Lakini ki ukweli Gertrude Mongella ni mama smart sana, sijui kwanini hakiandaliwa kuwa RaisNyerere aliwapenda sana Jamal na Kawawa.
Halafu kwa pembeni Getrude Mongella!
Lakini ki ukweli Gertrude Mongella ni mama smart sana, sijui kwanini hakiandaliwa kuwa RaisNyerere aliwapenda sana Jamal na Kawawa.
Halafu kwa pembeni Getrude Mongella!
1) unafahamu wa Jan 1990 alivunja baraza la Mawaziri chini ya Mzee Warioba kwa kulituhumu linanuka rushwa ?Mwinyi na Salim ni tofauti kiutendaji Salim ingawa ni mpole ila ni mkali na mfatiliaji, alionyesha hivyo alipokuwa waziri wa ulinzi na waziri mkuu.
Wakati anaondoka madarakani aliacha hazina imefilisika na nchi kuzuiwa misaada kwa rushwa na kushindwa kukusanya Kodi, aliuza loliondo yako mengi hayo ni kwa uchache1) unafahamu wa Jan 1990 alivunja baraza la Mawaziri chini ya Mzee Warioba kwa kulituhumu linanuka rushwa ?
2) Unafahamu alimtimua tena Hayati Lyatonga Mrema kwa utovu wa nidhamu wa kusema hadharan siri za baraza ?
3) unafahanu alivyooambana na wahafidhina wa Nyerere hadi kulivunja Azimio la Arusha na Nyerere aliwepo hadi akaishia kumtupia vijembe lila akipata fursa ya hadharani ?
Mtu kachukua Nchi ya Kijamaa akaitoa matopeni na kuipeleka kwny soko huria hadi leo kila mmoja anaona matunda yake?
Nchi hii ingekuwaje kama ingekabidhiwa kwa wale wahafidhina wa Ujamaa hadi leo?
Duuh inafikirishaGenge la Mkwere! Wapo hapo nje wanapasha kuingia uwanjani!
(Nipo kwenye ibada nikitoka nitaeleza kwa marefu na mapana, nimepata nafasi ya kuja JF kwakuwa naona kunachozungumziwa hapa kanisani sio kuacha dhambi, tunaambiwa kuchanga pesa tu haijalishi umezipata kwa njia ipi Mungu anahitaji pesa Sana siku hizi!)
wewe unazungumzia aliachaje Hazina umeacha kusema aliikuta vipi hazina …mie nakusaidiaWakati anaondoka madarakani aliacha hazina imefilisika na nchi kuzuiwa misaada kwa rushwa na kushindwa kukusanya Kodi, aliuza loliondo yako mengi hayo ni kwa uchache
Alimweka waziri wa fedha mtu wa mkuranga Nini matokeo yake SI ilibidi apewe amri Toka nje wambadirishewewe unazungumzia aliachaje Hazina umeacha kusema aliikuta vipi hazina …mie nakusaidia
Mzee Joseph Sinde Warioba ndio PM wa kwanza wa Ally Hassan Mwinyi na ni Home boy wa Nyerere …anakwambia Wamekabidhiwa Nchi hawana hata fedha za kukombolea meli ya mafuta iliyotia Nanga Bandari ya Dsm hadi Hayati Robert Mugabe ndio akaokoa jahazi
Nchi iliyoshindwa kulipia meli ya mafuta unaweza ukasema iliachwaje kiuchumi?
Viwanda vyote vimekufa, nchi haiuzi wala hainunui vitu nje na hata ndani ya Nchi kila kitu kupata ni kwa mbinde lakini wewe umekimbilia kujadili aliachaje nchi hutaki kusema aliikuta Nchi hata kupata dawa ya kusafisha meno ilikuwa ngumu kuliko kupata bhangi
Katika mengi mema aliyofanya Mwinyi kubwa kuliko yote ni kulizika zimwi la Azimio la Arusha …japo hakufanikiwa kulizika katika vichwa vya wajinga wajinga wengi waliobaki wanaona ni ufahari kuitwa Masikini sijui wanyonge
Genge!!Genge la Mkwere! Wapo hapo nje wanapasha kuingia uwanjani!
(Nipo kwenye ibada nikitoka nitaeleza kwa marefu na mapana, nimepata nafasi ya kuja JF kwakuwa naona kunachozungumziwa hapa kanisani sio kuacha dhambi, tunaambiwa kuchanga pesa tu haijalishi umezipata kwa njia ipi Mungu anahitaji pesa Sana siku hizi!)