smaki
JF-Expert Member
- Jan 23, 2019
- 4,977
- 3,066
Sahihi baba!!.Hapa inazungumzwa historia ya mambo na vijimambo vya zamani,
sio Malalamiko Mkuu!
Kila kitu kina udadavuzi wa haki ya ki-Historia.
ni kuitendea haki historia!! ilikuwepo, ipo na itakuwepo nisheria vizazi na vizazi.
Bado ni mulemule tu. Yangekuwa malalamiko kamwe usingevumilia.