Hoshea
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 5,415
- 3,761
Bro, tuanze na wewe na boriti lako jichoni kwako, je unajua kuwa wewe ni mdini? Au hujuiUnaongea nini SASA?
Tunachokueleza sisi ni maneno wanavyosema jamaa zako wagalatia kuwa kila kiongoz Muislam akiwa MADARAKANI na akichagua mtu ambae ni Muislam anaitwa mdini na hao wagalatia,Ila akija kiongoz mkristo akafanya uteuzi wa upendeleo waz waz mnageuka,
Unaona sasa,unasema Magufuli akiteua kwa ukabila na siyo udini,unahamisha goli sasa,Magufuli katika baraza lake la mawazir Kulikuwa kuna mawazir 24, waislam walikuwa wanne tuh na hao 20 ni christians unasemaje hakuwa na udini, manaibu wazir walikuwa 16 na waislam wap wakijua sita unasemaje hakuwa na udini,hapo hujaenda KWA makatibu na manaibu katibu wakuu,so unataka kusema kwamba waislam hawana shule bado,?Hii hoja hamna pa kuchomokea