wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,131
Ya Mungu mpe Mungu na ya Kaisari muachia Kaisari.Genge la Mkwere! Wapo hapo nje wanapasha kuingia uwanjani!
(Nipo kwenye ibada nikitoka nitaeleza kwa marefu na mapana, nimepata nafasi ya kuja jf kwakuwa naona kunachozungumziwa hapa kanisani sio kuacha dhambi, tunaambiwa kuchanga pesa tu haijalishi umezipata kwa njia ipi Mungu anahitaji pesa Sana siku hizi!)