo ukisikia mtu kaitwa mbuzi katoliki wewe moja kwa moja unahusisha na habari za nyumba za ibada, acha kudandia matawi usiyo yajua utaanguka kima wewe!
 
" Nyota Times" ya Kichina ndo anamulikiwa taa nyekundu! Na channel zao za kawaida eti 40,000/- kwa mwezi! Mmmh, kazi wanayo.

I can tell you, when it comes to bussines, Bakhresa and his crew, wapo another level. They always know what to do, how to do,where to do and when to do it. I real appreciate Bakhresa team. Kudos to them.
 
........Star times Brighten TCRA Ten Percent..............!!!!!!. Kwa wenye mahitaji ya kukerwa wakati wa kutazama any TV Programme Jiungeni na Star Times.

Nimeipenda comment yako Salome.
Tbc ilkuwa ishaanza kuwa na muelekeo mzuri na kuanza kutupa matumaini ya kuwa kito bora cha taifa, too bad "siasa zetu uchwara" zikaingilia. Lets hop they can improve, though i can not see that happening soon.
 
pamoja na chanel nzuri walizonazo azam tv,pia za kibongo walikuwanazo toka mwanzoni ni tbc1,chanel 10,clouds tv,tvz na sasa wameingiza itv na eatv nawapongeza sana kwa hilo ila tunaomba muweke na star tv mapema iwezekanavyo.....nawasilisha...!
 
Mm wakiweka MBC Movies(1,2,3,4) Ndo ntanunua.

Kwa sasa waniache tu ni. Easy TV yangu kwani wamenitoa Mbali.

Halafuuuu, hawa Wazee wa Continental Ningekuwa na uwezo ningevinunua Vingamuzi vyote kisha naviflash vinakuwa Compatible na "Eazy TV" Kisha nawapatia watu bure.

Huduma zao ni mbovu kupitiliza. Halafu haileti Maana kuibania Channel yao ya StarTV kwa Ving'amuzi vingine. Sana sana wenye Matangazo wakae wakijua kuwa Matangazo yao wanayopeleka huko hayawafikii watazamaji waliokusudiwa.

Amkeni.
 
pamoja na chanel nzuri walizonazo azam tv,pia za kibongo walikuwanazo toka mwanzoni ni tbc1,chanel 10,clouds tv,tvz na sasa wameingiza itv na eatv nawapongeza sana kwa hilo ila tunaomba muweke na star tv mapema iwezekanavyo.....nawasilisha...!

Kweli Azam tv wanastahili pongezi, naomba kama wataona inafaa kwa sisi wapenzi wake watuwekee Capital tv pia, tutashukuru sana.
 
Mm wakiweka MBC Movies(1,2,3,4) Ndo ntanunua.

Kwa sasa waniache tu ni. Easy TV yangu kwani wamenitoa Mbali.

Halafuuuu, hawa Wazee wa Continental Ningekuwa na uwezo ningevinunua Vingamuzi vyote kisha naviflash vinakuwa Compatible na "Eazy TV" Kisha nawapatia watu bure.

Huduma zao ni mbovu kupitiliza. Halafu haileti Maana kuibania Channel yao ya StarTV kwa Ving'amuzi vingine. Sana sana wenye Matangazo wakae wakijua kuwa Matangazo yao wanayopeleka huko hayawafikii watazamaji waliokusudiwa.

Amkeni.

Mkuu hizo MBC mbona zote zipo kwenye Azam TV
 
Kweli Azam tv wanastahili pongezi, naomba kama wataona inafaa kwa sisi wapenzi wake watuwekee Capital tv pia, tutashukuru sana.

Hivi hii capital bado ipo maana mimi mpaka nishasahau kama kuna chanel kama hii hapa bongo.
 
Teh teh wivu kitu mbaya sana....inavoonesha kuna mwarabu ashakupitia uani hapo zamani

Hha ha aha aha Mkuu faby,

Hebu tuwe realistic kaka,tusiwe kama mijitu ya CCM kushabikia shabikia tu...

Hivi kweli AzamTv ina ubora kuliko Dstv? Tuache ushabiki wa kijinga kwa kigezo cha uzalendo!

Kwanza Mzalendo alishakufa! alikuwa Nyerere tu!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom