Kwanini Rais mstaafu Kikwete hakupewa nafasi ya kuongea katika uzinduzi wa Kavazi la Dkt. Salim?

Freed Freed

JF-Expert Member
Jun 27, 2017
6,231
6,471
Jana nilipata wasaa wa kufuatilia mubashara uzinduzi wa Kavazi la Mwanadiplomasia maarufu Dr Salim Ahmed Salim. Watu wengi walipata nafasi ya kusema machache juu ya Dr Salim wakiwepo mawaziri wastaafu na hata wengine kutoka kada mbalimbali za utumishi.

Cha ajabu uzinduzi wa Kavazi ulimalizika bila kumpa Rais mstaafu Kikwete fursa ya kuzungumza mambo adhimu kuhusu Mwanadiplomasia maarufu Dr Salim Ahmed Salim.
Ikumbukwe Kikwete aliwahi kuwa waziri wa mbo ya nje miaka 10.

Kwa vyotevyote vile lazima kakutana na kufanya kazi na Dr Salim Ahmed Salim akiwa OAU.
Pia Kikwete alikuwa mtumishi ktk chama huku Dr Salim akiwa waziri Mkuu na baadae waziri wa nchi za nje katikati ya miaka ya 1980

Wakati Kikwete akiingia bungeni Mara ya Kwanza 1988, Dr Salim alikuwa waziri wa nchi za nje. Hivyo wanafahamiana pakubwa tu, kwani Jk yeye alianza na unaibu waziri wa Nishati na Madini 1988 baada ya kuteuliwa ubunge.

Kwanini jabali hili la siasa hakuzungumza chochote juu ya Mwanadiplomasia Dr Salim?
 
Jana nilipata wasaa wa kufuatilia mubashara uzinduzi wa Kavazi la Mwanadiplomasia maarufu Dr Salim Ahmed Salim. Watu wengi walipata nafasi ya kusema machache juu ya Dr Salim wakiwepo mawaziri wastaafu na hata wengine kutoka kada mbalimbali za utumishi.
u ya Mwanadiplomasia Dr Salim?
Kikwete kashiriki pakubwa sana chini ya wanamtandao kumsulubu vibaya sana Salim Ahmed Salim. Angekua muungwana angetumia hiyo fursa kutubu!
 
Ukiona mahali yupo kikwete na samia kisha samia hampi kikwete nafasi ujue kuna kitu nyuma yake.

Mwaka 2005 wakati kikwete akiwania kupeperusha bendera ya urais yeye na kundi lake waliamua kumchafua Dr salim ahmed salim kuwa alihusika na mauaji ya mzee Karume Zanzibar.

Wakati huo dr Salim nae alikuwa kwenye kinyang'anyiro na alikuwa na mvuto kwelikweli Dr. Salim. Alikuwa na cv nzito haswa. Na iliwahi kusemekana kuwa ni moja ya watu ambao Nyerere alitamani aje kushika nafasi za juu kabisa kwa nchi hii.

Ile taarifa ilimnyong'onyeza sana Dr na kuanzia pale ni kama alijitoa kwenye mkondo wa mambo ya kisiasa. Sidhani kama Kikwete na genge lake waliwahi tena kwenda kumpigia magoti Dr. Salim.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
 
Ukiona mahali yupo kikwete na samia kisha samia hampi kikwete nafasi ujue kuna kitu nyuma yake.

Mwaka 2005 wakati kikwete akiwania kupeperusha bendera ya urais yeye na kundi lake waliamua kumchafua Dr salim ahmed salim kuwa alihusika na mauaji ya mzee Karume Zanzibar.

Wakati huo dr Salim nae alikuwa kwenye kinyang'anyiro na alikuwa na mvuto kwelikweli Dr. Salim. Alikuwa na cv nzito haswa. Na iliwahi kusemekana kuwa ni moja ya watu ambao Nyerere alitamani aje kushika nafasi za juu kabisa kwa nchi hii.

Ile taarifa ilimnyong'onyeza sana Dr na kuanzia pale ni kama alijitoa kwenye mkondo wa mambo ya kisisasa. Sidhani kama Kikwete na genge lake waliwahi tena kwenda kumpigia magoti Dr. Salim.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Ila kwa 95% zambi za lile genge la mtandao zilitendwa na Lowassa... bila Lowassa JK asingefurukuta kuingia magogoni 2005 na ndio maana mtu wa kwanza kulipia gharama ya Dhambi za ule mtandao ni Lowassa!
 
Ukiona mahali yupo kikwete na samia kisha samia hampi kikwete nafasi ujue kuna kitu nyuma yake.

Mwaka 2005 wakati kikwete akiwania kupeperusha bendera ya urais yeye na kundi lake waliamua kumchafua Dr salim ahmed salim kuwa alihusika na mauaji ya mzee Karume Zanzibar.

Wakati huo dr Salim nae alikuwa kwenye kinyang'anyiro na alikuwa na mvuto kwelikweli Dr. Salim. Alikuwa na cv nzito haswa. Na iliwahi kusemekana kuwa ni moja ya watu ambao Nyerere alitamani aje kushika nafasi za juu kabisa kwa nchi hii.

Ile taarifa ilimnyong'onyeza sana Dr na kuanzia pale ni kama alijitoa kwenye mkondo wa mambo ya kisisasa. Sidhani kama Kikwete na genge lake waliwahi tena kwenda kumpigia magoti Dr. Salim.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Aisee!!
 
Back
Top Bottom