Mnazionaje huduma za Azam tv?

Mnazionaje huduma za Azam tv?

CH . za watoto zpo chache mno watoto wana2sumbua wange ongeza ch. kama cartoon network,boomerang na disnep izo ch ndo watoto wanazipendaga
ALAF WANGEONGEZA CH za muvi zao binafc kwa mfano waweke azam movie1&2 na0 azam action , Azam series 1 &0& 2 na azam kids,Azam africa na Zingine kama hbo,WB,fox,FX na sony max &7m& SONY ENTERTAINMENT
Kwenye mizik waongeze b.e.t,Trace urban na ch yao binafc azam music

Kwenye ligi za ulaya cwez walaumu coz 4 now mwenye haki za kurusha izo ligi ni mkagulu ila kama wakija fanikiwa nunua izo haki kwa baadae itabidi waeke ch zao za kurushia michezo ka azam sport 1 adi 10
 
Kimsingi sasa hivi unatumia smart card number kulipia tofauti na mwanzo walikuwa wakitumia namba maalum.

Piga 0784 108000 utaelekezwa fasta.

Mbona bado mimi nalipia kwa namba maalum ya accaunt na imekubali
 
Nnatumia Azamtv, naomba fundi atakaye nisaidia kuongezea kadishi kengine kadogo kwa ajili ya Emmanuel-Tv.
Au anitafute kwenye #0715240140
 
Orodha ya chaneli walizoanza nazo;

Clouds tv
TBC
Channel 10
Azam one
Azam two
Citizen tv
K24
NTV
ZBC
KTV
NBC
Bukedde tv2
Urban tv
MBC1
MBC2
MBC3
MBC4
MBC Action
MBC Max
MBC Drama
MGM Movies
Etv Africa
African Movie
MTV base
Box tv
Landscape
Setanta Africa
My Sport channel
MS Compact Sports
National Geo
Discovery Science
Discovery INve
Fine Living
Outdoor Channel
BBC News
Al jazeera New Engl
Al jazeera New Arab
Al jazeera Kids
Times Now
Nickelodeon
Kids co.
Al arabiya
Wanasah
Star Plus Me
Colours
Zoom
Star Gold Int
Zee Cinema
Zing
MTV India
Sinema zetu
Info

Waoooo! Kesho naenda kununua! Mbc wana movie kali sn! Talk show zote kubwa dunian mieleka ndio usiseme
 
Nimesikia hata zile local Channels zinazopaswa kupatikana bure nazo zinalipiwa?

Naomba kujuzwa!!
 
Mkuu channel zote za bongo,Kenya,Uganda hats usipolipia unaziona bureeee!

Mkuu nimekusoma kuwa umeshafunga azam sasa naomba kama hutajali niorodheshee chanels zote zilizopo humo.Hizi zinazoletwa humu nahisi zipo outdated coz nimesikia kuna itv lkn kwny list hapo juu haipo.

Pia set up yao kwa jinsi ilivyo naweza kufunga mwenyewe au mpaka fundi?
 
Mkuu nimekusoma kuwa umeshafunga azam sasa naomba kama hutajali niorodheshee chanels zote zilizopo humo.Hizi zinazoletwa humu nahisi zipo outdated coz nimesikia kuna itv lkn kwny list hapo juu haipo.

Pia set up yao kwa jinsi ilivyo naweza kufunga mwenyewe au mpaka fundi?

Mkuu ebu ingia hapa utaiona package ya azam then jumlisha ITV, eatv , fx na fox ambazo hawaja zi update (http://www.lyngsat.com/packages/azam.html)
 
Mkuu ebu ingia hapa utaiona package ya azam then jumlisha ITV, eatv , fx na fox ambazo hawaja zi update (http://www.lyngsat.com/packages/azam.html)

Asante mkuu.Hizo mbc(UAE) zinatofauti gani na zingine?Wanaposema mbc1-4 wanazijumuisha na hizi?
 
mimi naona karibia chanel zote zilizopo azam tv ni za maigizo pamoja na habar na wale wapenda soka hasa game za ulaya wao hawana hata chanel moja ya kuangalia hizo game. mimi binafsi sijawakubali hawa jamaa wa azam tv kwa sababu hajagusa kitu ambacho nakipenda hasa game za ulaya
 
mimi naona karibia chanel zote zilizopo azam tv ni za maigizo pamoja na habar na wale wapenda soka hasa game za ulaya wao hawana hata chanel moja ya kuangalia hizo game. mimi binafsi sijawakubali hawa jamaa wa azam tv kwa sababu hajagusa kitu ambacho nakipenda hasa game za ulaya

WBS Channel ya Uganda huwa inaonesha mechi moja ya Uingereza kila jumamosi na NBS huwa inaonesha Champions League mechi ya jumatano. Unaweza kuziona hizo mechi hapo juu kwa ku add satellite na kuziona kupitia MBC3/RODRIGUEZ TV ya Mauritius.
 
Asante mkuu.Hizo mbc(UAE) zinatofauti gani na zingine?Wanaposema mbc1-4 wanazijumuisha na hizi?

Mkuu hizo MBC ndio hizo mbc1-4 plus MBC action'kwa ujumla ni km zinavyoonekana kwenye list , kuna movie, mieleka nk. Hizo ni tofauti na MBC za Mauritius ambazo pia kuna option ya kuziongeza kwani zipo satellite hiyohiyo mkuu. Kwenye hii satellite kuna channel baadhi za Senegal,Cameroon,nk pamoja peacetv, africatv2 Swahili ya dini
 
Wapo vizuri mkuu, picha na sauti ni super! King'amuzi chao ni DVB-S2 na ni HD.

Mkuu umeongea kitaalamu zaidi...ili wengine tufaidike hiyo DVB-S2 ni nini? Na je vya startimes vikoje vyenyewe?
 
mimi naona karibia chanel zote zilizopo azam tv ni za maigizo pamoja na habar na wale wapenda soka hasa game za ulaya wao hawana hata chanel moja ya kuangalia hizo game. mimi binafsi sijawakubali hawa jamaa wa azam tv kwa sababu hajagusa kitu ambacho nakipenda hasa game za ulaya

Ndugu yangu unataka kuangalia mechi za ligi kubwa Ulaya kwa 12,500!!!! Vizur vina gharama.

Kupata kibali cha kurusha hayo matangazo ni mamilion ya pesa, Azam tv wakinunua hizo haki itawalazimu watutoze hela kubwa ya mwezi which might not be affordable to many of Tanzanian.

Km ni mpenz wa mpira wa hizo lig kubwa Ulaya, kanunue tu DStv ambapo itakugharimu ulipie almost 138,000 kwa mwezi.
 
Back
Top Bottom